JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Haya mavyeo ya kupeana kwa jinsi mtu anavyoamka siku hiyo,yanalitia Taifa hasara,Rais Magufuli leo July 19,2020 amefanya mabadiliko ya uteuzi alioufanya July 17,2020 ambapo amemteua aliyekuwa Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Marwa Mwita kuwa RC Njombe, Mwita ameteuliwa badala ya Jumanne Fhika ambaye atabaki Ofisi ya Rais kuendelea na majukumu yake.
View attachment 1510811
Unamteua mtu leo,baada ya saa 48,unatengua,kama si kukurupuka ni nini?