Rais Magufuli aidha amedanganywa kuhusu Barakoa au kuna tatizo sehemu (kwa alichoongea leo Feb 21, 2021)


Hizi siasa za kina Magufuli na wenzake zinafikirisha sana...

Unajua unapokuwa na hoja kama hii, yakupasa;

1. Kama unasimamia Sayansi, basi, uwe na very strong scientific proof itakayosaidia kujenga hoja ya kukataa scientific products za wengine bila kuleta chenga chenga na mauza mauza ya kisiasa...

2. Kama mtu anasimamia IMANI, vivyo hivyo ni lazima uwe na maandiko yanayo prove kwamba, that's a satanic plan to destroy and kill Africans and especially Tanzanians...

But very unfortunately, hakuna maelezo yoyote ya maana yanayotolewa na Magufuli na serikali yake yanayoweza kumshawishi kila mtanzania ingalau kwa uwingi wao wakaelewa...

Kinachofanyika ni poliwanavyoelekezwa na e manoeuvres ya serikali kujijitetea kila uchao kiasi cha kufikia mahali sasa imeanza kujichanganya yenyewe na kuleta big confuse miongoni mwa wananchi kiasi cha kushindwa kuelewa wafuate lipi na waacha lipi....!


Mara anawaambia wananchi wachukue hatua zote za kujikinga kama wanavyoelekezwa na wataalamu wa afya...

Mara paaa anatazama mbele yake anawaona masister wa Kikatoliki wamevaa barakoa, anawasimanga na kuwaeleza kuwa mtakufa, barakoa hizo zina sumu...

Haa haa haaa. Magufuli bwana, ni shida kweli....
 
Umeulizwa swali badala ya kujibu unamwambia Kiranga amtafute Mzee Butiku amuulize?
Inaelekea hiyo story yako ni fiction.

Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
Ametaka ushahidi. Ushahidi utolewa kwa namna tofauti. Si lazima uwe ushahidi ulo andikwa. Au Atafute magazeti ya wakati huo. Mzalendo, Mfanyakazi na Gazetu la uhuru, ilikuwa mwaka 1984. Usirukie mambo usiyo yajua.
 
Wako sawa kabisa, kuanzia kesho matamko yanaanza upya
 
Kwa yeyote ambaye anataka kuelewa vizuri aende kusoma 𝗦𝘂𝗿𝗮 𝘆𝗮 𝗣𝗶𝗹𝗶, 𝗜𝗯𝗮𝗿𝗮 𝘆𝗮 𝟯𝟳(𝟮) ya 𝗝𝗠𝗧. Japokuwa hili HALIWEZI tekelezwa kutokana na MFUMO wa Utawala, bado ni muhimu kwa Kila mmoja wetu kupitia Sheria ili kuzijua HAKI zake.
 

Amesema Siku ina masaa 48 kwahiyo wanaovaa barakoa wanaweza kubadili barakoa 12?
 
Hivi mnataka Magufuli aweke nchi rehani apate hela ya kuwafungia awalishe? Aya Corona ipo and so what, mbona hao mnaotaka watusaidie kuhusu hii Corona ndo wanakufa kuliko sisi? Acheni usenge fanyeni kazi tukuze uchumi tutakao kufa tufe watakao ishi watanufaika na tukichowaandalia.
 
Mzee anasema

Siku ina Masaa 48, Barako inabadilishwa kila baada ya Masaa 4, hivyo kwa Siku tunahitaji Barakoa 12.

Najiuliza
#1. Siku gani ina Masaa 48????

#2. Je Barakoa zinavaliwa wakati wa kulala?????????????
 
By all account mzee yupo Sahihi sana Acha tu azidi kuiweka Corona kando haina maana Kuwa Publicized mana ina impact mbaya sana watu wakisema wajifungue tu kubali tu nature ina take place wacha iwe survive of the fittest tutakao Kwenda wacha twende ili wengi wabaki salama
 
Nimeshangaa, he admitted hadi ndugu zake wamepigwa, watendaji wake wa karibu wamepigwa. Halafu yeye kama Rais anapokiri haya anataka tuchukulie “POA” tu?
Kwani nani hajapigwa?. Rais wa Amerika (Trump) alipigwa, Waziri mkuu wa Uingereza alitandikwa na kadhalika. Ni vita ya kibiolojia. Wa Uchina wamekazana kutaka kumpiga, wakashindwa. Wa Urusi wakashindwa.
 

Mataga bwana! 😂😂😂
 
asipowa comfort inakuaje hatari kwa usalama wa salama, watalipua mabomu ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…