Naomba kupandiaha barua ya Ikulu mnamo mwezi January 23 ambayo ilitoa taarifa ya kufukuzwa kazi wakurugenzi kadhaa,soma jina namba 2 na jina namba 5 halafu pitia majina namba 80 na jina namba 115 kwenye teuzi zilizofanyika jana.
Katibu Mkuu kiongozi na wizara ya utumishi wanahitaji kumsaidia rais kwenye hili baadala ya kuacha limchafue maana umma wote utaamini ni "maamuzi"ya Rais Mama Samia.
Katibu Mkuu kiongozi na wizara ya utumishi wanahitaji kumsaidia rais kwenye hili baadala ya kuacha limchafue maana umma wote utaamini ni "maamuzi"ya Rais Mama Samia.