Rais Magufuli afanya teuzi 10: Aboubakar Kunenge awa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Joseph Mkirikiti Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Paulo Mshimo katibu Tawala Dar...

Ningekuwa Rais Magufuli ningesusubiri hadi Jumatatu. Kuna viongozi wengi wenye uchu wa madaraka walijipanga kugombea Ubunge na baadhi yao wapo safarini kuelekea makwao kuchukua fomu za Ubunge. Kwa tukio alilofanya leo amewashutua wengi na huenda wakaahirisha.

Rais wangu umefanya haraka Sana, ungesubiri hadi jumatatu ungetengua orodha kubwa ya viongozi na rekodi ingevunjwa ya kutumbua watu wengi kwa wakati moja.
 
watakua wameishaandika barua mkuu so atawala vichwa tu huwezi kutoka kituo cha kazi bila barua ya ruhusa na watu wa usalama wako macho kweli ile unai print tu jiwe kaishapata taarifa
 
watakua wameishaandika barua mkuu so atawala vichwa tu huwezi kutoka kituo cha kazi bila barua ya ruhusa na watu wa usalama wako macho kweli ile unai print tu jiwe kaishapata taarifa
Ngoja tusubiri, huenda na sie tukapata mashavu
 
Hakuna kiongoza ama mtumishi wa serikali alieacha ofisi kiholela na kuenda kugombea ubunge, halafu kumbuka tarehe 17 ndio mwisho wa kurudisha fomu.
 
Tangu USA wamwambie Makonda ana hatia ya kuwanyima watu haki ya kuishi basi ukuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwake hauna maana tena, maana ulikuwa kificho tu. Kazi yake ilishazimwa na Pompeii!

Ila nashangaa anataka kwenda Bungeni na alikuwa akiwasemea sana ovyo wabunge.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hawezi kumshinda Ndugulile labda apewe viti maalum.
Ndungulile anakatwa kaka mbona hili watu walishalisema muda tu yaani kilichoongelewa na kinachoendelea ndo kilekile yaani hata kabla Ndugulile hajatumbuliwa watu walishaongea. Tuombe uhai tu, yaani wakiona haya basi Makonda atateuliwa ktk ubunge ili apewe anachotakiwa kupewa.
 
HomeBoy, Ina maana hijui kinachoendelea? Hawa viongozi wote wanaokwenda Kiwania ubunge SIO KWAMBA wametumbuliwa, hapana. Wameomba ruhusa kwa Mh.Rais,na wameruhusiwa.
 
Bhite Bye Bye na Mbwembwe zako.
Ubaya mwingi umewafanyia wapinzani,kamwe hatutakusahau.
Hasa kitendo cha kupga kibao Mzee wariopba,
na Kumbeba Lipumba wakati wa Mkutano mkuu wa CUF wa kumfukuza uwenyekiti na kuteu Mwenye kiti mpya. kuleta fujo
Tunza beat, kesho keshokutwa mara paap kawa waziri
 
Piga zeze na filimbi,huwezi pata bila kuwa mpiga zumali maar ajabu wale walumumba siwaoni hapa mpaka kuna masanjenti Jwtz wamepata mapolisi wapelelezi wamepata mpaka kakijana ka kaja mwambi nako kamepata,sasa walumumba vipi,acheni kupiga zumali hapa mtandaoni polepole,anawadanganya hawezi kuwasaidia
Ngoja tusubiri, huenda na sie tukapata mashavu
 
Kwani insfanywa surprise?
 
Ndio maana wewe sio rais magufuli
Ukishasema UNGEKUWA ndio haiwezekani tenaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…