Rais kumzawadia mtoto pipi alikuwa na maana gani?

Rais kumzawadia mtoto pipi alikuwa na maana gani?

Mpaka sasa hamjaonyesha chochote kibaya kilichotokana na Kikwete kumpa pipi dogo. Je, taifa limeingia hasara? Je, Kikwete asingempa pipi dogo kungekuwa na tofauti gani? Ghafla bin vuu dogo angerudi nyumbani na kukuta almasi kwenye sakafu?

Kuna mambo na mambo ya kukosoa. Lakini haya mengine ya peremende kwa watoto ni mambo trivial kwa kweli. Mkomalieni kuhusu ununuzi wa rada mbovu. Mkomalieni kuhusu Meremeta. Mshikieni bango Buzwagi. Mshikieni bango kuhusu maswala muhimu ya kitaifa.

Mnamshikia bango kama vile aliamka siku nzima na kuanza kugawa pipi hadi machweo. Specifically nitajieni ubaya wa yeye kuchukua vi dakika vichache baada ya kufungua hoteli ya kitalii na kumpa dogo hivyo vipipi. Taifa liliingia hasara gani kwa yeye kugawa hizo pipi?

You guys are complaining about pipi? Really? Just a couple candies? It's just candy y'all....candy..that's all it is....candy....Please tell me it ain't so.

There is loss by commission and loss by omission. Kuna hasara kwa kufanya na hasara kwa kutofanya. That was a missed opportunity to invest in the future of that kid as a representative of the kids of this nation. Hiyo lilikuwa fursa iliyopotea ya kuwekeza kwenye maisha ya mbele ya huyo mtoto kama mwakilishi wa watoto wa taifa hili. He was suppososed to commit an act of offering an inspiring and sustainable gift. Alitakiwa afanye kitendo cha kutoa zawadi endelevu na yenye hamasa. For instance, he could have offered him a mathematical set, a lego, puzzle, or a drawing case. Angeweza kumpa mkebe, vitufe vya kuunganisha, mchezo wa chemsha bongo au mkebe wa kuchorea.

What you do badly has the same negative effect as what you could have done well but did not do. Unachokifanya vibaya kina athari sawa ni kile ambacho ungeweza kukifanya vizuri ila hukukifanya.

You don't have to be a candy man! Sio lazima uwe mtu wa pipi!
 
There is loss by commission and loss by omission. Kuna hasara kwa kufanya na hasara kwa kutofanya. That was a missed opportunity to invest in the future of that kid as a representative of the kids of this nation. Hiyo lilikuwa fursa iliyopotea ya kuwekeza kwenye maisha ya mbele ya huyo mtoto kama mwakilishi wa watoto wa taifa hili. He was suppososed to commit an act of offering an inspiring and sustainable gift. Alitakiwa afanye kitendo cha kutoa zawadi endelevu na yenye hamasa. For instance, he could have offered him a mathematical set, a lego, puzzle, or a drawing case. Angeweza kumpa mkebe, vitufe vya kuunganisha, mchezo wa chemsha bongo au mkebe wa kuchorea.

Oh please...that was just an impromptu encounter. It wasn't an organized event where he went to speak to the kid(s). Had it been a formal event then your argument at least would have a leg to stand on. "Alitakiwa" what the hell is that? "Alitakiwa" per who and what? His job description?

What you do badly has the same negative effect as what you could have done well but did not do. Unachokifanya vibaya kina athari sawa ni kile ambacho ungeweza kukifanya vizuri ila hukukifanya.

You don't have to be a candy man! Sio lazima uwe mtu wa pipi!

Just this one incindent and you gonna go ahead and start calling JK candyman? Slowly but surely you're starting to lose your marbles.

But I got give you this though...at least you try to point out what is (supposedly) bad with what he did rather than just give broad generalities like some of the quack intellectuals who can't even string a coherent sentence in here. I still don't see anything wrong with what he did.
 
Last edited:
Rais kumzawadia mtoto pipi alikuwa na maana gani?
Mimi naona huyo mtoto na JK wanapishanisha mikono yenye pipi, lakini sina uhakika ni nani alikuwa anatoa pipi na nani alikuwa anapokea pipi !! Hii title usishangae iwapo ikawa ni vice-versa.
Mtoto kumzawadia Rais pipi alikuwa na maana gani?
 
