Rais Magufuli afanya teuzi 10: Aboubakar Kunenge awa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Joseph Mkirikiti Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Paulo Mshimo katibu Tawala Dar...

kumbukeni huyu kijana katoka mbali mzee mkapa alimpa nauli kwenda dodoma kugombea umoja wa vijana, Mzee jakaya akampa ukuu wa wilaya Na Mzee Magufuli akampa ukuu wa Mkoa sasa anaelekea kwenye ubunge , akitoka hapo anaelekea wapi? kijana anajua kujiongeza pia ana bahati pia, juhudi aishindani na kudra ya mwenyezi mungu. utaongea mtachoka wenzenu ana bahati.
 
Waziri mkuu na Rais ni mwiko kutoka kanda moja
Hawezi kuwa waziri mkuu. Majaliwa anatosha. Mnaanzisha uzi ili muendeleze majungu. Ndo udhaifu wenu. Hampendi kushindwa. Hamna sera bonafsi wala za vyama.
 
Sasa itakuaje mkuu wa wilaya DC Sstg Afu Akakutana Na Mkuu Wa Majeshi CDF ....Hizo Salut Zitatoka kwa Mashaka uwiiiiiii[emoji23][emoji23][emoji23]

N.B Mchezo Hauitaj Hasira Viva [emoji10] Jiwe
 
Ukabila tuu ndio unambeba
 
Ile ilikuwa danganya toto ili kuwazuga nyumbu wa bavicha!
Sifikirii Makonda kama kakurupuka
Lakini alishasema itategemea siku hiyo kaamkaje kwahiyo tutegemee lolote linaweza kutokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…