Tetesi: Rais kujichimbia Arusha neema ya Sukari inakuja . . .

Tetesi: Rais kujichimbia Arusha neema ya Sukari inakuja . . .

Magaufuli kaonyesha kitu tofauti na tulichokua tunatarajia,,

Mi nilijua atakua mwelewa wa sheria,,kumbe imeonekana yeye ni mwelewa wa watu wa hali ya chini.

Sukari kukamatwa kuna watu inawauma mno,, walitarajia walizungumzie wao.

Sasa kwa mda huu hata point hawana,, wanamtuhumu kwa escrow, epa iptl n.k
Sasa hapo yeye inaonekana ndie aliyeyaweka.?? Hivi nyinyi mnataka afanye nini ili kuepukana na haya??
Nina wasiwasi haowafanya biashara wanaokamatwa watakua wadhamini wa kampeni na ahadi nyingi walipewa hasa kulindwa. Sasa mwenyewe kawaumbua na ndio maana wengi wanapiga kelele.
Bira aibu mtu unatoa oni eti ye anaweza lala na kuagiza?? Maana ya kuwa na afya ni nini??

OMBI
TUACHENI CHUKI KWA RAISI, TUSAHAU MAUMIVU YETI YA UCHAGUZI TUIJENGE NCHI
 
Na leo baada ya ibada tulipiga naye kitu cha Trupa hapa Mrina baa!
 
Unajua kuna watu wanafikiri JPM anafanya sinema au michezo ya kuigiza
Sisi Watanzania wazalendo tunamuunga mkono kwa nguvu zote mtetezi wa wanyonge
Baada ya kuzuia safari hizo tumeokoa mabilioni mengi ambayo yameingia kwenye budget ya 2016 2017 na ndo maana unaweza pesa nyingi zimeelekezwa kwenye miradi ya maendeleo
Na bila kusahau mahakama ya mafisadi inakuja ambapo DPP atapeleka Mashauri yote ytasikilizwa... Kuna watu wakiona Rais anafanya juhudi wao roho zinawauma akati maendeleo ni kwa wote



Ivi katika historia ya marais wote mmewahi kuona Rais anazungumza mbele ya watu huku akionyesha hasira zake kwa mafisadi.... Uzuri ni kuwa mnaomtetea fisadi mkono wachache hivo hamfiki mbali sisi tuna songa mbele
Atakuwa tayari kukubali hukumu?
 
Magaufuli kaonyesha kitu tofauti na tulichokua tunatarajia,,

Mi nilijua atakua mwelewa wa sheria,,kumbe imeonekana yeye ni mwelewa wa watu wa hali ya chini.

Sukari kukamatwa kuna watu inawauma mno,, walitarajia walizungumzie wao.

Sasa kwa mda huu hata point hawana,, wanamtuhumu kwa escrow, epa iptl n.k
Sasa hapo yeye inaonekana ndie aliyeyaweka.?? Hivi nyinyi mnataka afanye nini ili kuepukana na haya??
Nina wasiwasi haowafanya biashara wanaokamatwa watakua wadhamini wa kampeni na ahadi nyingi walipewa hasa kulindwa. Sasa mwenyewe kawaumbua na ndio maana wengi wanapiga kelele.
Bira aibu mtu unatoa oni eti ye anaweza lala na kuagiza?? Maana ya kuwa na afya ni nini??

OMBI
TUACHENI CHUKI KWA RAISI, TUSAHAU MAUMIVU YETI YA UCHAGUZI TUIJENGE NCHI
Lawama ni bei ya sukari imekuwa mzigo kwa wananchi baada ya maamuzi aliyoyatoa Pombe.
Kwa nini mnatumia nguvu kubwa kutibu dalili za ugonjwa badala ya kuutibu ugonjwa?
 
