Uncle Araali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 950
- 1,262
Ili usiropokeili iweje
Yani nyie magamba shida kweli, nyie mwanzo si mlikuwa mnapongeza kuwa 20% ni sawa, leo tena ooh Rais kafanya sawa, mko ka kinyonga bana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna jipya hapo maana pesa zote za mifuko ya hifadhi ya jamii pesa zote ashazitumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini weweeMafao ya kustaafu hayana vyama!
Mnasema kwa kujifurahisha tu na kufurahisha genge. 2020 anapita kwa 90% na siai tunawaona mambulula tuHahaha silaha ndo hizi hizi mpaka unaona anahangaika kujibu sasa hivi ujue 2020 atapata tabu sana
Upo nae mm nitoe mzee babaTatizo LA wapinzani ni kupinga hadi mafanikio, ama kweli kwa JPM, wapinzani wataisoma namba, Jamaaa anakandamiza vibayaaa. Big up JPM. Tupo nawe bega kwa bega
Haijachelewa mkuu maana ulikuwa bado mswada.Naunga mkono maamuzi ya busara ya Mh Rais Magufuli. Hata hivyo naona kauli yake imechelewa kidogo. Binafsi nilitaraji kusikia msimamo huu mara tu baada ya malalamiko ya wafanyakazi kuanza kusikika. Hata hivyo, Waswahili wa Ulaya wanasema better late than never. Hongera Mh. Rais.
Watu sijui akili zenu mnawekaga wapi? Yeye ndiye aliyepitisha baada ya kuona hali mbaya akaamua kujifanya kama hajui kinachoendelea!!Hongera sana rais wetu kwa kusimama upande wa watumishi ambao wengi wao walikuwa wameanza kupoteza matumaini.Tunaomba pia ulishughulikie suala la nyongeza ya mishahara.Maneno yako yalidhihirisha nia njema uliyo nayo kwa Tanzania na watu wake wote.Viva JPJM.
Kupinga kila kitu na kusifia kila kitu ni upungufu wa fikra pevu.
Be blessed abundantly my president.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya hao wabunge wa CCM waliokua wanakubali hicho kikokotoo kipya itakuaje ni wazando au upinzani ndio wazalendonimeanzisha uzi huu kabisa kumpongeza rais wetu kwa maamuzi yake ya leo.
tunahitaji Rais msikivu na anayejali maslahi ya Taifa na ustawi wa wananchi wake. Hili rais wangu umelionyesha bila kusita.
pia umegusia hata fao muda maalum kama wafanyakazi wa migodi au kazi za muda
niseme ukweli kabisa napenda upinzani sutawi lakini utendaji wako hauna shaka kabisa.
sisemi hatuhitaji upinzani ila tunahitaji upinzani wa mawazo mbadala na kuboresha zaidi
pi a natumia nafasi hii kumpongeza mbunge wa chadema aliyesimamia swala la kanuni ya kikokotoo kuingia kwenye sheria.
Tanzania yetu ni moja na sisi sote ni wamoja. hongera wapinzani na hongera Rais wetu
pia hongera wa elimu bur watoto wa masikini kule kijiji umefanya difference kubwa sana, pia hongera kwa mradi wa kimara to kibaha na pia hongera kwa stand ya ubungo.
maamuzi ya leo umegusa wengi na umeonyesha namna gani unaelewa haki
kama umeguswa na maamuzi ya leo ema kitu hapa
Ata akipita lkn atahenyweshwa kidogo manaa ana group kubwa la wasiompendaa ukianzia na wafanyakaziMnasema kwa kujifurahisha tu na kufurahisha genge. 2020 anapita kwa 90% na siai tunawaona mambulula tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kama baba wa nyumba kuna kitu kitafanyika bila wewe kujua? Eti uje kujua mwishoni kabisa!! Ina make sense? Kwa akili zako unadhan alikua hajui hili swala?
Nasikia utekelezaji wa 25% ulianza Aug na kuna Mama alienda kuchukua 50M akajikuta anapewa 25M akazimia.Sasa baada ya Rais kubadili hiyo,Je! Yule Mama atapewa 25M yake iliyobaki?Naunga mkono maamuzi ya busara ya Mh Rais Magufuli. Hata hivyo naona kauli yake imechelewa kidogo. Binafsi nilitaraji kusikia msimamo huu mara tu baada ya malalamiko ya wafanyakazi kuanza kusikika. Hata hivyo, Waswahili wa Ulaya wanasema better late than never. Hongera Mh. Rais.