Mkuu hapo tupo ukurasa mmoja sana, ila wengine kama kawaida wanaona 'sio big deal' hakuna cha kuhoji hapo!
Kwangu mimi sio big deal kwa sababu sifanyi evaluation ya kiongozi kwa kutumia hisia (emotions).
Kwangu mimi sio big deal kwa sababu sifanyi evaluation ya kiongozi kwa kutumia hisia (emotions).
Thats a circular argument. Lojiki yako imepinda. Hisia/Emotions can go either way - big and/or no big deal.
Sioni tatizo lolote kwa Mheshimiwa Rais kutoa zawadi hiyo kwa huyo mtoto. Bahati mbaya picha yenyewe ni ya mnato na hivyo hatuonyeshi kilichoendelea nbaada ya hiyo zawadi. Hata hivyo kama mzazi na kama kiongozi hiyo ni ishara ya upendo full stop! Ila mkuu kusema kwamba rais hahusiki na safura yetu? rais hahusiki na njaa yetu? hapo naona umeteleza. Najaribu kujiuliza kama kweli rais angekuwa na uwezo kuthibitisha pasi na shaka kwamba yule mtoto na safura angefanya nini? je, kama angeweza kutibithisha kwamba yule mtoto hajatia ndani siku kadhaa angefanya nini? nimejaribu kujiuliza japo kizushi tu hivi kwa nini rais anawatangazia wananchi wake kwamba hawatakufa kwa njaa? kwa nini rais anatangaza vita dhidi ya maradhi? Hata kama huyo mtoto ana wazazi ambao kimsingi ndo wenye wajibu wa kumlea lakini kama rais angethibitisha tatizo kwa mtoto huyo ni lazima angechukua hatua hata kwa kuwataka wazazi wa mhusika kulishughulikia kama liko ndani ya uwezo wao.Watu wengine mahepe ,sasa mtoto ana safura au minyoo ,yeye imemuhusu nini ? Maana kwa hivyo mnavyofikiria ,sijui mtoto hajashiba au ananjaa sioni hoja hiyo kunhusisha na Raisi mpita njia tu !!
Zipo hoja za kuhoji lakini si hali ya mtoto ambayo inahitaji daktari kujua yote hayo.
Tatizo WaTanganyika hamtosheki ,hivi mlitaka agawe gari moshi ,pipi ni kitu maarufu kwa watoto wote duniani na si kiongozi kumgaia mtoto lakini hata wapita njia wengine huwa wakipita kwenye kikundi cha watoto na akafurahi nao anaweza kuwagaia chochote ambacho kipo karibu yake na kinalingana.Hapahitajiki milioni katika kufanya ibada hiyo.
Yaani kama Raisi angekasilika kwa mtoto kuigusa gari yake hapo ningelalamika maana wapo watu hawataki gari zao ziguswe wala kuegemewa.
Mnachosha sana ,hivi mngeona anatoa fedha mngesemaje ? anatumia hela kifisadi ,najua msingekosa la kusema.
Ila naona amejua wa kumpa pipi kama angempa mtu mzima ela,basi mtu huyo angeenda kuponda na kuzarau huku hela ametia mfukoni akiipangia cha kununua.
Duh! Mkuu Za10 hakuna emotions hapo (again wewe unaweza kuona kuwa ni emotions) ila kwa siye wengine ni 'critical thinking' mkuu!
Pamoja.
Emotions zipo nyingi sana hapa ndio maana watu wanakuwa irritional. Hata wale wanaofanya critical thinking wakati mwingine wanapata mental breakdown na kuanza kutoa vitu vya ajabu.
Sioni tatizo lolote kwa Mheshimiwa Rais kutoa zawadi hiyo kwa huyo mtoto. Bahati mbaya picha yenyewe ni ya mnato na hivyo hatuonyeshi kilichoendelea nbaada ya hiyo zawadi. Hata hivyo kama mzazi na kama kiongozi hiyo ni ishara ya upendo full stop! Ila mkuu kusema kwamba rais hahusiki na safura yetu? rais hahusiki na njaa yetu? hapo naona umeteleza. Najaribu kujiuliza kama kweli rais angekuwa na uwezo kuthibitisha pasi na shaka kwamba yule mtoto na safura angefanya nini? je, kama angeweza kutibithisha kwamba yule mtoto hajatia ndani siku kadhaa angefanya nini? nimejaribu kujiuliza japo kizushi tu hivi kwa nini rais anawatangazia wananchi wake kwamba hawatakufa kwa njaa? kwa nini rais anatangaza vita dhidi ya maradhi? Hata kama huyo mtoto ana wazazi ambao kimsingi ndo wenye wajibu wa kumlea lakini kama rais angethibitisha tatizo kwa mtoto huyo ni lazima angechukua hatua hata kwa kuwataka wazazi wa mhusika kulishughulikia kama liko ndani ya uwezo wao.[/QUOTE]
FM:
Haya ndio tunataka tuwe tunazungumza. Kichwa kimoja cha mtanzania kina viongozi kibao. Kuna kiongozi wa shina, kuna katibu kata, kuna diwani, kuna mkurugenzi wa maendeleo, kuna mkuu wa wilaya...you name them.
Ukiangalia kwa makini, huyo mtoto ana zaidi ya viongozi 100 ndani ya radius ya 200km toka anapoishi ambao wanaotakiwa kumshughulika mtoto huyu. Na hawa watu hawajawahi kufanya kazi yoyote ya maana toka nchi imepata uhuru.