Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Kukaa ofisini na kusoma magazeti...😂😂😂..Hivi wanaposema kazi maalum wanamaanisha nini ?Huyu Ludigija siyo wa kwetu kule Ntuzu kweli ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukaa ofisini na kusoma magazeti...😂😂😂..Hivi wanaposema kazi maalum wanamaanisha nini ?Huyu Ludigija siyo wa kwetu kule Ntuzu kweli ?
Haya majina yanayoanzia na Ng'wi.....yanafikirisha sana.Rais Magufuli amemteua aliyekuwa Mkurugenzi wa Kigamboni, Ng’wilabuzu Ndatwa Ludigija kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala akichukua nafasi ya Mussa Ramadhan Chogelo atakayepangiwa kazi maalum katika Ofisi ya Rais
Aidha, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, Erasto Nehemia Kiwale amehamishiwa kuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni akichukua nafasi ya Ng’wilabuzu
Pia, Rais Magufuli amemteua aliyekuwa Afisa Wlimu Kigamboni, Catherine Michael Mashalla kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe
View attachment 1532035
Kuna uwanja wa Yanga yaani timu ya wananchi!Kigamboni kuna nini hapo maana katikaa hiyo barua imetajwa zaidi ya mara moja
Jamaa bado anapanga timu ya ushindi tu
Rais Magufuli amemteua DED wa manispaa ya Kigamboni kuwa mkuu wa wilaya ya Ilala.
Kadhalika afisa elimu wa manispaa hiyo ameteuliwa kuu DED kule Mpimbwe mkoani Katavi.
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Ng'wimassawe?Haya majina yanayoanzia na Ng'wi.....yanafikirisha sana.
Lisu atakurupuka kwamba kwanini anafanya uteuzi wakati yeye ni mgombea,!
Acha kuitaja taja hovyo timu ya wananchiKuna uwanja wa Yanga yaani timu ya wananchi!
Ni wa huko huku Jina Ng'wilabuzu ni la huko hukoHivi wanaposema kazi maalum wanamaanisha nini ?Huyu Ludigija siyo wa kwetu kule Ntuzu kweli ?
Kuna wachaga wawili na mpare mmoja!Kabla sijasoma hiyo barua ya Msigwa, nihesabie hapo, Wasukuma wamo wangapi? Jamaa anameamu kuziba masikio yote kuhusu kupendelea kabila lake. Bora hasara kuliko fedheha!
Kuna wale maDED kwenye wilaya fulani mkoa wa Kagera walitumbuliwa mwaka jana kwa kishindwa kukumbuka na kutaja ktk mkutano wa hadhara fungu la fedha za barabara za wilaya zao. Mmoja wao mpaka leo hatoki ndani.Unateuliwa leo unatenguliwa mwezi ujao.Watumishi wengi wamebakia na aibu mitaani.wanajuta kuteuliwa.
Itakuwa yule DEMUKuna wale maDED kwenye wilaya fulani mkoa wa Kagera walitumbuliwa mwaka jana kwa kishindwa kukumbuka na kutaja ktk mkutano wa hadhara fungu la fedha za barabara za wilaya zao. Mmoja wao mpaka leo hatoki ndani.
Kuna wachaga wawili na mpare mmoja!
Ni wa huko huku Jina Ng'wilabuzu ni la huko huko
PANUA,UNATAKA NIKUPANUEEEEEEE........eeeeeh,MNATAKA KUPANULIWAAAAAAAAAAKabisa Lisu yeye abaki mchangamsha uchaguzi. [emoji3][emoji3][emoji3]
shida iliyopo kwenye awamu hii kwenye uteuzi wa nafasi za umma hakuna vetting kwa kutumia vigezo vya maadili wala uwezo wa mtu.Rais Magufuli amemteua DED wa manispaa ya Kigamboni kuwa mkuu wa wilaya ya Ilala.
Kadhalika afisa elimu wa manispaa hiyo ameteuliwa kuu DED kule Mpimbwe mkoani Katavi.
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Sasa hivi kule serikalini, Banang'weli wapo wa kumwaga. Kiasi kwamba tunaweza kusema kwamba hatutoki hata muda wetu ukiisha na msitufanye kitu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi wanaposema kazi maalum wanamaanisha nini ?Huyu Ludigija siyo wa kwetu kule Ntuzu kweli ?
Haya majina yanayoanzia na Ng'wi.....yanafikirisha sana.
Huyu Magufuli hafai kabisa kuwa rais wa nchiHata Mashala pia.