Rais kujali uzinduzi wa movie kuliko Siku Muhimu ya Muungano ni aibu kubwa sana

Rais kujali uzinduzi wa movie kuliko Siku Muhimu ya Muungano ni aibu kubwa sana

Hivi leo mbona hatujaletewa uzi wa live coverage ya sherehe hizi kutoka huko Dodoma?
===

Kwa nini sherehe hizi hazijawahusisha wananchi wengi kwa kuifanyia kwenye viwanja vya wazi?

Hizi sherehe za kitaifa zinapuuzwa Sana na wenye mamlaka zama hizi.
 
Ifanyike "Referendum" kuamua mustakabali wa muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar. Maamuzi kutoka kwa wananchi yatauimarisha sana muungano kuliko ilivyo sasa.
 
Mama yetu Mama Samia 'katufungulia' nchi tupo huru kuhoji na kupewa majibu bila kutishwa, kusutwa, kukejeliwa, kubezwa na kadhalika. Ndiyo maana hata walioandamana kule Marekani na mabango hawakutishwa na Mama yetu. Iweje, Mkuu, uje na sentensi moja, kwangu mimi, yenye muonekano wa kunibeza, kunitisha, kunidhiaki ili nisiendelee kuhoji juu ya mambo yanayoihusu nchi yangu Tanzania?

Kama utakuwa na mood nijibu kama huna nijibu utakavyo nitapokea tu majibu. Ha ha haaaa!
Kuhoji bila kutishwa? Kamuulize Ndugai au yule wazir aliyeitwa nonsese
 
Bila hii siku Mama Samia Dar angekuja kwa Passport. Sijui kwa nini kaichukulia poa hii siku
 
Hiyo 2025 sijui atawaomba kura wamarekani??
 
Leo ni siku muhimu sana katika Taifa Letu. Ni siku ambayo mataifa mawili yaliungana na kuunda Taifa la Tanzania.

Cha ajabu Rais huyu tuliyenae kwa sasa hajaona umuhimu yeye na watu wake kuwa apange ratiba zake aweze kuwepo nchini katika siku hii ya leo.

Na ni aibu kwa Rais wa nchi kukaa nje ya nchi katika nchi moja kwa muda wote alioamua kukaa huko Marekani.

Anyway Mali ya kurithi haina uchungu.
FB_IMG_16307140795615105.jpg
 
Komredi unazipeleka "resi" fikra zako tu 🤣

Mh.SSH ni rais wetu na uhai ukiwepo atatuomba kura watanzania wenzake ,aamin🙏
Sikutarajia Rais ataipa uzito wa namna hii filamu tu.

Yaani kakomalia filamu kwa wiki mbili nzima kaacha nchi huku bila uangalizi wake na kukiwa na changamoto lukuki zinazohitaji utatuzi.

Sidhani wananchi watamuelewa 2025 akiwasimulia habari za filamu badala ya kuwaambia hatua alizochukua kupambana na mfumuko wa bei za bidhaa na ukali wa maisha.
 
Leo ni siku muhimu sana katika Taifa Letu. Ni siku ambayo mataifa mawili yaliungana na kuunda Taifa la Tanzania.

Cha ajabu Rais huyu tuliyenae kwa sasa hajaona umuhimu yeye na watu wake kuwa apange ratiba zake aweze kuwepo nchini katika siku hii ya leo.

Na ni aibu kwa Rais wa nchi kukaa nje ya nchi katika nchi moja kwa muda wote alioamua kukaa huko Marekani.

Anyway Mali ya kurithi haina uchungu.
1.Muungano una miaka zaidi ya 50, wacha Rais afanye mambo ya msingi zaidi kwa wakati huu
2.Kwani Rais anatakiwa kukaa mda gani nje ya nchi ?
 
Bora Samia; Magufuli aliyafuta kabisa maadhimisho ya Muungano Day
 
Tuna Rais wa Nchi ambaye anaenda Marekani kwenda kukutana na watoto wa kimarekani ambao Wazazi Wao Wana Asili ya Tanzania. Hovyo Kabisa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Jiwe alipofuta mwenge wa uhuru, mwaka uliofuata aliondoshwa madarakani kwa njia ya kifo.

Niko nje ya mada, asanteni kwa kunisikiliza.
Hivi mwenge unafaida gani mimi hadi sasa ni mtu mzima sijuwi kwakweli.Yani hadi nitazeeka sitajuwa!!.
 
Hivi mwenge unafaida gani mimi hadi sasa ni mtu mzima sijuwi kwakweli.Yani hadi nitazeeka sitajuwa!!.
inabidi tumtafute Nyerere atupe faida za mwenge.

Asante kwa kunisikiliza kupitia maandishi.
 
Leo ni siku muhimu sana katika Taifa Letu. Ni siku ambayo mataifa mawili yaliungana na kuunda Taifa la Tanzania.

Cha ajabu Rais huyu tuliyenae kwa sasa hajaona umuhimu yeye na watu wake kuwa apange ratiba zake aweze kuwepo nchini katika siku hii ya leo.

Na ni aibu kwa Rais wa nchi kukaa nje ya nchi katika nchi moja kwa muda wote alioamua kukaa huko Marekani.

Anyway Mali ya kurithi haina uchungu.
Hayo ni maoni yako...wengine wanaona sawa..Analilofanya lina faida pia kwa nchi..
 
Back
Top Bottom