Rais Magufuli akutana na Viongozi wa vyama vya Siasa nchini, Maalim Seif(ACT-Wazalendo), Prof. Lipumba (CUF) na James Mbatia (NCCR-Mageuzi)

Hivi jpm amuogope membe kwa lipi kwa mfano? Ccm ilikimbiwa na lowasa aliyekuwa na mvuto kwa watu lakini haikuyumba ije kuwa huyu firauni ambaye hata mtoto alinayesoma kidato cha nne hamjui?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani stahiki zake hapewi ?
Maalim kwenye siasa ni mwengine kabisa, hapo kaitwa na mkuu wa nchi nani atapinga, kumbuka maalim huyo huyo ndie chanzo cha serekali ya umoja wa kitaifa na hicho ndio nadhan kimempeleka.
 
Hujajua
Zitto karibu huku ushuhudie wanasiasa nguli wanaojua siasa. Wenzako matatizo ya nchi wanakaa chini na kuzungumza, wewe unaenda ugenini kuzungumza halafu unajiona mwamba wa siasa. Rudi darasani ukajifunze uzalendo.
Kinachoendelea hapo wewe bado ni mchanga sana, hujafunguka macho uone bado upo gizani. Polepole sijui kama utaelewa. Labda kwa hamsa ishirini.
 
Jana bashiru aliwaambia wanaccm wawe na akiba ya maneno na pia wanasajili vifaru toka upinzani. mwenye uelewa alielewa
Hilo litoshe tu kuwaonyesha mataga kuwa ndani ya ccm hakuna watu sahihi hadi imewalazimu wasajiri kwa bei mbaya wachezaji kutoka upinzani

In God we Trust
 
Huo ndiyo mpango wa ccm na kwa wasiyo na uwezo wa kuvumilia njaa tayari washaingizwa kwenye mtumbwi wa vibwengo
Mambo ya kususia uchaguzi hayo. Wanataka CHADEMA isusie peke yake. Wengine wamezwe na CCM kuhalalisha ushindi wa asilimia 90.

In God we Trust
 
Zitto karibu huku ushuhudie wanasiasa nguli wanaojua siasa. Wenzako matatizo ya nchi wanakaa chini na kuzungumza, wewe unaenda ugenini kuzungumza halafu unajiona mwamba wa siasa. Rudi darasani ukajifunze uzalendo.
Hapo hakuna UNGULI wa siasa bali ni usanii tu. Magufuli anafanya maigizo ya kile ambacho amekikwepa miaka yote ya utawala wake awamu hii: KUKUTANA NA WANASIASA WA UPINZANI. Haya ni maigizo kwa sababu nyingi, lakini kubwa zaidi, wakati hakuna chochote watakachoambulia hao "wenye bahati ya kuitwa Ikulu",Magufuli anavuna sifa za uwongo kwamba anakutana na wanasiasa wa upinzani
 
Kuuliza si ujinga. Hivi serikali pamoja na mkuu wa nchi wapo Dodoma au Dar es Salaam? Mbona kama shughuli zote za ofisi ya rais huratibiwa Dar es Salaam?
siyo huratibiwa bali hufanyika DSM kama ilivyokuwa enzi hizoo
 
mbna mlienda kuchongea kwa hao mabeberu wenu halafu mkarudi kimya kimya, vpi mlifaidika na nini? na bado mtanyoka tu, si mmeanza kuitiwa chai ikulu, akili zimesha waishia sasa, mmesha sahau mlichokuwa mnakidai...mmeanza kunywa vichai vya ikulu na maji na korosho, shame on you!
Ninyi donor country ndio muingie msituni kuwawinda mabeberu kwanza. Kila kukicha mnabanwa makende kubadilisha masheria yenu kwa hati za dharura.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpuuzi wewe huna akili. Kila kitu unatafsiri kama wanyama wenzako wasiojulikana.
itakuwa imekuingia sindano, ndo maana umekosa hoja ya kujibu, pole sana humu hawajibu kwa matusi, kama panakuwia ngumu sign out, hii ndo jf, utakumbana na majibu ya kila aina, usifikir utajibiwa kama unavyofikir wewe! leo mliitiwa korosho na maji ikulu, umeisikiaje, mmesha sahau hata kuwa mnadai tume huru, pambana na hali....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaka hela za beberu lazima udhalilike. Leo mnawakaribisha wapinzani ikulu wakati hamuamini katika siasa za vyama vingi , yote hii ni makende kubanwa. Si mngekimbilia china kwenye mapesa mengi mpaka ya kukopesha Marekani au mmesahau? Hivyo vichai tukinywa bado fedha ya beberu inahusika hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…