Oh please...that was just an impromptu encounter. It wasn't an organized event where he went to speak to the kid(s). Had it been a formal event then your argument at least would have a leg to stand on. "Alitakiwa" what the hell is that? "Alitakiwa" per who and what? His job description?



Just this one incindent and you gonna go ahead and start calling JK candyman? Slowly but surely you're starting to lose your marbles.

But I got give you this though...at least you try to point out what is (supposedly) bad with what he did rather than just give broad generalities like some of the quack intellectuals who can't even string a coherent sentence in here. I still don't see anything wrong with what he did.
Nyani Ngabu!

Tafadhali usitutoe kwenye track by bringing old stories back from the dead. I once said the president is not serious but you and other buddies have decided simply to plug you ears. The kid is a street boy ningekuwa mimi ndie rahisi ningeanzisha scheme ya kuwaondoa kutoka barabarani full stop. Kwa kuwa mkulu is out of ideas that is why he bought pipi na alishapanga kuzigawa in style na ni kinyume na protocol sasa what do you expect form this simple president!!! Rais hapaswi hata kushika pesa mkononi achilia mbali pipi its only by the accident of corruption na back up ya akina RA and Teddy Lowasa ndiyo iliyompeleka kule magogoni na wakijua ni juha ndio maana wakataka kula chap chap richmonduli ikawakoholea bado haijacheua kisa udhaifu wa JMK na sisiem yao! The problem is he had no party or personal objective apart from showbiz!!
 
There is loss by commission and loss by omission. Kuna hasara kwa kufanya na hasara kwa kutofanya. That was a missed opportunity to invest in the future of that kid as a representative of the kids of this nation. Hiyo lilikuwa fursa iliyopotea ya kuwekeza kwenye maisha ya mbele ya huyo mtoto kama mwakilishi wa watoto wa taifa hili. He was suppososed to commit an act of offering an inspiring and sustainable gift. Alitakiwa afanye kitendo cha kutoa zawadi endelevu na yenye hamasa. For instance, he could have offered him a mathematical set, a lego, puzzle, or a drawing case. Angeweza kumpa mkebe, vitufe vya kuunganisha, mchezo wa chemsha bongo au mkebe wa kuchorea.

What you do badly has the same negative effect as what you could have done well but did not do. Unachokifanya vibaya kina athari sawa ni kile ambacho ungeweza kukifanya vizuri ila hukukifanya.

You don't have to be a candy man! Sio lazima uwe mtu wa pipi!


Commandante:

You are caught in this frenzy of criticizing the president for something very benign.

Ngoja nikupe hiki kipande hili uone kuwa hata kama president angeenda kule na kufanya yale unayotaka bado outcome isingekuwa kama wewe unavyotaka.

Abraham Maslow theorized that humans have five basic needs arranged in hierarchical order. The idea is that these needs must be met before the person can move to the next level of needs in the hierarchy. Once that need is met, they progress to the next level, and so on.

This theory suggests that once a lower-level need has been met, it no longer serves as a motivator, and the higher level becomes the driving force in a person’s life.

Here is the review of needs starting with the lowest and ending with the highest:


  1. Basic physical needs – lowest level; food, clothing, shelter (you can add pipi).
  2. Safety and security needs – Your physical welfare and the security of your belongings
  3. Social needs – A sense of belonging, love, acceptance, friendship
  4. Self-Esteem needs – Accomplishment, respect for self, capability
  5. Self Actualization – Highest level; performing at your peak potential


Ukiangalia katika hii theory, unaweza kupata picha kwanini Sisi Ndivyo tulivyo. Watu wetu wengi bado wapo trapped at BASIC PHYSICAL NEEDS. Lakini your efforts ni kuwapeleka watu kwenye advance level wakati watu hao driving force yao hipo chini.
 
Oh please...that was just an impromptu encounter. It wasn't an organized event where he went to speak to the kid(s). Had it been a formal event then your argument at least would have a leg to stand on. "Alitakiwa" what the hell is that? "Alitakiwa" per who and what? His job description?

Just this one incindent and you gonna go ahead and start calling JK candyman? Slowly but surely you're starting to lose your marbles.

But I got give you this though...at least you try to point out what is (supposedly) bad with what he did rather than just give broad generalities like some of the quack intellectuals who can't even string a coherent sentence in here. I still don't see anything wrong with what he did.

Kwa hiyo Rais anatembea na pipi nyingi hivyo kwa ajili ya 'imromptu encounters'? Alizibeba peremende zote hizo kwa ajili ya nini? Ya kwenda kuwapa wajukuu zake?

