Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais Magufuli amevunja halmashauri ya jiji la Dar es Salaam na kuipandisha hadhi halmashauri ya manispaa ya Ilala kuwa jiji la Dar es salaam.
Source ITV habari
Usiogope Dr Tulia aliugua mara mbili lakini anadunda kama kawa!
MwanaFA aliugua na sasa yuko bungeni
Piere Liquid aliugua na sasa ni meneja wa Saidia Simba Ishinde
Usiogope bwashee chukua tahadhari
DSM ilikuwa inaundwa na manispaa nne kinondoni, Ilala, Ubungo na Kigamboni
Kwa mwenendo huu tutarajie makubwa mengineDuh, na wewe nawe tukufunge gavana sio kwa hivyo, yaani nimecheka hadi nimecheka tena
Naomba nikueleweshe ili na wengine waelewe..ila maelezo yangu ni kutokana na jinsi nilivyoelewa...kama kuna ambae hajaelewa naamini hapa atanielewa...ila ikiwa nimetoa maelezo yasiyo sahihi, mwenye uelewa zaidi atafafanua ila mpaka hapa naamini nimeelewa na niko sahihi kwa asilimia 100%...Naomba usome kwa makini...Tupo wote.. ukipata maelezo mazuri naomba unitag Mkuu.
Ukiacha uongozi tu , Jaffo ana uwezo gani wa kutuzidi sisi wakati ukweli wote uko wazi kabisa ?Tatizo suala hili nadhani bado halijatolewa ufafanuzi wa kina tuvute subira ndg yetu jaffo nadhani mda sio mrefu atalitolea maelezo ya kina tuwe na subira na #tusipende kuropoka ovyo
Hiyo kitu mwananchi wa kawaida inatusaidia nini kama Ilala yenyewe ndo chafu kulikoKupunguza wingi wa halmashauri. Badala ya halmashauri sita (jiji na manispaa tano) sasa zinakwenda kubaki tano tu.
Elimu yetu ni dhahiri shahiri ina shida sana. Watu wana vyeti ila bongo zao ni tupu.
Haya ndio madhara ya kucheza na Elimu. Kitu kimezungumzwa kwa Kiswahili fasaha watu mnashindwa kuelewa nini!?
Hii ni hatari kwa Taifa.
Tusaidie mkuu kuifahamu hiyo niaKama una ubongo mkubwa ,nadhani utakuwa umeelewa nia ya jp kuifuta hal.ya jiji la dar. Badala yake ni jiji la ilala.