Rais Magufuli afanya Mabadiliko ya teuzi, amteua Mhandisi Mwita kuwa RC Njombe

Rais Magufuli afanya Mabadiliko ya teuzi, amteua Mhandisi Mwita kuwa RC Njombe

Magufuli anakurupuka mpaka anakosea, hii maana yake anaowateua anakuwa hawafahamu vizuri, anakuja kushtuka ameshaingia chaka.

Waache watu wachukue fomu huku wakiendelea na majukumu yao mzee.
 
Vipi tena jumanne faili lake limechafuka au kuna assignment hajamaliza huko ofisi ya rais?
 
Jumanne Fikha kaona ni ujinga tu, kaukataa uteuzi!

Mzee Jiwe ajitafakari kwenye vetting, sio kurpu kurupu tu!!
 
Kabla ya juzi mkuu wa mkoa wa Njombe alikuwa Ole Sendeka, juzi akawa Jumanne Fikha, leo Mwita Rubya!

Ushauri wangu kwa mheshimiwa Rais, kwa sasa aachane na haya mambo ya kutumbua na kuteuateua, afanye mambo mengine. Hayana faida yoyote kwa sisi wananchi, tumeshayachoka.
Mbona hata hujuwi kinacho endelea una anza laumu sibora ukae kimya. Nani kamtumbuwa? Au umeelewa nn kwenye mada some time waza postive
 
Wale Wataalamu wa Nyota... hivi huu ndo Mwezi Mchanga, au ni Upepo wa Kusi?! Hoyaa Mshana Jr, hivi huku kwenye mambo ya Mwezi Mchanga huna utalaamu nako?!

Kule Uswahilini kwetu nasikia kuna kitu kinaitwa kipaipai! Nasikia watalaamu wa kipaipai wakitaka kukupiga chuma, huwa wanafunga kikaratasi kwenye mti!! Sasa ngoja pepo la kusi lianze kupeperusha kikaratasi huku na huko constantly!!!

Ndo hapo unakuta jamaa mmekaa mnapiga nae stori, mara anainuka huyoo, mbele kidogo mara anasimama na kurudi alikotoka kabla hajabadili tena njia kueelekea upande mwingine... ni mwendo wa kufuata mwelekeo wa kikaratasi hadi Kusi lipite!!

Halafu hata sijui nilitaka kusema nini hasa hapo manake nishasahau... cjui na mimi ndo Pepo la Kusi lenyewe!!!

Ila tuache masihara... Watanzania tuweke siasa pembeni tukisake hicho kikaratasi kwa udi na uvumba kabla hamjasikia Bashite kateuliwa kuwa RPC Kanda Maalumu ya Kinondoni!!
 
Kabla ya juzi mkuu wa mkoa wa Njombe alikuwa Ole Sendeka, juzi akawa Jumanne Fikha, leo Mwita Rubya!

Ushauri wangu kwa mheshimiwa Rais, kwa sasa aachane na haya mambo ya kutumbua na kuteuateua, afanye mambo mengine. Hayana faida yoyote kwa sisi wananchi, tumeshayachoka.
Cheo cha kuteuliwa na President kinakua effective pale mteuliwa anapochukua kiapo chake.
 
kanda pendwa inazidi kungaraaaaaaaaaaaaaa
Really now!?... Hii ni Sawa na kusema wabunge wa CCM wamejazana kwenye kamati za kudumu za Bunge bila kutilia maanani wao ndio wengi Bungeni...FYI kanda Ile INA 1/3 ya population ya nchi hii. Na demokrasia mara nyingi unasema wengi wape.
 
Back
Top Bottom