Rais Macron wa Ufaransa amwambia Netanyahu asisahau kuwa Israel imepatikana kwa azimio la Umoja wa mataifa 1948 hivyo aache kuidharau

Rais Macron wa Ufaransa amwambia Netanyahu asisahau kuwa Israel imepatikana kwa azimio la Umoja wa mataifa 1948 hivyo aache kuidharau

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Naona Rais Emmanuel macron kaamua kumpa makavu live maana jamaa anabwatuka hovyo.

Nchi yenyewe imepatikana kwa kura za Umoja wa mataifa na kura ya veto ya Marekani Leo hii anawaletea kiburi UN na kupuuza kazi na maamuzi ya UN. Huyu jamaa ajiangalie sana.

Tafadhali naomba wale wazee wa miaka 3000 mtupishe kidogo hapa tunajadili facts siyo nadharia. Nadhani mnajijua wenyewe Sina haja ya kuwataja.
Screenshot_20241015-192935.png
 
Habari za kimisikitini usilete kwa watu wanaopenda ukweli.. msihamishe ibada zenu za uongo hadi kuleta uongo jf.

Lete tweeter au word of Marcon not third part shehe from Msikiti Tv
Huwa una uwezo mdogo sana wa kufikiri,so ulitaka tweet ya macron mwenyewe,macron hutweet kila kauli yake!?
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-15-19-55-56-793.jpg
    Screenshot_2024-10-15-19-55-56-793.jpg
    303.8 KB · Views: 5
Naona Rais Emmanuel macron kaamua kumpa makavu live maana jamaa anabwatuka hovyo.

Nchi yenyewe imepatikana kwa kura za Umoja wa mataifa na kura ya veto ya Marekani Leo hii anawaletea kiburi UN na kupuuza kazi na maamuzi ya UN. Huyu jamaa ajiangalie sana.

Tafadhali naomba wale wazee wa miaka 3000 mtupishe kidogo hapa tunajadili facts siyo nadharia. Nadhani mnajijua wenyewe Sina haja ya kuwataja.
View attachment 3125858
Kumbe Macron ni kiazi hivyo?!!
Kwani kama iliundwa kupitia UN kuna shida?
Ndiyo magaidi waachwe wawe wanajipigia watakavyo?

Je, anasemaje kuhusu hizo nchi za Afrika zilizotakana na kikao cha majambazi (ikiwemo France) kule Berlin 1884-85?!!
 
Kumbe Macron ni kiazi hivyo?!!
Kwani kama iliundwa kupitia UN kuna shida?
Ndiyo magaidi waachwe wawe wanajipigia watakavyo?

Je, anasemaje kuhusu hizo nchi zilizotakana na kikao cha majambazi (ikiwemo France) kule Berlin 1884-85?!!
Kama iliundwa kwa azimio la UN basi waheshimu maazimio ya UN. Hilo nitusi kubwa sana. Kheri yetu watanzania nchi yetu haijapatikana kwa kikao cha UN.
 
Kumbe Macron ni kiazi hivyo?!!
Kwani kama iliundwa kupitia UN kuna shida?
Ndiyo magaidi waachwe wawe wanajipigia watakavyo?

Je, anasemaje kuhusu hizo nchi zilizotakana na kikao cha majambazi (ikiwemo France) kule Berlin 1884-85?!!
Inatakiwa umuelewe macron anamaanisha Israel ni nchi imepatikana kimchongo tu kwa sababu wenye nchi ni wapalestina. Sasa cha ajabu Netanyahu anawavimbia mpaka UN ambao ndio waliwapa nchi kinguvu haushangai hilo?
 
Kumbe Macron ni kiazi hivyo?!!
Kwani kama iliundwa kupitia UN kuna shida?
Ndiyo magaidi waachwe wawe wanajipigia watakavyo?

Je, anasemaje kuhusu hizo nchi zilizotakana na kikao cha majambazi (ikiwemo France) kule Berlin 1884-85?!!
Ya kwamba ww una uchungu na Israel kuliko Ufaransa iliyo shiriki kuliunda taifa hilo na mpaka sasa inashiriki kulilinda?
Uwo uchungu ungeuamishia kwenye nchi yako iliyo jaa mambo ya hovyo ingekuwa Jambo la maana sana.
 
Inatakiwa umuelewe macron anamaanisha Israel ni nchi imepatikana kimchongo tu kwa sababu wenye nchi ni wapalestina. Sasa cha ajabu Netanyahu anawavimbia mpaka UN ambao ndio waliwapa nchi kinguvu haushangai hilo?
Ya kwamba ww una uchungu na Israel kuliko Ufaransa iliyo shiriki kuliunda taifa hilo na mpaka sasa inashiriki kulilinda?
Uwo uchungu ungeuamishia kwenye nchi yako iliyo jaa mambo ya hovyo ingekuwa Jambo la maana sana.
Itoshe kusema tu kuwa huyo Macron ni mpuuzi mnoo 🚮
 
Inatakiwa umuelewe macron anamaanisha Israel ni nchi imepatikana kimchongo tu kwa sababu wenye nchi ni wapalestina. Sasa cha ajabu Netanyahu anawavimbia mpaka UN ambao ndio waliwapa nchi kinguvu haushangai hilo?
Tupe mstari hata mmoja unaotaja neno Palestine ndani ya Qur'an tukufu. Mmoja tu; wala sio miwili.
 
Macron kamchana Netanyahu na kumpa ukweli kuhusu chanzo cha taifa lake! Haya wafia dini uwanja wenu!

In clash with Netanyahu, Macron says Israel PM 'mustn't forget his country created by UN decision'​


Referring to the resolution adopted in November 1947 by the United Nations General Assembly on the plan to partition Palestine into a Jewish state and an Arab state.

Macron warned Israel’s prime minister not to forget that “his country was created by a UN decision”.





 
Back
Top Bottom