Hey are we playing marbles here? By the way, it would have been better if he had given him/her marbles. It might help him/her to be a master/mistress of Probability and Bayesian Analysis. And, talking of scenarios, who knows, that could have helped Tanzania in making proper economic forecast in the future!

An act can be wrong. Inaction can be wrong. One ought to act accordingly.
 
Nyani Ngabu!

Tafadhali usitutoe kwenye track by bringing old stories back from the dead. I once said the president is not serious but you and other buddies have decided simply to plug you ears. The kid is a street boy ningekuwa mimi ndie rahisi ningeanzisha scheme ya kuwaondoa kutoka barabarani full stop. Kwa kuwa mkulu is out of ideas that is why he bought pipi na alishapanga kuzigawa in style na ni kinyume na protocol sasa what do you expect form this simple president!!! Rais hapaswi hata kushika pesa mkononi achilia mbali pipi its only by the accident of corruption na back up ya akina RA and Teddy Lowasa ndiyo iliyompeleka kule magogoni na wakijua ni juha ndio maana wakataka kula chap chap richmonduli ikawakoholea bado haijacheua kisa udhaifu wa JMK na sisiem yao! The problem is he had no party or personal objective apart from showbiz!!

Mkereme:

Rais alikuwa mpita njia tu. Katika schedule yake, hakupangwa kukutana na watoto. Hivyo basi alikuwa na choice mbili tu. Ku-ignore watoto au ku-chat nao.

Hiyo ya kusema kuwa rais hatakiwi kuwa na pesa mkononi huko ni kuchemsha BIG TIME. Yeye ni binadamu kama wengine.

Sasa tukirudi kwenye agenda ambazo unataka azifanye lakini hajazifanya hakuna mtu anayemtetea. Lakini kuunganisha kutoa pipi na Richmond ni kukosa ubunifu wa kutoa hoja.
 
Commandante:

You are caught in this frenzy of criticizing the president for something very benign.

Ngoja nikupe hiki kipande hili uone kuwa hata kama president angeenda kule na kufanya yale unayotaka bado outcome isingekuwa kama wewe unavyotaka.

Abraham Maslow theorized that humans have five basic needs arranged in hierarchical order. The idea is that these needs must be met before the person can move to the next level of needs in the hierarchy. Once that need is met, they progress to the next level, and so on.

This theory suggests that once a lower-level need has been met, it no longer serves as a motivator, and the higher level becomes the driving force in a person's life.

Here is the review of needs starting with the lowest and ending with the highest:

  1. Basic physical needs – lowest level; food, clothing, shelter (you can add pipi).
  2. Safety and security needs – Your physical welfare and the security of your belongings
  3. Social needs – A sense of belonging, love, acceptance, friendship
  4. Self-Esteem needs – Accomplishment, respect for self, capability
  5. Self Actualization – Highest level; performing at your peak potential
Ukiangalia katika hii theory, unaweza kupata picha kwanini Sisi Ndivyo tulivyo. Watu wetu wengi bado wapo trapped at BASIC PHYSICAL NEEDS. Lakini your efforts ni kuwapeleka watu kwenye advance level wakati watu hao driving force yao hipo chini.

Mkuu Psychology ndio Major yangu. Pipi sio basic physical need. Ni luxury. So your application of that theory does not hold water.

If you apply Maslow's hierarchy of needs into the Tanzanian context properly, you will realize that the gifts that I proposed are aimed at meeting those basic needs that the kid and his/her family are struggling to meet. Unless of course you don't think education, health, food and water are needs that can be achieved through the proposed presidential gifts.

Alafu jiulize huyo mtoa zawadi yuko kwenye kiwango level gani ya piramidi ya Maslow, jibu utakalopata litakudhihirishia kuwa tuna 'Class Struggle in Tanzania'!
 
Mkereme:

Rais alikuwa mpita njia tu. Katika schedule yake, hakupangwa kukutana na watoto. Hivyo basi alikuwa na choice mbili tu. Ku-ignore watoto au ku-chat nao.

Hiyo ya kusema kuwa rais hatakiwi kuwa na pesa mkononi huko ni kuchemsha BIG TIME. Yeye ni binadamu kama wengine.

