Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,218
Umeeleweka mkuu hata sisi hatuko salama kihivyooAisee!! Sisi wengine ni "Verified User" kama alivyo Pascal Mayalla mabandiko mengine tutaishia kusoma tu na siyo kuchangia!!
Mkuu ndani ya siku moja(saa 24) unaanzisha nyuzi ngapi? Kama hutojali, nini kazi yako inayokupatia mkate wa kila suku?Ukitaka kupima kuwa rais amechoka, hafikirii nje ya wigo, ni haya anayoyafanya.
1. Alijigamba kuwa mtu akiharibu kazi hamuhamishi, anafukuza.
2. Alipotengua nafasi ya Mwigulu alimsema sana kwa kuwa incompetent.
3. Leo anampa wizara ya Katiba.
Amechoka, hana jipya, amekata tamaa.
Waziri wa katiba na sheria atakua Mwigulu Nchemba, habari ndio hiyo!Ukitaka kupima kuwa rais amechoka, hafikirii nje ya wigo, ni haya anayoyafanya.
1. Alijigamba kuwa mtu akiharibu kazi hamuhamishi, anafukuza.
2. Alipotengua nafasi ya Mwigulu alimsema sana kwa kuwa incompetent.
3. Leo anampa wizara ya Katiba.
Amechoka, hana jipya, amekata tamaa.
Badili kwa ID yako ikiwa original urudi tupige story mbili tatu.Kwamba utakamatwa na kuminywa pumbu?
Mbona ndo hii hii original..Badili kwa ID yako ikiwa original urudi tupige story mbili tatu.
Ukitaka kupima kuwa rais amechoka, hafikirii nje ya wigo, ni haya anayoyafanya.
1. Alijigamba kuwa mtu akiharibu kazi hamuhamishi, anafukuza.
2. Alipotengua nafasi ya Mwigulu alimsema sana kwa kuwa incompetent.
3. Leo anampa wizara ya Katiba.
Amechoka, hana jipya, amekata tamaa.
Labda vioja vya aliyemrithi Mwigulu kwenye wizara ile vimemfikirisha mzee Baba.Ukitaka kupima kuwa rais amechoka, hafikirii nje ya wigo, ni haya anayoyafanya.
1. Alijigamba kuwa mtu akiharibu kazi hamuhamishi, anafukuza.
2. Alipotengua nafasi ya Mwigulu alimsema sana kwa kuwa incompetent.
3. Leo anampa wizara ya Katiba.
Amechoka, hana jipya, amekata tamaa.
Wala hatuwzi kukushangaa kwani ni Bendera fuata upepo. Rejea Uwaziri wake ulivyovuliwa mlisemaje na leo hii??CHADEMA wameumia sana Mwigulu kurudi, hakika hofu ya CHADEMA ni kubwa sana.
Bangi Lugoba naye atarudishwa mambo yakiwa kama yanavyoendelea.Ukitaka kupima kuwa rais amechoka, hafikirii nje ya wigo, ni haya anayoyafanya.
1. Alijigamba kuwa mtu akiharibu kazi hamuhamishi, anafukuza.
2. Alipotengua nafasi ya Mwigulu alimsema sana kwa kuwa incompetent.
3. Leo anampa wizara ya Katiba.
Amechoka, hana jipya, amekata tamaa.
Jamii forums.Kwamba rais alichagua mtu mzembe hivi kuwa waziri inaonesha rais mwenyewe naye ni mzembe.
Jamii forums.