Bluray
JF-Expert Member
- Mar 25, 2008
- 3,449
- 137
Na wewe bana.....nani anataka kumuua Kikwete?
Siyo lazima iwe security concern in the sense ya mtu kumuua, kuna vitu kama ajali etc. Kwa nini watoto huwekwa nyuma? Hii inaonyesha utovu sio tu wa itifaki, bali pia wa kanuni za usalama.
On the pipi tip, hapo naona kamjazia pipi kiasi kwamba ma dentist wanaweza ku take issue with the president's awareness when it comes to dental hygiene and health issues.