Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Hata kama ajisafishe namna gani,mimi kama mtumishi ninamwelewa huyo jamaa kama mtu mwenye roho mbaya dhidi ya wafanyakazi.

Lenyewe liliacha Ualimu kwa sababu ya maslahi duni,likakimbilia Kemikali ambako hapo napo halikukaa sana likaibukia kwenye Siasa,hiyo yote linatafuta 'green pasture'.Halafu leo linawahadaa wengine.

Mbona lenyewe halikubaki kwenye Ualimu hadi likafia huko kama Ualimu unalipa?...Kichwa kama dafu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...
Naskia wafanyakz wanavyoimba uko awajui kua ni upepo

But kikubwa hela
 
Back
Top Bottom