hb Mujahideen
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 152
- 164
Hahahhahha.... Hiyo itampa Lisu kura nyingi sanaaaaPANUA,UNATAKA NIKUPANUEEEEEEE........eeeeeh,MNATAKA KUPANULIWAAAAAAAAAA
Haya panueniiiiiiiiiiiiiii.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Bashite anaandaliwa njia kigamboniKigamboni kuna nini hapo maana katikaa hiyo barua imetajwa zaidi ya mara moja
Jamaa bado anapanga timu ya ushindi tu
Na ndio maana timu wajumbe inasafishwa [emoji23]Bashite anaandaliwa njia kigamboni
Tunaangalia cheo siyo maslahi bwashee!
Madc waliotumbuliwa wanalima hoho na kukaa vijiweni ukumbuke kabla ya kutumbuliwa walikuwa mwenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama wa wilaya,what next?Kuna wale maDED kwenye wilaya fulani mkoa wa Kagera walitumbuliwa mwaka jana kwa kishindwa kukumbuka na kutaja ktk mkutano wa hadhara fungu la fedha za barabara za wilaya zao. Mmoja wao mpaka leo hatoki ndani.
Daah! Hatari sana kwa usalama wa raiaMadc waliotumbuliwa wanalima hoho na kukaa vijiweni ukumbuke kabla ya kutumbuliwa walikuwa mwenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama wa wilaya,what next?
Sijasikikia!Ulimsikia kuhusu jogoo kule Pwani?
Dah!...πππ...hivi vyeo vya kuteuliwa hatimiliki ni kwa mteuaji.Kuna wale maDED kwenye wilaya fulani mkoa wa Kagera walitumbuliwa mwaka jana kwa kishindwa kukumbuka na kutaja ktk mkutano wa hadhara fungu la fedha za barabara za wilaya zao. Mmoja wao mpaka leo hatoki ndani.
Mamlaka hayo hana??... Alieteuliwa baada ya sofia mjema ata mwezi kwenye kiti hajamaliza