Rais Magufuli akutana na Viongozi wa vyama vya Siasa nchini, Maalim Seif(ACT-Wazalendo), Prof. Lipumba (CUF) na James Mbatia (NCCR-Mageuzi)

Mkuu hujasikia taarufa za ugonjwa hatari wa CORONA? acha kupinga kila jambo!
 
Lumumba pressure inazidi kupanda.End game ya Magu ni ipi? CCM weenyeji kazi kwenu.
 
Hv huyu bwana mkubwa alitangaza KUHAMIA ikulu ya Dodoma kutoka Dar es salaam AU ikulu ya Dar es salaam kutoka Dodoma..?
Maana me sielewielewi guys.
Mkuu Shombe Bwana mkubwa alihamia mwaka jana oktoba au novemba. Hapo alikaa wiki moja tu.
Baada ya hapo akaenda zake Chato (kwa mapumziko???) Na desemba alikuwa kwenye sherehe za uhuru zilizofanyika mwanza (kwa mara ya kwanza!!!). Akaja dsm. Sidhani kama ataenda tena dom!!!
 
Tunajaribu Kuimpress Mabeberu Ili Tupate Pesa Ya Uchaguzi.

Ila Watu Weusi Hatuna Akili Kabisa, Yaani Suala Ambalo Ni Kwa Faida Yetu Wenyewe Na Watoto Wetu, Kulifanya Mpaka TULAZIMISHWE NA WAZUNGU !!!
 
Zitto karibu huku ushuhudie wanasiasa nguli wanaojua siasa. Wenzako matatizo ya nchi wanakaa chini na kuzungumza, wewe unaenda ugenini kuzungumza halafu unajiona mwamba wa siasa. Rudi darasani ukajifunze uzalendo.

Ni hivi tunataka tume huru ya uchaguzi, hayo mazungumzo yalenge hapo tu na sio kinyume chake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…