Sasa tukirudi kwenye agenda ambazo unataka azifanye lakini hajazifanya hakuna mtu anayemtetea. Lakini kuunganisha kutoa pipi na Richmond ni kukosa ubunifu wa kutoa hoja.
Zakumi!

Sina muda wa kukuelimisha kwani wewe na rahisi wako ni mafala!! Can a sitting president have time kununua pipi au kwa mawazo yako mafupi Rais anayekaribia umri wa 60 years anaweza kula pipi? Let us assume anatembea nazo je hayo ni majukumu ya kiongozi aliye dhabiti kweli. This is a big joke anyway kwa akili yako fupi you won't be able to see the connectivity between the issues period! just shut down your computer and go for mnazi au hata maji machafu ya msimbazi kama huna pesa ni PM nikutumie pesa kwa M-PESA ukanywe laga.You are not a great thinker buddy!!
 
Oh please...that was just an impromptu encounter. It wasn't an organized event where he went to speak to the kid(s). Had it been a formal event then your argument at least would have a leg to stand on. "Alitakiwa" what the hell is that? "Alitakiwa" per who and what? His job description?



Just this one incindent and you gonna go ahead and start calling JK candyman? Slowly but surely you're starting to lose your marbles.

But I got give you this though...at least you try to point out what is (supposedly) bad with what he did rather than just give broad generalities like some of the quack intellectuals who can't even string a coherent sentence in here. I still don't see anything wrong with what he did.

....kwi kwi kwi kwi.......Mkuu Nyani naona umesahahu......"Miafrika......"

Hivi walitaka amzawadie nini?....RAV4 nyekundu?, au walitaka amchunie mtoto...........mlitaka ampake mafuta kichwani........au mlitaka pale pale aagize daktari amtibu "punye".....come on guys............
.....nyinyi mnapokutana na "hao watoto" mnawapa nini.......
 
Mkuu Psychology ndio Major yangu. Pipi sio basic physical need. Ni luxury. So your application of that theory does not hold water.

If you apply Maslow's hierarchy of needs into the Tanzanian context properly, you will realize that the gifts that I proposed are aimed at meeting those basic needs that the kid and his/her family are struggling to meet. Unless of course you don't think education, health, food and water are needs that can be achieved through the proposed presidential gifts.

Alafu jiulize huyo mtoa zawadi yuko kwenye kiwango level gani ya piramidi ya Maslow, jibu utakalopata takudhihirishia kuwa tuna 'Class Struggle in Tanzania'!

Uoni kwamba umejileta mwenyewe kwenye mtego wangu. Nyerere ambaye alikuwa no nonsense guy na ambaye anachukuliwa kama gold standard ya urais na ambaye alitoa zawadi zote unazotaka kupitia Ujamaa, lakini alishindwa kwenye programs zake za kuwatoa watu kwenye lowest level.

Kuna kitu gana kwenye thread hii ambacho Nyerere hakufanya na bado kuboronga ni utamaduni wetu?
 
5648d1250818172-rais-kumzawadia-mtoto-pipi-alikuwa-na-maana-gani-8d6u9682-2-.jpg


Kiukweli mimi binafsi, nimeshitushwa na nimeshangaa na kujiuliza maswali mengi mno baada ya kuona picha ya Rais akimzawadia mtoto Pipi. nimejiuliza maswali mengi kuwa kwa mfano huo anataka sisi tujifunze nini? au alikuwa na maana gani? na kwanini afanye hivyo.... na je alikuwa na uhakika kama huyo mtoto alikuwa amekwisha kula chakula ama anauhakika wa chakula baada ya hapo? Vp kuhusu afya yake namuona kama anamapunye kichwani kama nimeona vizuri, vp kuhusu uhakika wake wa elimu? mimi nahisi mtoto kama huyo anatakiwa kuzawadiwa uhakika wa elimu na sio pipi kama alivyo fanya rais. Na kwa mtizamo huu hivi kweli matabaka yatakwisha , hivi kweli jamani maisha bora kwa kila mtanzania yanaletwa kwa kugawa pipi?
Kwanza karibu ukumbini Munguatubariki.

Hivi hata hili la pipi limekuwa sias? Hamna dogo jamani? Au ndiyo spinning kutusahaulisha agenda muhimu za kupambana na mafisadi?
 
Zakumi!

