Kwa hiyo wewe Mungu wenu Marekani ndo anakupeleka choo?Magu anajificha nyuma ya viongozi wa dini wakati anasigina haki za binadamu!
Endelea kumshabikia maana huwezi kwenda choo bila yeye!
UTUMWA huo kamanda!
Zinduka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wewe Mungu wenu Marekani ndo anakupeleka choo?Magu anajificha nyuma ya viongozi wa dini wakati anasigina haki za binadamu!
Endelea kumshabikia maana huwezi kwenda choo bila yeye!
We la Marekani hulioni unaona la Tanzania tu?
Tayari tumo kwenye rada za US tutake tusitake, hapa wanasubiri mtihani wetu wa mwisho tuuchezee ili wafanye yao.
Tume huru si option tena 2020.
Mnakidhalilisha chama ninyi?Itazame hata nguo ya ndani uliyovaa,achiliambali simu unayotumia,babu zako walikuwa wanavaa nini?kama siyo Wadhungu ungekuwa wapi?
Mnatia kichefuchefu kumuona marekani kama ndo standard unit wa kulinda haki za binadamu wakati dunia nzima inajua the opposite is true.
Kauwa wangapi inocent kuliko hata Lisu?
Leo akikohoa tu mnakimbilia JF kuanzisha thread kama vile Mungu kakohoa?
Mengine mnajidharilisha tu makamanda.
[emoji51][emoji51][emoji51] View attachment 1384664
Jiwe ashugfhulikiwe
Marekani haijamtuma mtu kuua watu kufunga watu na kuteka watu hapana, Marekani haijatuma mtu kuwashambulia watu kwa risasi hapana, Marekani haijamtuma kuzima vyombo vya habari na kuzuia siasa kwa wapinzani kwa miaka 5 hapana,
Kama serikali haijawatuma hao watu kwanini hafanyi upelelezi kuleta mlejesho? kwanini hawakamatwi watekaji? wauaji na wanaopiga risasi?
Eti hoja ni kwa vile kadhibiti madini yasiibiwe hoja ya kipumbavu kweli nawapa somo tu wafuasi mnaoamini izi propaganda kutoka Ikulu ya Magufuli, hakuna nchi iliyodhibiti rasilimali zake kama Botswana lakini huwezi sikia wanapambana na upinzani.
Na huwezi sikia Marekani ikiwanyoshea kidole halafu eti unasema umedhibiti madini yapi yale ya twiga 84/16 upo serious kweli? unachekesha kweli ! jibu hoja za Marekani.
Umeyakoroga mwenyewe yanywe mwenyewe hakuna atakayekubeba uvune ulichopanda nakuhakikishia uchomoki uchaguzi mwaka huu.
Endelea kuamini hivyo. Baada ya muda fulani mtakimbilia kusema tuwe Wazalendo kwenye Nchi yetu. Kama ninyi mnawachukulia poa kwanini Mh Kabudi kaenda kuwapigia magoti?? Nani anaetia kinyaa hapo??Marekani ndo nani?
Yeye anaweza akajibu hoja zetu?
Yaani Marekani ndo kawa Mungu wenu?
Yeye ana utakatifu gani?
Hivi ukiongea masuala ya ukiukaji Haki za Binadamu, huyo Marekani anaweza hata kusogeza pua yake?
Anaweza hata kujilinganisha na Tanzania?
Akili za kitumwa hizo kamanda!
Mnajipendekeza hadi mnatia kichefuchefu.
Marekani ndo nani?
Yeye anaweza akajibu hoja zetu?
Yaani Marekani ndo kawa Mungu wenu?
Yeye ana utakatifu gani?
Hivi ukiongea masuala ya ukiukaji Haki za Binadamu, huyo Marekani anaweza hata kusogeza pua yake?
Anaweza hata kujilinganisha na Tanzania?
Akili za kitumwa hizo kamanda!
Mnajipendekeza hadi mnatia kichefuchefu.
Wewe marekani ni nani kwako... Wewe anaweza jibu hoja zako... Katiba yetu inamtambua mtu anaitwa mmarekani hadi rais wetu ajibu hoja... Au unafikiri marekani ana urafiki na wewe.? Ungejua ya nyuma ya pazia ya marekani wala usingeongea.
Tupe evidense ya Kabudi kuwapigia magoti.Endelea kuamini hivyo. Baada ya muda fulani mtakimbilia kusema tuwe Wazalendo kwenye Nchi yetu. Kama ninyi mnawachukulia poa kwanini Mh Kabudi kaenda kuwapigia magoti?? Nani anaetia kinyaa hapo??
Sent using Jamii Forums mobile app
..jiulize tumekosea wapi mpaka watu kulazimika kupeleka matatizo yetu kwa Wamarekani.
..ni kwasababu baadhi yetu, ndugu zetu wenyewe, hawathamini UTU na UHAI wa waTz wenzao.
We la Marekani hulioni unaona la Tanzania tu?
Hivi kwenye haki za binadamu unaweza kumquote Marekani kweli?
Mmekuwa brainwashed utafikiri hamjasoma?
Mnatia kichefuchefu!