Rais Magufuli ajibu hoja za Marekani, Asijifiche kwenye hoja za uzalendo, Kwanza sio Mzalendo

Rais Magufuli ajibu hoja za Marekani, Asijifiche kwenye hoja za uzalendo, Kwanza sio Mzalendo

Marekani ndio Mungu wetu, kama nyie vyombo vya dola vilivyo Mungu wenu. Tunataka Marekani ashikilie hapo hapo mpaka madhalimu hapa nchini wanyooshe maelezo. Na iwapo Marekani ataamua kuja hapa nchini tutampa msaada wowote autakao. Hatuko radhi kurejeshwa kwenye mfumo wa chama kimoja na dhalimu yoyote.
Kwani Marekani kashikilia nini?
Kwa taarifa yako Marekani hawezi kushikilia chochote kisicho na maslahi kwake.
Anawasanifu tu na kuwashangaa mnavompelekea umbea mkidhani yeye anamind umbea wenu.
Marekani anamind interest zake tu.
Mkimpelekea umbea usiomlipa anawang'ong'a tu.
Subiri UTAONA.
 
Yaani we ndio kichefuchefu full. Mtunyanyase kisa ulimbukeni wa madaraka kisha mtuambie Marekani hana rekodi ya haki za binadamu? Hata kama hana sifa nzuri za haki za binadamu, ili mradi anaingilia sisi kurudishwa kwenye mfumo bwana chama kimoja kimabavu, tunamuunga mkono.
Waliochangia kuirudisha nchi kwenye chama kimoja ni akina Lisu na Mbowe 2015 walipokubali kununuliwa na CCM kijinga
 
Kwani Marekani kashikilia nini?
Kwa taarifa yako Marekani hawezi kushikilia chochote kisicho na maslahi kwake.
Anawasanifu tu na kuwashangaa mnavompelekea umbea mkidhani yeye anamind umbea wenu.
Marekani anamind interest zake tu.
Mkimpelekea umbea usiomlipa anawang'ong'a tu.
Subiri UTAONA.

Kabudi alifuata nini Marekani kama US hana interest na nchi yetu?
 
We la Marekani hulioni unaona la Tanzania tu?
Hivi kwenye haki za binadamu unaweza kumquote Marekani kweli?
Mmekuwa brainwashed utafikiri hamjasoma?
Mnatia kichefuchefu!
Kwanini tuyafanye mabaya kisa tu US wanafanya ?!. Hii tabia ya kuandama raia wetu kisa tu itikadi, dini, kanda nk imetoka wapi ?! Hamkukabidhiwa nchi ya namna hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani ndo nani?

Yeye anaweza akajibu hoja zetu?

Yaani Marekani ndo kawa Mungu wenu?
Yeye ana utakatifu gani?

Hivi ukiongea masuala ya ukiukaji Haki za Binadamu, huyo Marekani anaweza hata kusogeza pua yake?

Anaweza hata kujilinganisha na Tanzania?
Akili za kitumwa hizo kamanda!

Mnajipendekeza hadi mnatia kichefuchefu.
Mkuu kama vipi tumuwekee vikwazo Marekani,ili atujue kwamba sisi ni donor kantri na tunaongozwa na kiongozi wa malaika mtarajiwa
 
Marekani haijamtuma mtu kuua watu kufunga watu na kuteka watu hapana, Marekani haijatuma mtu kuwashambulia watu kwa risasi hapana, Marekani haijamtuma kuzima vyombo vya habari na kuzuia siasa kwa wapinzani kwa miaka 5 hapana,

Kama serikali haijawatuma hao watu kwanini hafanyi upelelezi kuleta mlejesho? kwanini hawakamatwi watekaji? wauaji na wanaopiga risasi?

Eti hoja ni kwa vile kadhibiti madini yasiibiwe hoja ya kipumbavu kweli nawapa somo tu wafuasi mnaoamini izi propaganda kutoka Ikulu ya Magufuli, hakuna nchi iliyodhibiti rasilimali zake kama Botswana lakini huwezi sikia wanapambana na upinzani.

Na huwezi sikia Marekani ikiwanyoshea kidole halafu eti unasema umedhibiti madini yapi yale ya twiga 84/16 upo serious kweli? unachekesha kweli ! jibu hoja za Marekani.

Umeyakoroga mwenyewe yanywe mwenyewe hakuna atakayekubeba uvune ulichopanda nakuhakikishia uchomoki uchaguzi mwaka huu.
Marekani si kielelezo sahihi cha Democrasia ama utawala bora am,bao wengi wetu tumekuwa tukiulilia na wala wao pia hawana hizo kitu ktk utawala wao, sasa inakuwaje USA wakisema jambo huku tunalishupalia km vile ndio kilakitu?

USA walimpiga tik tak Hillary Clinton, CIA + DEA & Navy Seals wanatekeleza matukio mazito tuu na ya kutisha ila wote twajifanya hatuyaoni wala kuyasikia, ajabu tunashupalia kauli zao eti kisa zinambeba fulani ama kumzodoa fulani. And for that - we have a long way to go!

SIKU INZI AKIACHA UJINGA ATATENGENEZA ASALI
 
Marekani haijamtuma mtu kuua watu kufunga watu na kuteka watu hapana, Marekani haijatuma mtu kuwashambulia watu kwa risasi hapana, Marekani haijamtuma kuzima vyombo vya habari na kuzuia siasa kwa wapinzani kwa miaka 5 hapana,

Kama serikali haijawatuma hao watu kwanini hafanyi upelelezi kuleta mlejesho? kwanini hawakamatwi watekaji? wauaji na wanaopiga risasi?

Eti hoja ni kwa vile kadhibiti madini yasiibiwe hoja ya kipumbavu kweli nawapa somo tu wafuasi mnaoamini izi propaganda kutoka Ikulu ya Magufuli, hakuna nchi iliyodhibiti rasilimali zake kama Botswana lakini huwezi sikia wanapambana na upinzani.

Na huwezi sikia Marekani ikiwanyoshea kidole halafu eti unasema umedhibiti madini yapi yale ya twiga 84/16 upo serious kweli? unachekesha kweli ! jibu hoja za Marekani.

Umeyakoroga mwenyewe yanywe mwenyewe hakuna atakayekubeba uvune ulichopanda nakuhakikishia uchomoki uchaguzi mwaka huu.
Mungu wabariki Wazungu
 
Back
Top Bottom