Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba

Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba

Hongera Comrade.
20200502_074416.jpeg


Sent using iphone pro max
 
jiwe kala matapishi yake. rais wa mawe kaibuka mshindi katika hili.
 
 
Mheshimiwa Rais kachambua udhaifu kwa kina kwelikweli!

mimi tokea ni mjue sijawahi kumuelewa hata kidogo.bora kapumzishwa

Sababu zimejitoshereza mh. Rais umechukua hatua nzuri na mhimu.

Mkapa alipoamua kumshughulikia Kiura hakuchua muda kihivyo...., Kikwete alipoamua kuwashughulikia akina Mahalu, Mramba na Yona hakupoteza muda kihivyo ...... sasa hii ya kusubiri miaka miwili na nusu ndiyo unaanzakuibua hoja inatia wasi wasi kidogo kama kweli kuna nia ...........!!

Hoja ya Lugumi ilipigia kelele sana humu na Bungeni ... Muda unavyozidi kwenda ndiyo ushahidi unavyozidi kupotea au kuwa mgumu. Mashahidi wengine wanakufa, wanastaafu n.k.

Sababu zinajitosheleza no more sympathy.
Miaka mine baadaye Mwigulu bado ni yuleyule na ujinga wake uleule, apumzishwe for good.

Mama Samia hili Bomu analolifuga ni timer bomb, litamlipukia mwenyewe.
 
Back
Top Bottom