Rais kujali uzinduzi wa movie kuliko Siku Muhimu ya Muungano ni aibu kubwa sana

Rais kujali uzinduzi wa movie kuliko Siku Muhimu ya Muungano ni aibu kubwa sana

nokwenumuya

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2019
Posts
820
Reaction score
2,896
Leo ni siku muhimu sana katika Taifa Letu. Ni siku ambayo mataifa mawili yaliungana na kuunda Taifa la Tanzania.

Cha ajabu Rais huyu tuliyenae kwa sasa hajaona umuhimu yeye na watu wake kuwa apange ratiba zake aweze kuwepo nchini katika siku hii ya leo.

Na ni aibu kwa Rais wa nchi kukaa nje ya nchi katika nchi moja kwa muda wote alioamua kukaa huko Marekani.

Anyway Mali ya kurithi haina uchungu.
 
Hivi leo mbona hatujaletewa uzi wa live coverage ya sherehe hizi kutoka huko Dodoma?
===

Kwa nini sherehe hizi hazijawahusisha wananchi wengi kwa kuifanyia kwenye viwanja vya wazi?
 
Leo ni siku muhimu sana katika Taifa Letu. Ni siku ambayo mataifa mawili yaliungana na kuunda Taifa la Tanzania.

Cha ajabu Rais huyu tuliyenae kwa sasa hajaona umuhimu yeye na watu wake kuwa apange ratiba zake aweze kuwepo nchini katika siku hii ya leo.

Na ni aibu kwa Rais wa nchi kukaa nje ya nchi katika nchi moja kwa muda wote alioamua kukaa huko Marekani.

Anyway Mali ya kurithi haina uchungu.
Siku ya Muungano ina umuhimu gani. Yaani Mkazi wa Kibanchebanche anafaidika nini na haya maadhimisho ya Muungano wa viongozi?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Jiwe alipofuta mwenge wa uhuru, mwaka uliofuata aliondoshwa madarakani kwa njia ya kifo.

Niko nje ya mada, asanteni kwa kunisikiliza.
Na huyu atafutwa mwakani sio
 
Leo ni siku muhimu sana katika Taifa Letu. Ni siku ambayo mataifa mawili yaliungana na kuunda Taifa la Tanzania.

Cha ajabu Rais huyu tuliyenae kwa sasa hajaona umuhimu yeye na watu wake kuwa apange ratiba zake aweze kuwepo nchini katika siku hii ya leo.

Na ni aibu kwa Rais wa nchi kukaa nje ya nchi katika nchi moja kwa muda wote alioamua kukaa huko Marekani.

Anyway Mali ya kurithi haina uchungu.
Ameamua kupunguza gharama mnapiga kelele,alipo TU kelele juu ya gharama zimeshakiwa nyingi.
 
Hivi leo mbona hatujaletewa uzi wa live coverage ya sherehe hizi kutoka huko Dodoma?
===

Kwa nini sherehe hizi hazijawahusisha wananchi wengi kwa kuifanyia kwenye viwanja vya wazi?

Siyo kila jambo ni siasa, tujifunze kutafakari na kukaa kimya,
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Siyo kila jambo ni siasa, tujifunze kutafakari na kukaa kimya,
Mama yetu Mama Samia 'katufungulia' nchi tupo huru kuhoji na kupewa majibu bila kutishwa, kusutwa, kukejeliwa, kubezwa na kadhalika. Ndiyo maana hata walioandamana kule Marekani na mabango hawakutishwa na Mama yetu. Iweje, Mkuu, uje na sentensi moja, kwangu mimi, yenye muonekano wa kunibeza, kunitisha, kunidhiaki ili nisiendelee kuhoji juu ya mambo yanayoihusu nchi yangu Tanzania?

Kama utakuwa na mood nijibu kama huna nijibu utakavyo nitapokea tu majibu. Ha ha haaaa!
 
Hivi leo mbona hatujaletewa uzi wa live coverage ya sherehe hizi kutoka huko Dodoma?
===

Kwa nini sherehe hizi hazijawahusisha wananchi wengi kwa kuifanyia kwenye viwanja vya wazi?

... kama "ulivyotengenezewa" chumbani kati ya Nyerere na Karume bila kuwashirikisha wananchi, ndivyo Samia alivyoamua ufanyike chumbani leo! Kongole Presidee kwa kuuenzi Muungano kwa staili ile ile ulivyoasisiwa!
 
... kama "ulivyotengenezewa" chumbani kati ya Nyerere na Karume bila kuwashirikisha wananchi, ndivyo Samia alivyoamua ufanyike chumbani leo! Kongole Presidee kwa kuuenzi Muungano kwa staili ile ile ulivyoasisiwa!
Ha ha haaaa! Aisee.
 
Jiwe alipofuta mwenge wa uhuru, mwaka uliofuata aliondoshwa madarakani kwa njia ya kifo.

Niko nje ya mada, asanteni kwa kunisikiliza.
Alitaka kuuondoa mzimu wa kuwafanya misukule wasioweza kufikiria, anayofanya hangaya chadema wanapiga makofi tuu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom