Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Tupo wote.. ukipata maelezo mazuri naomba unitag Mkuu.natamani ningeelewa kinachojadiliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo wote.. ukipata maelezo mazuri naomba unitag Mkuu.natamani ningeelewa kinachojadiliwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]au itaungana na KongoHuyu asipofungwa speed governor ipo siku atatangaza kuwa Tanzania anaipaisha hadhi na kuwa Ubelgiji.
Nadhani ingekuwa vema likaitwa jiji la Ilala au jiji la Magufuli, hii DSM itaendelea kuchanganya watu , maana hata bandari iko Manispaa ya Temeke !Yaani Mkazi wa Osterbay,Masaki,Mikocheni na Mbezi Beach wanaishi Manispaa wakati wakazi wa Ulongoni ,Gongolamboto,Buguruni kwa Mnyamani, Chanika wako Jiji la Dar😃😃 Tutaelewana tu hata kama itachukua muda ila mwishoni tutaelewana.
Mikumi Sasa siyo Mitano tena.
Huu ni upumbavu... Anapotosha.
Kwa mtazamo wangu nadhani watumishi waliokuwa wa manispaa ya ilala ndio wote kwa ujumla wao wamepandishwa kwa ujumla wao kushika nyadhifa zote za lililokuwa jiji la dar es salaamDsm ilikuwa inaundwa na manispaa nne kinondoni,ilala,,ubungo na kigamboni
halmashauri ya jiji la dsm ilikuwa inasimamia halmashauri za manispaa zote nne lkn haina eneo lake rasmi la kiutawala,halmashauri ilikuwa na uwezo kuuchukua mradi wowote katika manispaa yyte na kuendeleza na kugawana manispaa inayopatikana mradi kwa utaratibu maalum
hvyo alichokifanya ni sahihi tu
Tatizo suala hili nadhani bado halijatolewa ufafanuzi wa kina tuvute subira ndg yetu Jaffo nadhani mda sio mrefu atalitolea maelezo ya kina tuwe na subira na #tusipende kuropoka ovyo
Nadhani walishindwa kutoa kura za kutosha mpaka ulipotumika ubabe ndiyo maana hadhi ya jiji haiwahusu.Yaani Mkazi wa Osterbay,Masaki,Mikocheni na Mbezi Beach wanaishi Manispaa wakati wakazi wa Ulongoni ,Gongolamboto,Buguruni kwa Mnyamani, Chanika wako Jiji la Dar😃😃 Tutaelewana tu hata kama itachukua muda ila mwishoni tutaelewana.
Mikumi Sasa siyo Mitano tena.
Kuna wajinga kama wewe wataamini upotoshaji huu..Sasa hivi EFM & TVE, CLOUDS, ITV, RADIO ONE, EATV, WASAFI, RADIO MARIA, zipo nje kidogo ya jiji la dar es salaam halafu RADIO TUMAINI NA TI FM zipo katikati ya jiji la Dar es salaam pale tabata magengeni ambapo wakazi wake wanakula mihogo iliyoiva na mibichi wanasinzia mchana kutwa.
Duh, na wewe nawe tukufunge gavana sio kwa hivyo, yaani nimecheka hadi nimecheka tenaHuyu asipofungwa speed governor ipo siku atatangaza kuwa Tanzania anaipaisha hadhi na kuwa Ubelgiji.
Usahihi ni upi!?Kuna wajinga kama wewe wataamini upotoshaji huu..
Bila kusahau mtoto wa Mbowe na wa mtoto Magufuli wote waliuguwa na kupona.Usiogope Dr Tulia aliugua mara mbili lakini anadunda kama kawa!
MwanaFA aliugua na sasa yuko bungeni
Piere Liquid aliugua na sasa ni meneja wa Saidia Simba Ishinde
Usiogope bwashee chukua tahadhari
Soma hiyo barua vizuri.Usahihi ni upi!?