Tetesi: Rais kujichimbia Arusha neema ya Sukari inakuja . . .

Tetesi: Rais kujichimbia Arusha neema ya Sukari inakuja . . .

pierre buyoya

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2015
Posts
476
Reaction score
163
Leo ni siku ya tatu tangu Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli atinge mkoani Arusha, Kumekuwa na tetesi kuwa kuna papa lingine la sukari nchini ambalo limeweka maskani yake mkoani humo hivyo Rais Magufuli ameamua kulizukia na kulitumbua mwenyewe live ili kuwatumia taarifa mapapa wengine wadogo wadogo waachie bidhaa hiyo irudi sokoni . . .

Inasemekana Papa huyo wa sukari nchini alisomba tani za kutosha za bidhaa hiyo kutoka TPC moshi na kuipiga lock kwenye ghala lake lisilo kifani mkoani arusha, Hivyo basi simba wa vita Rais Magufuli amemtimbia huko huko Arusha ili akalale nae mbele na kurudisha bidhaa sokoni . . .
 
Raisi magufuli yupo arusha kutunuku vyeo kwa maofisa ila kwa jinsi navomwamin uchapakazi wake basi kama kuna majipu huko hayatakuwa salama
 
Unajua kuna watu wanafikiri JPM anafanya sinema au michezo ya kuigiza
Sisi Watanzania wazalendo tunamuunga mkono kwa nguvu zote mtetezi wa wanyonge
Baada ya kuzuia safari hizo tumeokoa mabilioni mengi ambayo yameingia kwenye budget ya 2016 2017 na ndo maana unaweza pesa nyingi zimeelekezwa kwenye miradi ya maendeleo
Na bila kusahau mahakama ya mafisadi inakuja ambapo DPP atapeleka Mashauri yote ytasikilizwa... Kuna watu wakiona Rais anafanya juhudi wao roho zinawauma akati maendeleo ni kwa wote



Ivi katika historia ya marais wote mmewahi kuona Rais anazungumza mbele ya watu huku akionyesha hasira zake kwa mafisadi.... Uzuri ni kuwa mnaomtetea fisadi mkono wachache hivo hamfiki mbali sisi tuna songa mbele
 
Back
Top Bottom