MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,063
- 6,405
Inaelekea umelewa weweSi alisema ataenda kushitaki ICC kwamba uchaguzi wa Zanzibar umevurugwa?
Leo tena anasalimiana na rais kwa mbwembwe za miguu?
Tuamini lipi sasa sisi wana mabadiliko?
Kweli chadema majanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kiongozi gani wa chadema hapo??
Sent using Jamii Forums mobile app