Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Wanyonge wanasema Lissu kanyagia hapo hapo.

Siku tatu tu baada ya kutangaza nia kumeleta presha namna hii. Je ukianza kukata mbuga?

Hizi ni dalili za beki wao kuanza kurudisha mipira kwa kipa. Au tuseme jamaa kakimbilia kituo cha Polisi baada ya wananchi kumtait.

Kwa dalili hizi hatutashangaa kusikia uchaguzi umeahirishwa kuokoa hela za wanyonge
 
Ifahamike kwamba kada maarufu wa CCM, ambaye pia ni Rais wa TUCTA, Tumaini Nyamuhokya, pamoja na kada mwenzake (Katibu mkuu wa TUCTA), Yahya Msigwa, walitetea sana kikotoo hiki na kusema kuwa wao ndio walipigana hadi kikawa 25%. Ushahidi huu unaashiria kuwa CCM walidhamiria kuwaumiza wastaafu kwa makusudi kwa kuwa wao ndio waliohusika kuifilisi mifuko ya hifadhi ya jamii baada ya kuchota zaidi ya Tsh trilion 8 kwa ajili ya kufanyia mambo yao ya kununua wapinzani.

Serikali yabanwa ilipe Sh8.4 tril mifuko ya hifadhi

Aidha, CCM kama chama wamechota Tsh 600,000,000,000 kutoka kwenye mifuko hiyo na kuiacha mifuko ikiwa hoi bin taabani. Kwa hiyo, CCM ndio waliohusika 101% kuleta kadhia hii.

Sasa inapotokea mtu ambaye ndiye anayesaini sheria hizi kandamizi akajitokeza hadharani kujifanya anawatetea wafanyakazi, sote tunapaswa kumshangaa sana. Na pia makada wa CCM (Nyamhokya na Msigwa) wapo kule TUCTA kwa ajili ya kukandamiza haki za wafanyakazi na kuitetea CCM kwa nguvu zao zote. Hebu msikie kada wa CCM (Nyamhokya) anavyotetea kikokotoo kipya cha 25% halafu leo hii anajifanya kuwa na uchungu na wafanyakazi:

Pensheni mpya yaibua gumzo
Unaongea pumba sana.Nenda kashtaki
 
habari wadau..

mifuko imeunganishwa imebaki miwili tu..

kuna haja gani ssra kuwepo.

watu wanaiba na kujenga ma eco village na elephant project kwa hela za wanachama ssra kimya tu.

watu wanaweka vikokotoo vya kinyonyaji ssra kimya..


najiuliza ssra wanafanya kazi gani

nazani ssra ingefutwa tu kama ile taasisi ya dodoma ya viwanja janja janja ilivyofutwa
 
Wanyonge wanasema Lissu kanyagia hapo hapo.

Siku tatu tu baada ya kutangaza nia kumeleta presha namna hii. Je ukianza kukata mbuga?

Hizi ni dalili za beki wao kuanza kurudisha mipira kwa kipa. Au tuseme jamaa kakimbilia kituo cha Polisi baada ya wananchi kumtait.

Kwa dalili hizi hatutashangaa kusikia uchaguzi umeahirishwa kuokoa hela za wanyonge
urais ni jukumu kubwa sana kwa Lissu,tuweni wakweli
 
Jiwe anajiangusha mwenyewe maana yeye mwenyewe alitia saini juu ya hio sheria, inaamana hakuisoma? Labda tufanye hakusoma sababu imeandikwa kwa kiingereza je washauri wake hawakumshauri ipasavyo...tufanye hawakumshauri je hao washauri au wasaidizi wake hawakumtafsiria pia?
 
Sisi
Screenshot_2018-12-28-19-17-20.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ndio maana huwa naunga mkono upinzani, maana hoja zao zimelenga zaidi kuwatetea watanzania.

Unaweza leo usielewe hoja za upinzani lakini ipo siku utazikumbuka na kuzielewa.

Viva Mnyika.
Viva Ester Bulaya.
Viva CHADEMA.
 
Jiwe ni design ya wale watoto ambao ukimtishia picha za kutisha lazima kama sio kuota usiku basi lazima akojoe kitandani. Anamuogopa sana Lissu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom