Rais Magufuli ajibu hoja za Marekani, Asijifiche kwenye hoja za uzalendo, Kwanza sio Mzalendo

Rais Magufuli ajibu hoja za Marekani, Asijifiche kwenye hoja za uzalendo, Kwanza sio Mzalendo

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Marekani haijamtuma mtu kuua watu kufunga watu na kuteka watu hapana, Marekani haijatuma mtu kuwashambulia watu kwa risasi hapana, Marekani haijamtuma kuzima vyombo vya habari na kuzuia siasa kwa wapinzani kwa miaka 5 hapana,

Kama serikali haijawatuma hao watu kwanini hafanyi upelelezi kuleta mlejesho? kwanini hawakamatwi watekaji? wauaji na wanaopiga risasi?

Eti hoja ni kwa vile kadhibiti madini yasiibiwe hoja ya kipumbavu kweli nawapa somo tu wafuasi mnaoamini izi propaganda kutoka Ikulu ya Magufuli, hakuna nchi iliyodhibiti rasilimali zake kama Botswana lakini huwezi sikia wanapambana na upinzani.

Na huwezi sikia Marekani ikiwanyoshea kidole halafu eti unasema umedhibiti madini yapi yale ya twiga 84/16 upo serious kweli? unachekesha kweli ! jibu hoja za Marekani.

Umeyakoroga mwenyewe yanywe mwenyewe hakuna atakayekubeba uvune ulichopanda nakuhakikishia uchomoki uchaguzi mwaka huu.
 
Marekani ndo nani?

Yeye anaweza akajibu hoja zetu?

Yaani Marekani ndo kawa Mungu wenu?
Yeye ana utakatifu gani?

Hivi ukiongea masuala ya ukiukaji Haki za Binadamu, huyo Marekani anaweza hata kusogeza pua yake?

Anaweza hata kujilinganisha na Tanzania?
Akili za kitumwa hizo kamanda!

Mnajipendekeza hadi mnatia kichefuchefu.
 
Marekani alikataa mkataba wa mahaka ya makosa ya haki za binadamu na inajisifu kumuua Sulemani.

Imekataa mkataba unaozuia uharibifu wa mazingira lakini inaona wivu kwa Tanzania kujenga chanzo cha umeme na barabara ya lami Karatu-Musoma.

Sishabikii Magu lkn Marekani si nchi ya kurejea.
 
Marekani ndo nani?
Yeye anaweza akajibu hoja zetu?
Yaani Marekani ndo kawa Mungu wenu?
Yeye ana utakatifu gani?
Hivi ukiongea masuala ya ukiukaji Haki za Binadamu, huyo Marekani anaweza hata kusogeza pua yake?
Anaweza hata kujilinganisha na Tanzania?
Akili za kitumwa hizo kamanda!
Mnajipendekeza hadi mnatia kichefuchefu.

..muulize Prof.Kabudi kwanini alienda kuwaangukia.

..kwanini Raisi ameandika barua kwenda kwa Trump.

..kuna nini ktk barua hiyo? Je anataka kutuuza? Au anauza rasilimali?
 
Marekani ndo nani?
Yeye anaweza akajibu hoja zetu?
Yaani Marekani ndo kawa Mungu wenu?
Yeye ana utakatifu gani?
Hivi ukiongea masuala ya ukiukaji Haki za Binadamu, huyo Marekani anaweza hata kusogeza pua yake?
Anaweza hata kujilinganisha na Tanzania?
Akili za kitumwa hizo kamanda!
Mnajipendekeza hadi mnatia kichefuchefu.
Magu anajificha nyuma ya viongozi wa dini wakati anasigina haki za binadamu!

Endelea kumshabikia maana huwezi kwenda choo bila yeye!
 
Marekani ndo nani?
Yeye anaweza akajibu hoja zetu?
Yaani Marekani ndo kawa Mungu wenu?
Yeye ana utakatifu gani?
Hivi ukiongea masuala ya ukiukaji Haki za Binadamu, huyo Marekani anaweza hata kusogeza pua yake?
Anaweza hata kujilinganisha na Tanzania?
Akili za kitumwa hizo kamanda!
Mnajipendekeza hadi mnatia kichefuchefu.
Nyani haoni kundule. Bila Shaka wewe ni moja wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani ndo nani?

