Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba

jiwe kala matapishi yake. rais wa mawe kaibuka mshindi katika hili.
 
 
Mheshimiwa Rais kachambua udhaifu kwa kina kwelikweli!

mimi tokea ni mjue sijawahi kumuelewa hata kidogo.bora kapumzishwa

Sababu zimejitoshereza mh. Rais umechukua hatua nzuri na mhimu.


Sababu zinajitosheleza no more sympathy.
Miaka mine baadaye Mwigulu bado ni yuleyule na ujinga wake uleule, apumzishwe for good.

Mama Samia hili Bomu analolifuga ni timer bomb, litamlipukia mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…