Rais Magufuli afanya teuzi mbalimbali akiwemo DC mpya wa Ilala

Rais Magufuli afanya teuzi mbalimbali akiwemo DC mpya wa Ilala

Unateuliwa, Lkn huridhiki, unaendelea na roho ya ujumbe, haswa wakati km huu

Hakuna namna, wacha tuweke sawa,


Timu wajumbe itatucost, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
PANUA,UNATAKA NIKUPANUEEEEEEE........eeeeeh,MNATAKA KUPANULIWAAAAAAAAAA

Haya panueniiiiiiiiiiiiiii.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahhahha.... Hiyo itampa Lisu kura nyingi sanaaaa
 
Paskali hata kama zimebaki dakika 2 si baba amuone tu maana kila nafasi ikitokea, wa mukaya ameweka tinted kwake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tunaangalia cheo siyo maslahi bwashee!

Sikiliza moyo wako maana hata nafsi inakusuta.

Hata jibu lako linadhihirisha kwamba unajaribu kuhalalisha uongo dhidi ya ukweli.

Umekimbilia kusema tunaangalia cheo na siyo maslahi, Kama kweli cheo ni muhimu kuliko maslahi ungenishawishi kwa data halisi.

Watu wengi wameacha U-RAS, udas nk kwenda kugombea ubunge tena kura za ''maonyo".
 
Kuna wale maDED kwenye wilaya fulani mkoa wa Kagera walitumbuliwa mwaka jana kwa kishindwa kukumbuka na kutaja ktk mkutano wa hadhara fungu la fedha za barabara za wilaya zao. Mmoja wao mpaka leo hatoki ndani.
Madc waliotumbuliwa wanalima hoho na kukaa vijiweni ukumbuke kabla ya kutumbuliwa walikuwa mwenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama wa wilaya,what next?
 
Kuna wale maDED kwenye wilaya fulani mkoa wa Kagera walitumbuliwa mwaka jana kwa kishindwa kukumbuka na kutaja ktk mkutano wa hadhara fungu la fedha za barabara za wilaya zao. Mmoja wao mpaka leo hatoki ndani.
Dah!...😔😔😔...hivi vyeo vya kuteuliwa hatimiliki ni kwa mteuaji.
 
Back
Top Bottom