Yeye anaweza akajibu hoja zetu?

Yaani Marekani ndo kawa Mungu wenu?
Yeye ana utakatifu gani?

Hivi ukiongea masuala ya ukiukaji Haki za Binadamu, huyo Marekani anaweza hata kusogeza pua yake?

Anaweza hata kujilinganisha na Tanzania?
Akili za kitumwa hizo kamanda!

Mnajipendekeza hadi mnatia kichefuchefu.
Itazame hata nguo ya ndani uliyovaa,achiliambali simu unayotumia,babu zako walikuwa wanavaa nini?kama siyo Wadhungu ungekuwa wapi?
 
Marekani haijamtuma mtu kuua watu kufunga watu na kuteka watu hapana, Marekani haijatuma mtu kuwashambulia watu kwa risasi hapana, Marekani haijamtuma kuzima vyombo vya habari na kuzuia siasa kwa wapinzani kwa miaka 5 hapana,

Kama serikali haijawatuma hao watu kwanini hafanyi upelelezi kuleta mlejesho? kwanini hawakamatwi watekaji? wauaji na wanaopiga risasi?

Eti hoja ni kwa vile kadhibiti madini yasiibiwe hoja ya kipumbavu kweli nawapa somo tu wafuasi mnaoamini izi propaganda kutoka Ikulu ya Magufuli, hakuna nchi iliyodhibiti rasilimali zake kama Botswana lakini huwezi sikia wanapambana na upinzani.

Na huwezi sikia Marekani ikiwanyoshea kidole halafu eti unasema umedhibiti madini yapi yale ya twiga 84/16 upo serious kweli? unachekesha kweli ! jibu hoja za Marekani.

Umeyakoroga mwenyewe yanywe mwenyewe hakuna atakayekubeba uvune ulichopanda nakuhakikishia uchomoki uchaguzi mwaka huu.
Pointless
 
Tayari tumo kwenye rada za US tutake tusitake, hapa wanasubiri mtihani wetu wa mwisho tuuchezee ili wafanye yao.

Tume huru si option tena 2020.
 
Marekani haijamtuma mtu kuua watu kufunga watu na kuteka watu hapana, Marekani haijatuma mtu kuwashambulia watu kwa risasi hapana, Marekani haijamtuma kuzima vyombo vya habari na kuzuia siasa kwa wapinzani kwa miaka 5 hapana,

Kama serikali haijawatuma hao watu kwanini hafanyi upelelezi kuleta mlejesho? kwanini hawakamatwi watekaji? wauaji na wanaopiga risasi?

Eti hoja ni kwa vile kadhibiti madini yasiibiwe hoja ya kipumbavu kweli nawapa somo tu wafuasi mnaoamini izi propaganda kutoka Ikulu ya Magufuli, hakuna nchi iliyodhibiti rasilimali zake kama Botswana lakini huwezi sikia wanapambana na upinzani.

Na huwezi sikia Marekani ikiwanyoshea kidole halafu eti unasema umedhibiti madini yapi yale ya twiga 84/16 upo serious kweli? unachekesha kweli ! jibu hoja za Marekani.

Umeyakoroga mwenyewe yanywe mwenyewe hakuna atakayekubeba uvune ulichopanda nakuhakikishia uchomoki uchaguzi mwaka huu.
Kuna mafisadi wadogo wakujibizana na Pompeo au mabalozi.Trump akitaka aombe kuja bongo kama alivyofanya Obama ili kuongea na Rais wa Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani haijamtuma mtu kuua watu kufunga watu na kuteka watu hapana, Marekani haijatuma mtu kuwashambulia watu kwa risasi hapana, Marekani haijamtuma kuzima vyombo vya habari na kuzuia siasa kwa wapinzani kwa miaka 5 hapana,

Kama serikali haijawatuma hao watu kwanini hafanyi upelelezi kuleta mlejesho? kwanini hawakamatwi watekaji? wauaji na wanaopiga risasi?

