Nani wa kumkakata?huwezi amini na kule anakatwa
Alishasema "toshekeni na nafasi zenu"Anajaribiwa sana mbona kule lindi moshi tuu ziara ikakatishwa[emoji2]
Hajaribiwi kiaje wewe kweli Low IQ unashindwa kujua kuwa iyo ni Go ahead?
Nipe tofauti kati ya Lugola na Makonda.Yani BASHITE awe waziri!?? Em shirikisheni Bongo kufikiri.
Kwani bungeni kuna kuonesha vyeti?Aje hapa Aoneshe vyeti zero brain huyo!
Na wanaenda kukatwa woteYaani
Mkuu wa mkoa DSM,
Karibu tawala DSM
Afisa elimu mkoa DSM
Msemaji wa RC DSM
Wote wameenda gombea ubunge; kweli mwanadamu hatosheki hata umpe Nini,(aliimba mzee makassy)
Daah safi sana ngoja nikanywe dry gine na kitimoto choma....Afadhali tusimsikie tena Bashite hapa Bongo! Tupate kupumua sasa.
Ubunge ukishapita huhitaji mapambio tena kulinda ajira yako, Wala hakuna wa kufuatilia Wala wewe kumfutia mtu ni kupiga domo tu na kugonga meza kila kitu kikiwa uhakika.kumbe ubunge ni deal sana aisee
Bunge lipi? Kwani bashite Ni mbunge?Kwani bungeni kuna kuonesha vyeti?
Low IQ wanakaa kuongea ujinga kuwa katumbuliwa pumbavu kabisaPoint ni kwamba, ameachia ukuu wa mkoa, hivyo atasaidiwa kupata ubunge.
Nipe tofauti kati ya Lugola na Makonda.
Naunga mkonoIle ilikuwa danganya toto ili kuwazuga nyumbu wa bavicha!
Sifikirii Makonda kama kakurupuka
Sasa kwa nini aseweze.?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmoja mkata mauno, mwingine msambwanda!!
Low IQ wanakaa kuongea ujinga kuwa katumbuliwa pumbavu kabisa