babatovu
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 2,739
- 1,602
Ukibaki ukachangia nyuzi za wengine hutopungukiwa na kituKuwa makini na kauli zako mkuu, hauko salama hata kidogo . . .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukibaki ukachangia nyuzi za wengine hutopungukiwa na kituKuwa makini na kauli zako mkuu, hauko salama hata kidogo . . .
mawaziri ndio mapapaa wa sukari sasa sijui watajitumbua wenyewehivi mawaziri huwa hawajuia hizi mambo au ndio mambo ya instrumentation au timing.
Kuna tofauti kati ya kauli na swali. Hilo ni swali mkuu.Kuwa makini na kauli zako mkuu, hauko salama hata kidogo . . .
Leo ni siku ya tatu tangu Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli atinge mkoani Arusha, Kumekuwa na tetesi kuwa kuna papa lingine la sukari nchini ambalo limeweka maskani yake mkoani humo hivyo Rais Magufuli ameamua kulizukia na kulitumbua mwenyewe live ili kuwatumia taarifa mapapa wengine wadogo wadogo waachie bidhaa hiyo irudi sokoni . . .
Inasemekana Papa huyo wa sukari nchini alisomba tani za kutosha za bidhaa hiyo kutoka TPC moshi na kuipiga lock kwenye ghala lake lisilo kifani mkoani arusha, Hivyo basi simba wa vita Rais Magufuli amemtimbia huko huko Arusha ili akalale nae mbele na kurudisha bidhaa sokoni . . .
Wacha wee . . .m
mawaziri ndio mapapaa wa sukari sasa sijui watajitumbua wenyewe
Prevention is better than cure, Narudia tena kuwa makini . . .Kuna tofauti kati ya kauli na swali. Hilo ni swali mkuu.
Sasa hivi hakuna habari ya kazi ya nani wala nini...hakuna mgambo wala polisi ni mwendo wa hapa kazi tu, sheria weka pembeni zitatuchelewesha. Mkuu hata jirani yako alikuletea fyokofyoko unamfyokoa tu, hakuna habari ya polisi. Mwizi akiiba choma moto, yaani ubabe ubabe tu mpaka tunyooke.Sasa kazi ya kuwatafuta wahalifu physically ni kazi ya nani?
Kauli ni neno lako unalotamka toka mdomoni, au kimaandishi, haijali umeulizwa swali umeelezea kivingine.Kuna tofauti kati ya kauli na swali. Hilo ni swali mkuu.
Tuzidi kumuombea . . .Leo tumesali nae kanisani, tunamwombea sana raisi wetu Mungu azidi kumlinda atumbue majipu haya yanayotesa waTanzania. Jakaya nilizoea kumwona tu barabarani kwani alikuwa hatulii akija kesho yake keshaondoka. Huyu ndo raisi anakaa na wananchi kusikiliza kero na kuzitatua. Msiwe na wivu sana kwakuwa mlimzoea JK, hata akikaa mwezi huku Arusha ni sawa na amekaa Dar tu.
Siku hizi kupata sukari ni neema?.Kaazi kweli kweli.Leo ni siku ya tatu tangu Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli atinge mkoani Arusha, Kumekuwa na tetesi kuwa kuna papa lingine la sukari nchini ambalo limeweka maskani yake mkoani humo hivyo Rais Magufuli ameamua kulizukia na kulitumbua mwenyewe live ili kuwatumia taarifa mapapa wengine wadogo wadogo waachie bidhaa hiyo irudi sokoni . . .
Inasemekana Papa huyo wa sukari nchini alisomba tani za kutosha za bidhaa hiyo kutoka TPC moshi na kuipiga lock kwenye ghala lake lisilo kifani mkoani arusha, Hivyo basi simba wa vita Rais Magufuli amemtimbia huko huko Arusha ili akalale nae mbele na kurudisha bidhaa sokoni . . .
Ugonjwa mkubwa kwenye jamii kwa sasa ni kukurupuka, Tafuta tiba mkuu . . .Siku hizi kupata sukari ni neema?.Kaazi kweli kweli.
Nilifikiri enzi za kupata bidhaa kwa foleni zilipita zamani.Ugonjwa mkubwa kwenye jamii kwa sasa ni kukurupuka, Tafuta tiba mkuu . . .
Watch your words mkuujpm yupo arusha anatafuta kiwanja cha kujenga