Sina muda wa kukuelimisha kwani wewe na rahisi wako ni mafala!! Can a sitting president have time kununua pipi au kwa mawazo yako mafupi Rais anayekaribia umri wa 60 years anaweza kula pipi? Let us assume anatembea nazo je hayo ni majukumu ya kiongozi aliye dhabiti kweli. This is a big joke anyway kwa akili yako fupi you won't be able to see the connectivity between the issues period! just shut down your computer and go for mnazi au hata maji machafu ya msimbazi kama huna pesa ni PM nikutumie pesa kwa M-PESA ukanywe laga.You are not a great thinker buddy!!

Ngoja niwaite watu wasome hii. People People come and read this.

Pipi pia inatumika kama mouth refresher. Na walioanza kutengeneza pipi wanakula hata wakiwa na miaka 90.

Hivi kwanini yule mzee wa Manchester United anatafuna gum wakati wote na ana miaka zaidi ya 60.

Kuhusu masuala ya pesa, keep it to yourself. Mtu yoyote anayeweza kupoteza zaidi ya masaa manane hapa JF, haitaji pesa yako.
 
Uoni kwamba umejileta mwenyewe kwenye mtego wangu. Nyerere ambaye alikuwa no nonsense guy na ambaye anachukuliwa kama gold standard ya urais na ambaye alitoa zawadi zote unazotaka kupitia Ujamaa, lakini alishindwa kwenye programs zake za kuwatoa watu kwenye lowest level.

Kuna kitu gana kwenye thread hii ambacho Nyerere hakufanya na bado kuboronga ni utamaduni wetu?

Suala la JKN ni debatable. Nilishakushauri ukaangalie takwimu za umaskini na maendeleo Tanzania kati ya 1961 -1966, 1967 -1977 na 1978-1985 hasa hizo za kabla ya Azimio la Arusha na za baada ya Vita vya Amin uone jinsi tafsiri za kibeberu zilivyowapumbaza msitambue mafanikio yetu na hujuma zao.

Hapa mjadala ni JMK na sio JKN. Turudi kwenye mada. Rejea historia ya peremende.

Wakoloni walileta vijizawadi. Vilikuwa vinang'aa. Na vingine vilikuwa vitamu. Wakatupa. Nasi tukavikubali. Tukaawaachia rasilimali zetu. Walitupa gololi. Tukaawachia almasi. Wakatugaia shanga. Tukawaachia ardhi.

Huu utamaduni wa pipi bado tunaendelea nao. Wanatupa vidonge. Sisi tunawapa uranium. Sasa vingunge wetu nao wanatoa peremende. Nasi tunachekacheka. Ati ndio ukarimu wa Kiafrika. Na jina tumeupa. Takrima.
 
Suala la JKN ni debatable. Nilishakushauri ukaangalie takwimu za umaskini na maendeleo Tanzania kati ya 1961 -1966, 1967 -1977 na 1978-1985 hasa hizo za kabla ya Azimio la Arusha na za baada ya Vita vya Amin uone jinsi tafsiri za kibeberu zilivyowapumbaza msitambue mafanikio yetu na hujuma zao.

Hapa mjadala ni JMK na sio JKN. Turudi kwenye mada. Rejea historia ya peremende.

Wakoloni walileta vijizawadi. Vilikuwa vinang'aa. Na vingine vilikuwa vitamu. Wakatupa. Nasi tukavikubali. Tukaawaachia rasilimali zetu. Walitupa gololi. Tukaawachia almasi. Wakatugaia shanga. Tukawaachia ardhi.

Huu utamaduni wa pipi bado tunaendelea nao. Wanatupa vidonge. Sisi tunawapa uranium. Sasa vingunge wetu nao wanatoa peremende. Nasi tunachekacheka. Ati ndio ukarimu wa Kiafrika. Na jina tumeupa. Takrima.

Commandate:

Ngoja nikuuliza swali. Hivi ulianza kula pipi ukiwa na umri gani? Hoja zingine zinatolewa hapa kana kwamba kula pipi ni matumizi mabaya ya resource za nchi.
 
Commandate:

Ngoja nikuuliza swali. Hivi ulianza kula pipi ukiwa na umri gani? Hoja zingine zinatolewa hapa kana kwamba kula pipi ni matumizi mabaya ya resource za nchi.

Nilizaliwa wakati wa Vita vya Amin. Hivyo huhitaji kuwa Mwanahistoria wa umri na vizazi kujua kuwa nilianza kula peremende baada ya Vita vya Wahujumu. Zilikuwa zinaitwa Lawalawa. Ila zawadi nilizopewa ni vigari.

