Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,347
- 6,652
Picha nzuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais sio taasisi ni mtu mmoja anayechaguliwa na wananchi kuongoza mhimili wa serikali ambayo ndio taasisi.
Spika wa bunge sio taasisi ni mtu mmoja anayechaguliwa na wabunge kuongoza mhimili wa bunge ambalo ndilo taasisi.
Jaji mkuu sio taasisi ni mtu mmoja anayeteuliwa kuongoza mhimili wa mahakama ambao ndio taasisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vip ulisikia naumwa mkuu?lol
Kuna muda yakupasa kukaa kimya na kusoma watu walichoandika
Hivi wewe una uchungu na mtu mwingine kuliko wazazi wako
Rais ni taasisi sio mtu, Akiwa Dodoma sema taasisi ipo Dodoma,
Hata mawasiliano ya taasisi yanasema kurugenzi ya Ikulu
Mkuu wapi uliona barua zinaandikwa "Rais Magufuli" zinaandikwa kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kama taasisi
Mtakuja kufa kwa kujaza chuki vifuani, Wewe ni moja ya watu mnaoitafuta presha kwa kujaa chuki
Sasa imatuhusu nnMzee anasahau Corona kidogo anakula bata chamwino View attachment 1397187View attachment 1397188View attachment 1397189View attachment 1397191
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi dua zetu ziko palepaleMzee anasahau Corona kidogo
HhahahahSisi dua zetu ziko palepale
Majiwe yamekutana [emoji23][emoji23]
Pole....! Mie mzima sana!na me sio maarufu..nadhan umekosea.njia..!Nmeitafuta ID fulani maarufu JF ndo nikawa directed kwenye ID hii.
Pale palivyo na harufu mbaya ni bora huko kwenye mawe. Nilikuwa nikifika pale najiuliza hivi ni wakuu wa nchi huishi hapa?Kutoka kupunga upepo baharini mpka kupunga upepo kwenye majiwe.
Mzee anasahau Corona kidogo anakula bata chamwino View attachment 1397187View attachment 1397188View attachment 1397189View attachment 1397191
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais haogopi nyoka wakali kama Black Mamba?Mzee anasahau Corona kidogo anakula bata chamwino View attachment 1397187View attachment 1397188View attachment 1397189View attachment 1397191
Sent using Jamii Forums mobile app
Jina limemng'ang'ania.Kutoka kupunga upepo baharini mpka kupunga upepo kwenye majiwe.