Eti hoja ni kwa vile kadhibiti madini yasiibiwe hoja ya kipumbavu kweli nawapa somo tu wafuasi mnaoamini izi propaganda kutoka Ikulu ya Magufuli, hakuna nchi iliyodhibiti rasilimali zake kama Botswana lakini huwezi sikia wanapambana na upinzani.

Na huwezi sikia Marekani ikiwanyoshea kidole halafu eti unasema umedhibiti madini yapi yale ya twiga 84/16 upo serious kweli? unachekesha kweli ! jibu hoja za Marekani.

Umeyakoroga mwenyewe yanywe mwenyewe hakuna atakayekubeba uvune ulichopanda nakuhakikishia uchomoki uchaguzi mwaka huu.
Wewe marekani ni nani kwako... Wewe anaweza jibu hoja zako... Katiba yetu inamtambua mtu anaitwa mmarekani hadi rais wetu ajibu hoja... Au unafikiri marekani ana urafiki na wewe.? Ungejua ya nyuma ya pazia ya marekani wala usingeongea.
 
Marekani ndo nani?

Yeye anaweza akajibu hoja zetu?

Yaani Marekani ndo kawa Mungu wenu?
Yeye ana utakatifu gani?

Hivi ukiongea masuala ya ukiukaji Haki za Binadamu, huyo Marekani anaweza hata kusogeza pua yake?

Anaweza hata kujilinganisha na Tanzania?
Akili za kitumwa hizo kamanda!

Mnajipendekeza hadi mnatia kichefuchefu.
Mungu ni nani? Na utakatifu ni upi? Kwa vipimo vya kawaida vya kibinaadamu hata Mungu SI Mtakatifu!! Maana kama Mungu anaua basi si mtakatifu,maana kutwaa uhai wa mtu ni kumuua,je Mungu anatoa na KUTWAA? Anatesa watu? Vitabu vitakatifu vinasema "Ndiyo"kutesa watu si dhambi? tunaambiwa tunavyoteswa ni MAJARIBU, ne Mungu ana WIVU? Wivu si dhambi? Biblia inasema yeye ni Mungu mwenye wivu,je kulipa kisasi si dhambi? Bado Biblia imesema wazi kuwa atawalipiza wana dhambi za baba zao hadi kizazi cha tatu na cha nne cha wamchukizao!!! Je pamoja na hayo yote ameacha kuwa MUNGU? Kwa hiyo pamoja na madhaifu ya mtu bado haimwondolei sifa ya/za ziada alizo nazo!! Hivyo kubali au ukatae ila Marekani ndiye mbabe wa dunia currently, na kwake kila goti linapigwa(kibinaadamu) hata ukiamua kubisha au kujifanya hutaki,ila ndiyo hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ogopa sana mtu anayekwenda madhabahuni kila siku na makamera halafu afanyayo ni tofauti na mafundisho ya Mungu.
Mtu huyo ni wa hatari maana hanuogopi hata mola kwani anamtapeli

Sent using Jamii Forums mobile app

Magufuli is just fooling to himself na huyo Profedha Ka-Bundi wake....!
Perhaps Magufuli is taking USA by its horns thinking that Trump is as same as Freeman Mbowe....!Let him be warned.....!!
 
..muulize Prof.Kabudi kwanini alienda kuwaangukia.

..kwanini Raisi ameandika barua kwenda kwa Trump.

..kuna nini ktk barua hiyo? Je anataka kutuuza? Au anauza rasilimali?
Mnatia kichefuchefu kumuona marekani kama ndo standard unit wa kulinda haki za binadamu wakati dunia nzima inajua the opposite is true.
Kauwa wangapi inocent kuliko hata Lisu?
Leo akikohoa tu mnakimbilia JF kuanzisha thread kama vile Mungu kakohoa?
Mengine mnajidharilisha tu makamanda.
 
Back
Top Bottom