Alafu sijasema kuwa kula pipi ni matumizi mabaya ya rasilimali. Nimesema ni luxury. Sio basic need. Na watu wanahitaji kwanza basic needs ili walete maendeleo ya juu, hayo uliyoyaweka kwenye Piramidi ya Colleague wangu Abraham Maslow. Hivyo Muungwana alipaswa kutoa zawadi ya kumsaidia huyo mtoto na familia yake ihamasike kupanda juu kwenye hilo piramidi.
 
Nilizaliwa wakati wa Vita vya Amin. Hivyo huhitaji kuwa Mwanahistoria wa umri na vizazi kujua kuwa nilianza kula peremende baada ya Vita vya Wahujumu. Zilikuwa zinaitwa Lawalawa. Ila zawadi nilizopewa ni vigari.

Alafu sijasema kuwa kula pipi ni matumizi mabaya ya rasilimali. Nimesema ni luxury. Sio basic need. Na watu wanahitaji kwanza basic needs ili walete maendeleo ya juu, hayo uliyoyaweka kwenye Piramidi ya Colleague wangu Abraham Maslow. Hivyo Muungwana alipaswa kutoa zawadi ya kumsaidia huyo mtoto na familia yake ihamasike kupanda juu kwenye hilo piramidi.

Wewe kweli mshamba wewe! Yaani kula pipi wewe unaona ni "luxury"? Good God Almighty!! Companero, were you deprived as a child?

Kwa Muungwana kumpa dogo pipi sio kitu cha kumvunja moyo mtu kama ana ndoto zake. Kwa hiyo hakukosea kabisa. It is petty and nitpicky to get bent out of shape just because the president gave a few pieces of candy to a little boy. Very petty indeed.
 
Nilizaliwa wakati wa Vita vya Amin. Hivyo huhitaji kuwa Mwanahistoria wa umri na vizazi kujua kuwa nilianza kula peremende baada ya Vita vya Wahujumu. Zilikuwa zinaitwa Lawalawa. Ila zawadi nilizopewa ni vigari.

Alafu sijasema kuwa kula pipi ni matumizi mabaya ya rasilimali. Nimesema ni luxury. Sio basic need. Na watu wanahitaji kwanza basic needs ili walete maendeleo ya juu, hayo uliyoyaweka kwenye Piramidi ya Colleague wangu Abraham Maslow. Hivyo Muungwana alipaswa kutoa zawadi ya kumsaidia huyo mtoto na familia yake ihamasike kupanda juu kwenye hilo piramidi.

Ndio maana unaona pipi big deal. Umezaliwa wakati chumvi ilikuwa ni luxury. Tuliozaliwa kabla yako, hivi vitu vilikuwa vya kawaida tu. Senti tano ilikupa high quality toffi na sio lawalawa za kutengenezwa uchochoroni.

Tukirudi kwenye Piramidi ya mshikaji wako, hili watu waweze ku-move kutoka kwenye lowest level wanaitaji kuwa na effort ambayo ni sustainable.

Hivyo sustainability ni kitu muhimu sana. Na mapungufu makubwa ya babu Nyerere kwenye ku-spread the wealth ilikuwa ni kuwa program ambazo hazipo sustainable.

Tukirudi kwenye mada hii. JK alikuwa anapita tu na akasema hey dogo pata utamu. Hapa hakuna kosa lolote. Lakini nyinyi mnamshikia bango kama kila siku alikuwa anakwenda kijijini kwa mtoto huyo na kumpa pipi.

Rais ana programs zake, hizi programs ndizo zinazoweka kuwatoa watu kwenye umasikini. Rais ni binadamu kama wengine na kuna vitu anavyofanya kama mwananchi mojawapo ni kumsalimia mtu, kuwapa watoto pipi na mambo mengine.

Hivyo lawama zitolewe kwenye programs zake na sio kwa vitu ambavyo kama binadamu wengine kwa sababu akiacha urais ataendelea kutoa pipi au kuwasalimia watu.
 
Wewe kweli mshamba wewe! Yaani kula pipi wewe unaona ni "luxury"? Good God Almighty!! Companero, were you deprived as a child?

What part of "luxury", as opposed to 'need', don't you understand?

Here is a Dictionary Definition of luxury:

Something that is an indulgence rather than a necessity

Now is a pipi/peremende a necessity the way water/food is?
 
Back
Top Bottom