mbazitz
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 731
- 1,013
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana bahati sana yaani!!!raha sana! ukiwa umeajiriwa na serikali au shirika la umma wewe ni kama mtoto wa familia bora usipolizika unajiliza kisha baba anakuja kukubembeleza!
sasa njoo huku sekta binafsi ikiwa mshahara 300,000 ni hiyo tu na haitegemei kupanda na hakuna huduma zingine kama matibabu
changamoto ya maisha haya inakuja pale kazi inapokwisha uishi maisha binafsi kama haukujipanga na kwa bahati mbaya ulikuwa na kipato kidogo na nyongeza ulichelewa kuoa na kujenga familia hivyo mtoto wa kwanza yuko form two!
hivyo nawashauri tumieni fursa ya kuajiriwa kukopa na kuwekeza sio kununua vigari kila kukicha hatuoni wivu lakini ndo ukweli tulioko huku tunaona fursa mnazo sana kuzidi mnavyofikiria.
hivi kuna tabu gani ukakopa ukanunua bajaji ukatumia kama 7,000,000/- mpaka 8,000,000 kwa siku ukapata 20,000 ambazo kwa mwaka ukapata 7,200,000/- inayotosha kusimamisha nyumba ndogo ya kupangisha ya vyumba viwili mpaka linta? tutaendelea nina mteja kwanza
Acha dharau we mzee aliyekutuma kamambie UMEWAKUTA hawapo....RAIS WA WANANCHI NA MASKINI WA TANZANIA
Yaani ni uandishi mbovu Sana.We jamaa uandishi wa miherufi mikubwa ndo nini sasa?
Mzee wa kutengeneza matatizo na kuyatatua.
Nasubiri hapo kwenye FAO la kujitoa, naziona dalili za kuturudishia hii kitu.
Hahahaaah inawezekana.ANATENGENEZA MATUKIO ALAFU ANATEST UPEPO UPO VIPI, THEN ANAKUJA KUSEMA NIMEAMURU RASMI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaenda kuwanyamazisha kwa biti moja kaliiiiiiiiiiiiiii sana wasipinge tena masuala ya KIKIOKOTOOOOOOOOOOOOOOOO. Kama alivyowazima mwaka jana kuhusu stahiki za watumishi.Rais Dkt. John Magufuli anatarajia kukutana na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), vyama shiriki, Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (PSSSF & NSSF) na SSRA Asubuhi hii, Ikulu jijini Dar es salaam. Ni kuhusu Mafao ya wafanyakazi hususani KIKOKOTOO.View attachment 979324
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo anaweza kutamka mkuu ili ajichukulie point 3Sidhani kama kutatokea jipya hapo, zaidi ya kupigilia msumari katika ishu yenyewe.