Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Namkumbuka Kinana, alisema Kuna mawaziri wengine ni mizigo. Hata huyu waziri wa sasa ni mzigo kwa taifa.
 
Kabisa Mkuu wamechota trillions 8 hawataki kuzilipa na kwa unafiki wake hakuzisema hizo. Inawezakana kabisa kulipa wastaafu 75% ya mafao kwa mkupuo ikiwa tu Serikali italipa deni lake lote na kuacha kabisa kutumia pesa ambazo si zao.

Hakuna jipya hapo maana pesa zote za mifuko ya hifadhi ya jamii pesa zote ashazitumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aache kujikuta mwokozi kana kwamba ye Yesu
 
Hahaha silaha ndo hizi hizi mpaka unaona anahangaika kujibu sasa hivi ujue 2020 atapata tabu sana
 
Naunga mkono maamuzi ya busara ya Mh Rais Magufuli. Hata hivyo naona kauli yake imechelewa kidogo. Binafsi nilitaraji kusikia msimamo huu mara tu baada ya malalamiko ya wafanyakazi kuanza kusikika. Hata hivyo, Waswahili wa Ulaya wanasema better late than never. Hongera Mh. Rais.
 
Wenzetu wa visiwani Znz kuanzia mwaka 1990 mpaka 2000 hawatasahau madhira ya serikali ya komandoo salmin amour. Komandoo alikuwa hana tofauti sana na matendo anayofanya Magufuri isipokuwa yeye alikuwa akimtuma Naibu waziri kiongozi Ali Juma Shamhuna kuharibu Sheria na kanuni kisha yeye (komandoo) atafute ufumbuzi ili kujiijenga kisiasa. Ikumbukwe huyu Shamhuna alithubutu (kwa kutumwa) kufanya siasa za fitna na ubabe hasa kuleta dhana ya uunguja na upemba kiasi kutaka kuikanyaga katiba ya Znz ili Komandoo aitawale milele kwa manufaa yao. Ndiye huyu bwana anachokifanya na bahati mbaya waTz tuna kaujinga fulani cha kutokuwa na kumbukumbu ya matendo ya Viongozi ili kujua dhamira yao. Sasa hivi hatukumbuki vita yake na TEC maana angefanikiwa pale utawala wa sheria tungeusikia kwa Nchi za wenzetu
 
Naunga mkono maamuzi ya busara ya Mh Rais Magufuli. Hata hivyo naona kauli yake imechelewa kidogo. Binafsi nilitaraji kusikia msimamo huu mara tu baada ya malalamiko ya wafanyakazi kuanza kusikika. Hata hivyo, Waswahili wa Ulaya wanasema better late than never. Hongera Mh. Rais.
Haijachelewa mkuu maana ulikuwa bado mswada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana rais wetu kwa kusimama upande wa watumishi ambao wengi wao walikuwa wameanza kupoteza matumaini.Tunaomba pia ulishughulikie suala la nyongeza ya mishahara.Maneno yako yalidhihirisha nia njema uliyo nayo kwa Tanzania na watu wake wote.Viva JPJM.

Kupinga kila kitu na kusifia kila kitu ni upungufu wa fikra pevu.

Be blessed abundantly my president.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu sijui akili zenu mnawekaga wapi? Yeye ndiye aliyepitisha baada ya kuona hali mbaya akaamua kujifanya kama hajui kinachoendelea!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimeanzisha uzi huu kabisa kumpongeza rais wetu kwa maamuzi yake ya leo.
tunahitaji Rais msikivu na anayejali maslahi ya Taifa na ustawi wa wananchi wake. Hili rais wangu umelionyesha bila kusita.

pia umegusia hata fao muda maalum kama wafanyakazi wa migodi au kazi za muda

niseme ukweli kabisa napenda upinzani sutawi lakini utendaji wako hauna shaka kabisa.
sisemi hatuhitaji upinzani ila tunahitaji upinzani wa mawazo mbadala na kuboresha zaidi

pi a natumia nafasi hii kumpongeza mbunge wa chadema aliyesimamia swala la kanuni ya kikokotoo kuingia kwenye sheria.

Tanzania yetu ni moja na sisi sote ni wamoja. hongera wapinzani na hongera Rais wetu

pia hongera wa elimu bur watoto wa masikini kule kijiji umefanya difference kubwa sana, pia hongera kwa mradi wa kimara to kibaha na pia hongera kwa stand ya ubungo.

maamuzi ya leo umegusa wengi na umeonyesha namna gani unaelewa haki


kama umeguswa na maamuzi ya leo ema kitu hapa
Haya hao wabunge wa CCM waliokua wanakubali hicho kikokotoo kipya itakuaje ni wazando au upinzani ndio wazalendo
 
Naunga mkono maamuzi ya busara ya Mh Rais Magufuli. Hata hivyo naona kauli yake imechelewa kidogo. Binafsi nilitaraji kusikia msimamo huu mara tu baada ya malalamiko ya wafanyakazi kuanza kusikika. Hata hivyo, Waswahili wa Ulaya wanasema better late than never. Hongera Mh. Rais.
Nasikia utekelezaji wa 25% ulianza Aug na kuna Mama alienda kuchukua 50M akajikuta anapewa 25M akazimia.Sasa baada ya Rais kubadili hiyo,Je! Yule Mama atapewa 25M yake iliyobaki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom