Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,166
- 13,514
Hapana kuna hizo unazotaja halafu kuna ofisi ya rais kama ofisi ya rais yaan!!Yeah si unajua hata Tamisemi ipo chini ya Rais, Takukuru, UWT na Matume kibao
Bado tu hujaelewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana kuna hizo unazotaja halafu kuna ofisi ya rais kama ofisi ya rais yaan!!Yeah si unajua hata Tamisemi ipo chini ya Rais, Takukuru, UWT na Matume kibao
Alisha sema inategemea na alivyo amka[emoji3][emoji3]Rais anabadilika kama kinyonga.
Alimpa Assignment hakuimaliza ikabidi amrudisheRais anabadilika kama kinyonga.
Kabla hajamchagua hayo yote hakupitia ?Alimpa Assignment hakuimaliza ikabidi amrudishe
Umejuaje amekurupuka?Madhara ya teuzi za kukurupuka tena siku za mwisho wa week kabla gambe halijakata kichwani
Huwa anakasirikaga kasirikaga ndiyo maana hapitii vitu kwa kina.Kabla hajamchagua hayo yote hakupitia ?
Rais anabadilika kama kinyonga.
Hivi mkuu wa mkoa akiumwa, akiwa likizo, akisafiri mbali, mkoa unaongozwa na nani?Mkoa hauwezi kukaa bila kiongozi!
Kumbe ofisi ya rais kuna wafanyakaz kibao
Hujanielewa wewe bado,nilimaanisha usalama hawasemagi wanasema tu kaajiriwa ofisi ya raisi.Yeah hujui ata mwalimu yuko ofisi ya rais mkuu?[emoji5][emoji5]
Watumishi wote wa halmshauri bado ni ofisi ya rais
Usishangae sana
Sasa hivi wote waliokuwa wamechoka kuwa viongozi chini ya JPM mlango pekee wa kutokea ni huu.Ukute mteuliwa wa mwanzo nae kachukua form dadeki zake.
Wapi?Kafanya kazi siku mbili tu
Kwani ukiendelea na majukumu yako nA yeye akiendelea na majukumu yake kuna tatizo?Kabla ya juzi mkuu wa mkoa wa Njombe alikuwa Ole Sendeka, juzi akawa Jumanne Fikha, leo Mwita Rubya!
Ushauri wangu kwa mheshimiwa Rais, kwa sasa aachane na haya mambo ya kutumbua na kuteuateua, afanye mambo mengine. Hayana faida yoyote kwa sisi wananchi, tumeshayachoka.
Mbaguzi sana huyo mzee... muulize kijana wakeDaah huyu mzee nimesoma na mwanaye, mzee smart sana
Kauli zako zitakufikisha pabaya.Mwendawazimu ndivyo alivyo Victoire, mara kavaa nguo mara yuko uchi wa mnyama!
Nadhan mzee baba amesikia maneno ya wadau kuwa waraka wa shura umeanza kufanya kazi thus nae akaamua tofauti kuonyesha haujali.
Asante kwa kuliona hilo. Labda akili zitamkaa! Hataki kubadilika sijui kwa nini. Sijui ni madhara ya " I have been to..."! Yaani simuelewi BAK !Kauli zako zitakufikisha pabaya.
Ni yule aliyekuwa Rais wa UD Civil Engineer?Huyo Marwa vetting imekurupuka sana wampekue vizuri ni mchafu sana corruptly & mtumiaji ovyo wa madaraka
Jumanne Fhika juzi tarehe 17/7 aliteuliwa na rais kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe, leo tarehe 19/7 katenguliwa...
Nini sababu,
1. Amekataa?
2. Hafai?
3. Ukosefu wa umakini wakati wa kuteua? au,
4. Mteuzi kadanganywa.