Rais Magufuli akitembelea maeneo yenye mawe ndani ya Ikulu ya Chamwino, Dodoma

Bahahahaha ndio maana anang'ang'ania Magogoni kwa hiyo hapo ndio Beach?😝😝

Kuna mijusi kisukuma wanaitwa Magomamli kwa watu wengine wanawaita mijusi kafiri inapenda sana kukaa kwenye hayo mawe ajiangalie
Weeee! Kabla ya Rais kukalia jiwe hilo linakuwa limeisha hakikiwa usakama wake na kila aina ya mitambo! Usicheze na TISS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…