Una akili sana hahaawatu wanatafuta kiki tu hapo.
wametengeneza tatizo ili waonekane wamelitatua!
si ajabu waziri mhusika akatolewa kafara.
Ulijuaje!Headlines za gazeti la Uhuru kesho: "Magufuli awapa wastaafu zawadi ya mwaka mpya" Asema hatasaini sheria mpya inayowanyonya wafanyakazi, aagiza kikokotoo za zamani kiendelee kutumika. Aahidi kuendelea kuboresha maslahi ya wafanyakazi
Hahaa hii inaitwa kujitekenya na kucheka mwenyeweUjinga mtupu alete matatizo yeye unamsifia kwa lipi
Haha ha haaThis time around serikali inafanya mchezo wa "hide and seek". Yaani una create tatizo na baadaye unakuja na majibu yake. Baadaye unasimama mbele ya makamera na kusitisha 25%, hii ni serikali ya wanyonge ndugu zangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tengeneza tatizo kisha tatua tatizo.....hahahahhaa only in TzUnaposema utanipa kidogokidogo haiingii akilini, hata Waziri akimaliza Ubunge wake ukimwambia utampa 25% kisha nyingine kidogo kidogo hawezi kukubali
Huenda ukawa sahihi mkuu Mr Q , ila kumbuka huyo bwana hashindwi kitu inapokuja suala la kugain sifa za kisiasa. Usishangae leo akasema anatoa 100% zote😁😁😁nani kakwambia atasitisha subiri majibu. atakacho fanya labda kuongeza 5%-10% na itakomea hapo.
Hii mbinu muasisi wake mkuu ni Hitler " Aliwahi kulipua bunge la nchini kwao ili,ajipatie sympathy toka kwa wananchi .. na Akafaulu kuupata utawalaSitashangaa kusikia kuwa leo anawaongeza jmaa mishahara ghafla na mambo ya kikokoto kipya anayatupilia mbali. Hii ndyo inaitwa create a problem, solve it and become a hero in politics
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapumbavu sana hao watu,tena Mhagama anaongea kwa madaha kabisa sijui anamletea nani urembo pale nyambafi kabisa huyo mamaJENISTER MHAGAMA NA HUYU MAMA IRENE WA SSRA YAPASWA WATUMBULIWE HAPOHAPO, HAWAYAJUI MAISHA YA WANYONGE WA TANZANIA, HAWAJUI HALI HALISI YA WAAJIRIWA WA TANZANIA, SUALA HILI LA KIKOKOTOZI NA FAO LA KUJITOA LINAHITAJI WATU WENYE AKILI TIMAMU KULETA SULUHU LA KUDUMU ILI LISIUMIZE WAFANYAKAZI..
JENISTER MHAGAMA NA HUYO MAMA IRENE THEY MUST GO..