Lawama ni bei ya sukari imekuwa mzigo kwa wananchi baada ya maamuzi aliyoyatoa Pombe.
Kwa nini mnatumia nguvu kubwa kutibu dalili za ugonjwa badala ya kuutibu ugonjwa?
Mkuuu tunapaswa tutoe na sie njia m badala kifanyike nini ili kuepuka hili.

Cha ajabu watanzania tumekosa maana halisi ya utanzania
Tupunguze ushabiki tuipende nchi ilikokua imefikia nikubaya sanaaa
 
Lawama ni bei ya sukari imekuwa mzigo kwa wananchi baada ya maamuzi aliyoyatoa Pombe.
Kwa nini mnatumia nguvu kubwa kutibu dalili za ugonjwa badala ya kuutibu ugonjwa?
Na ndiyo nia ya mafisadi walioficha sukari, watokee wanaotoa lawama kama zako ili kuiangusha serikali. Hii ni vita na ameahidi kupambana nao hadi awashinde wao na wote wanaowaunga mkono
 
Unajua kuna watu wanafikiri JPM anafanya sinema au michezo ya kuigiza
Sisi Watanzania wazalendo tunamuunga mkono kwa nguvu zote mtetezi wa wanyonge
Baada ya kuzuia safari hizo tumeokoa mabilioni mengi ambayo yameingia kwenye budget ya 2016 2017 na ndo maana unaweza pesa nyingi zimeelekezwa kwenye miradi ya maendeleo
Na bila kusahau mahakama ya mafisadi inakuja ambapo DPP atapeleka Mashauri yote ytasikilizwa... Kuna watu wakiona Rais anafanya juhudi wao roho zinawauma akati maendeleo ni kwa wote



Ivi katika historia ya marais wote mmewahi kuona Rais anazungumza mbele ya watu huku akionyesha hasira zake kwa mafisadi.... Uzuri ni kuwa mnaomtetea fisadi mkono wachache hivo hamfiki mbali sisi tuna songa mbele

Time will tell !
 
Leo ni siku ya tatu tangu Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli atinge mkoani Arusha, Kumekuwa na tetesi kuwa kuna papa lingine la sukari nchini ambalo limeweka maskani yake mkoani humo hivyo Rais Magufuli ameamua kulizukia na kulitumbua mwenyewe live ili kuwatumia taarifa mapapa wengine wadogo wadogo waachie bidhaa hiyo irudi sokoni . . .

Inasemekana Papa huyo wa sukari nchini alisomba tani za kutosha za bidhaa hiyo kutoka TPC moshi na kuipiga lock kwenye ghala lake lisilo kifani mkoani arusha, Hivyo basi simba wa vita Rais Magufuli amemtimbia huko huko Arusha ili akalale nae mbele na kurudisha bidhaa sokoni . . .
Umeme upo?! Maana AR no pawazzz
 
jana katunuku vyeti na leo alikua ibadani
 
Hakuna atakayepona ktk hili kama umeficha sukari inakwenda kula kwako safi sana Magufuli Mungu akutangulie ktk hili
haya mafisadi yasipumue kabisa
 
Leo ni siku ya tatu tangu Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli atinge mkoani Arusha, Kumekuwa na tetesi kuwa kuna papa lingine la sukari nchini ambalo limeweka maskani yake mkoani humo hivyo Rais Magufuli ameamua kulizukia na kulitumbua mwenyewe live ili kuwatumia taarifa mapapa wengine wadogo wadogo waachie bidhaa hiyo irudi sokoni . . .

Inasemekana Papa huyo wa sukari nchini alisomba tani za kutosha za bidhaa hiyo kutoka TPC moshi na kuipiga lock kwenye ghala lake lisilo kifani mkoani arusha, Hivyo basi simba wa vita Rais Magufuli amemtimbia huko huko Arusha ili akalale nae mbele na kurudisha bidhaa sokoni . . .

huyo "simba wa vita" wako siku hizi amekuwa polisi/takukuru???
 
Back
Top Bottom