Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hivi kwanza JK alikuwa ametoka wapi picha hiyo ilipopigwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Hii scenario yako Companero akiiona lazima akununulie bia....si unamjua alivyo?
Ningeshapata kopo la wanzuki. Tatizo hapa watu wanataka wote tuwe CHADEMA kind of thing. Kuvaa magwanda ya mgambo kwenye mikutano hili kuonyesha seriousness.
Na wewe bana.....nani anataka kumuua Kikwete?
Kwa Rais wetu mambo ya kugawa pipi kwa watoto, kumwaga minoti mikoani (mabilioni ya Kikwete), kutoa pesa kwa disable (sometimes back around Samora or somewhere else in Dar) na mengineyo ndiyo style ya mkuu wetu. Kwa mtizamo wangu naona mambo kama haya hayasaidii kuondoa matatizo ya msingi yanayoikabili jamii bali ni njia ya kujipata umaarufu ama kulazimisha kupendwa.
BRAVO MUKULU!!!!!!!!
JF inafurahisha!
Raisi anasafiri na mapipi kwenye gari, mabaki anagawia watoto ambao anajua kabisa kama kiongozi wa nchi wanahitaji zaidi ya pipi....
Ulitaka agawe nini? na angegawa kwa wangapi? si ndo watu wangekuwa wanakaa tu na kusubiria zawadi za raisi na ndo ingekuwa JK anapendelea na vitu kama hivyo jamani..
Leave out Sarkozy na huyo Barak, huwezi fananisha na JK pia Tanzania yetu kabisa. Hapo ndo tunapokosea sometimes kwenye mifano.
Sema ulitaka ampe nini huyo mtoto ha hivi ni mpita njia tu?
dah waTZ bado tupo nyuma yaani muda wote mnajadili pipi kha!
dah waTZ bado tupo nyuma yaani muda wote mnajadili pipi kha!
Hebu tujenge scenario hapa inayomake sense. Raisi anafanya ziara akiwa ndani ya moja ya mashangingi yake. Njiani anakutana na katoto ambako kwa dalili zote na za wazi kabisa kanareflect hali za watoto wengi vijijini. Kitu anachofanya Raisi ni kungiza mkono mfukoni au ndani ya boksi la pipi analotembea nalo kwenye gari na kukapa katoto haka pipi.
Katoto kanatoka mbio kwa furaha hadi kwa wazazi wake ambao kwa wakati huo labda hawajui hata mlo wa siku hiyo utapatikanaje. Wazazi wanamwuliza mtoto hizo pipi katoa wapi na mtoto anasema kapewa na Raisi ! Ghafla mzazi anakumbuka kwa mbali kuwa mwaka 2005 walipewa kanga, fulana na kofia wakati wa kampeni ili wampe kura mgombea Uraisi !
Baba anamgeukia mkewe huku macho yakilengalenga machozi na kwa huzuni anatikisa kichwa - anakumbuka jinsi maisha tangu siku hiyo yalivyozidi kuwa ya dhiki siku hadi siku !
Raisi aliyewaahidi maisha bora leo, miaka mitano baadaye, anapita akigawa pipi kwa watoto !
It shows how superficial he is; anaangalia matatizo na mambo kijuujuu bila kuwa analytical na kujua implications zake!! Hypothetically, suppose huyu mtoto angekuwa anaumwa kisukali, je angekuwa anamsaidia au kumuua? On the other hand angempa kalamu au daftari huoni kuwa hiyo ingekuwa motivation kwa mtoto kujifunza? Wamezowea kuhadaa watu kwahiyo mambo yao yote ni ya Kisanii Sanii!!
Sikutegemea Raisi awe anakwenda kufanya shopping ya kununua mipipi kwa ajili ya kuwagawia watoto fukara atakaokutana nao barabarani...
Chochote ambacho rasi angempa mtoto huyo ingekuwa issue..maswali hayakosekani hasa kwa watu wanaotaka kujua maana ya kila tendo!
Mabinti wa Kibongo ukimpa offer ya beer tayari wamekwisha judge unamtaka! ukimwambia karibu nyumbani utaulizwa kama una mke.. Ukimtongoza utaambiwa ngoja afikirie - ili mradi mchezo wa reality show imeanza...
Hivi wewe umeshawahi kutoa hata mchango wa mpira wa miguu katika shule uliyosoma? Kama wewe huwezi kutoa mchango wa maendeleo kwa kijiji chako au sehemu uliyotoka, unategemea rais afanye nini?
yani umewakilisha point wala sina cha kuongeza zaidi.alichofanya jk anajua na ndio maana kuna wengine wamemsifia humu ndani.wengine wanawashutumu wazazi kuhusu matatizo ya huyo mtoto,je na wale wazazi wanaopoteza maisha wakati wa kujifungua wamlaumu nani kwa huduma zetu mbovu za hospitali? serikali iliweza kutenga bil 19 kwa ajili ya chai kwenye wizara zao lakini serika hio hio haina hela kutoa japo glasi moja ya maziwa kwa wiki kwa watoto mashuleni? mpaka wale watoto wanaokaa chini mashuleni tuwalaumu wazazi ambao wengi wao tunajua hali ngumu ya maisha hilivyo lakini hela ya mafisadi kuiba hipo na bila mchukuaji kujulikana.It shows how superficial he is; anaangalia matatizo na mambo kijuujuu bila kuwa analytical na kujua implications zake!! Hypothetically, suppose huyu mtoto angekuwa anaumwa kisukali, je angekuwa anamsaidia au kumuua? On the other hand angempa kalamu au daftari huoni kuwa hiyo ingekuwa motivation kwa mtoto kujifunza? Wamezowea kuhadaa watu kwahiyo mambo yao yote ni ya Kisanii Sanii!!