Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Credit gani? Mwanzon walikuwa wanalipwa kwa asilimia ngap? Yaan utengeneze tatizo kwa makusudi,halafu unalitatua. Mwisho wa siku uonekane jasiri

kwa hiyo unasemaje wewe mwenzetu
 
upuuzi mtupu matatizo utengeneze wewe halafu ujifanye kutatua wewe... nitaendelea kukuona mjinga sana ukiomba tena nafasi 2020
 
Wengi hawajui kama jamaa kafinyanga hili zimwi mwenyewe na kaliimba usiku na mchana hadi likaanza kuwatisha watu hadi wameamua kumpigia magoti aliue mwenyewe na kafanya hivyo. Siasa ni sihasaa kweli kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha mbona kikokotoo kilipopita upinzani ndiyo walilalamika sasa maamuzi yamechukuliwa kwa wakati mnaanza kulialia, Upinzani Tanzania hakuna yamebaki majigambo tu

Hiyo inaitwa chukua maamuzi magumu kwa wakati.Hongera JPM kura yangu 2020 kwako
 
Hebu rudia tena kusoma utumbo wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hayo ndio mambo sasa.. wastaafu watakula kuku kwa mrija.
 
Regardless ya nani kutengeneza tatizo na nani kalitatua, bado tuna kitu cha kupongeza kwa maamuzi haya.

Pia naomba FAO LA KUJITOA liwe nalo limerudishwa.
 
Hongera Bulaya, marehemu bilago na jmyika kelele zenu zimewaogopesha hawa wezi, ndo umuhimu w demokrasia
 
Tembeeni kifua mbere tena mkiwa mmevua mashati.. tupo kweny β€œrait traki”..[emoji1]
 
Na kuna kila dalili Irene akatumbuliwa anytime!
 
Toka lini wapinzani wanaongoza Tughe, tucta,cwt, pspf,nssf n.k maana hawa ndo waalialikwa ikulu kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Rais ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenye akili wanaelewa kinachoendelea ...kwa hili/sasa Hongera JPM.!Politics is defined as ..Who get what ,when,where and How
 
😑😑😑😑😑😑
 
WALE UVCCM WALIOKUWA WANAPONGEZA SHERIA HII KANDAMIZI NA KUWAZODOA WOTE WALIOIPINGA NAPENDA KUWAPA POLE. ILA MNARUHUSIWA PIA LEO KUPONGEZA
Nchi imepata rais sahihi asiyeangalia chama chake kina msimamo gani, yeye ni problem solver wa wananchi bila kujali vyama wala dini
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



HII SERIKALI INAONA WATU NI MATAIRA SANAAA... HAYA BABA TUMEKUSIKIA WEWE NDO MKOMBOZI WA WAFANYAKAZI!

UNATENGENEZA TATIZO ALAFU UNALITATUA HII NDO TZ YA VIWANDA..!!
ujingaaa ujingaaa tuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…