Imeandikwa;Ingekua sahihi kama angaelipa kwanza 100% ya mkopo wa Serikali aliokopa na riba yake ndio atoke
Kwani huko hospital binafsi anatibu wanyarwanda?Madaktari wanapata mkopo 100% wakiwa Chuoni, halafu tunawapa ajira Serikalini wanakimbia kisa maslahi, si ungekimbia wakati unasoma?
Inawezekana wanalipwa vizuri lakini mazingira yote ya kazi hayafai, ukitembelewa na DC , Waziri, Katibu mwenezi unaanza kuulizwa maswali kama mtoto na ukimkera kwa majibu hata kama upo sawa unawekwa ndani saa 48. Kuna watu walikuwa wanaondoka private sector na kwenda serikalini sio tu kwa kufuata malipo mazuri lakini kwa sababu mbali mbali kama :Sasa wangekuwa wanalipwa wangekimbia?
Hata kama alisomeshwa na serikali, bado ana uhuru wa kuchagua. By the way, huko private bado ana tibu Watanzania hao hao. Na analipa mkopo wake hakupewa bure.Huu ni upumbavu, Rais lazima asaidiwe na wasaidizi wake.....kauli zake za siku hizi hata chekechea anashangaa. Kuwekeana masharti mtu anatafuta maisha yake ni ujinga, ajirini wengine wapo mtaani kibao tu...........what if alijisomesha mwenyewe hakutumia huu mkopo ambao umeturudisha kwenye Ukoloni aliopambana nao Nyerere.
Lbd anatibu kuku, alafu et hana uzalendo. Hiv huyu mzee anaujua uzalendo kweli?? Kwani huyo daktari amekimbilia malawi kuwatibu wamalawi au ? Raisi mjinga kweli huyu. Anazeeka vibaya kweli. Nahis bora m7 anajua kuchanganua mambo💥Kule hawatibu watu ?
Wanadaiwa ?, Wamelipa hawajalipa ?, kuliko kufungia hospital / mtu anayetibu watu pia ni rahisi sana kwenye mkataba wa mkopo waseme kwa miaka kadhaa lazima ufanye kazi ya serikali sehemu yoyote utakayopelekwa (hapo mtu anakuwa anabanwa kwa mkataba) sio aina hii ya sheria / maamuzi kutoka kwenye kinywa cha mtu
Daktari aliyeajiriwa mwaka Jana kwa ajira za kutafutia kura kabond lini na serikali?Kuna watu/ wafanyakazi wakienda masomoni, wanawekeana bond na mwajiri/ serikali tena kwa viapo mbele ya shahidi mwana sheria kuwa akimaliza masomo lazima arudi hapa kwenye kituo cha kazi afanye kazi miaka mitano ndipo ahame kutafuta marisho ya kijani ama aendelee pale. Na wanafanya hivi kwa sababu mfanyakazi wao huyo anakuwa analipwa mshahara akiwa kwenye likizo ya masomo. Sasa akimaliza masomo na akasema anatafuta marisho ya kijani mbuga nyingine, bond inamlazimisha kulipa gharama/ stahiki zote alizolipwa akiwa masomoni.
Tukirudi kwa ndugu yetu daktari. Je. Alikuwa na bond na serikali !?
Pity that the guy has gone too low beneath the belt! He seems to be really frustrated in the statehouse. Hii sasa ni mlevi kula cha mgema, siyo kinyume chake!mbona ameanza ku behave kama slave lord
Amefika mbali sana........hizi kauli zake zinamadhara sana kwa sector binafsiHata kama alisomeshwa na serikali, bado ana uhuru wa kuchagua. By the way, huko private bado ana tibu Watanzania hao hao. Na analipa mkopo wake hakupewa bure.
Huyu baba sasa atafutiwe jina..
Jibu hoja yangu: private waende mtaani, madaktari wapo fulllKwahiyo mtu aendelee kupata take home laki 5 ndiyo uzalendo wakati kuna mtu anataka kumpa take home 1.3m.....tuache mawazo ya kimaskini
Hili waimba mapambio watakutoa macho.Mengine watu washaongea uwezi kwenda kufungua hospitali kubwa kila sehemu, kuna maeneo hayana motisha kwa wafanyakazi kuishi hasa medical consultants.
Binafsi nimetabiri hospitali inayojengwa Chato itashushwa hadhi soon as Magufuli leaves office, kwa sababu Chato sio sehemu ya kuweka consultants.
Ni bora waiongeze ukubwa hospitali ya Geita mjini ije kuwa ya kanda the area as the right population density na ni mji mkubwa. Lakini Chato bora wajikite na hospitali ya wilaya I do not see senior consultants wenye demand kubwa ulimwenguni kuishi Chato.
Hakuna kipengere kwenye mkataba wa mkopo kinachosema kuwa ukimaliza Basi ufanye kazi serikalimiIngekua sahihi kama angaelipa kwanza 100% ya mkopo wa Serikali aliokopa na riba yake ndio atoke