ng'adi lawi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 2,956
- 1,114
Kuwa makini na kauli zako mkuu, hauko salama hata kidogo . . .
Mi nipo busy hata muda wa kuangalia tarifa ya habari sina wakati mwingine hila jf inaniabarisha hasa tarifa ikiambatana na video.Akitumbua tutaona Live kwenye TV zetu . . .
njia m'badala ni kuwa na viwanda vingi vya uzalishaji wa sukari kukidhi mahitaji alafu baada ya hapo ndiyo Pombe apige marufuku sukari kuingizwa kutoa nje.Mkuuu tunapaswa tutoe na sie njia m badala kifanyike nini ili kuepuka hili.
Cha ajabu watanzania tumekosa maana halisi ya utanzania
Tupunguze ushabiki tuipende nchi ilikokua imefikia nikubaya sanaaa
TANZANIA YA VIWANDA INAKUJA . . .njia m'badala ni kuwa na viwanda vingi vya uzalishaji wa sukari kukidhi mahitaji alafu baada ya hapo ndiyo Pombe apige marufuku sukari kuingizwa kutoa nje.
Story za Tanzania ya Viwanda zimeishia wapi?
Mafisadi wa ccm wako kwenye foleni ya kutumbuliwa na wahaini wa upizani namba lazima waisome . . .Kwa magu!!naamin mafisadi wataisoma namba.