Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Dk Fikha ni mtu mkubwa!
Ni mtu mkubwa au ana umri mkubwa. Kuna tofauti hapo pls.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dk Fikha ni mtu mkubwa!
Jembe au pimbi tu,anakula kiapo leo na kesho tena anateua mwingine hiyo akili au matope.Sawasawa jembe panga safu upya
Jumanne Fhika juzi tarehe 17/7 aliteuliwa na rais kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe, leo tarehe 19/7 katenguliwa...
Nini sababu,
1. Amekataa?
2. Hafai?
3. Ukosefu wa umakini wakati wa kuteua? au,
4. Mteuzi kadanganywa.
Hahahaaaa...... Wewe mwenyewe umeona hata akina Mnyeti wasio na PhD wameondoka.So kwenye URC ilikuwa demotion?
Vyote viwili bwashee!Ni mtu mkubwa au ana umri mkubwa. Kuna tofauti hapo pls.
Mteuaji alikurupuka Mwamba Karudishwa kitengoni maana yupo katika ile taasisi ya ikuluHuyo mwamba kafanya nini tena.
Kauli zako zitakufikisha pabaya.
Mwaka gani?Ni yule aliyekuwa Rais wa UD Civil Engineer?
Kwa hiyo nafasi ikiwa vacant afanyeje!? Aiache hivyohivyo!? Asiteue!??Kabla ya juzi mkuu wa mkoa wa Njombe alikuwa Ole Sendeka, juzi akawa Jumanne Fikha, leo Mwita Rubya!
Ushauri wangu kwa mheshimiwa Rais, kwa sasa aachane na haya mambo ya kutumbua na kuteuateua, afanye mambo mengine. Hayana faida yoyote kwa sisi wananchi, tumeshayachoka.
Aisee hahahaaaa duhWengi ya watu wanaoitwa ''wa ofisi ya rais'' ni TISS. Pengine alikuja ambiwa kuwa huyo jamaa ni kiungo muhimu kwenye kuchakuchua kura.