Rais Magufuli alifanya mambo yasiyofaa na Rais Samia anarekebisha mabaya yaliyofanywa

Hv hamnaga mambo mengine ya kufanya ama mnalipwa!!!?
ukilala ukiamka Magufuli!!??
kwendeni zenu bana tumewachoka
 
Hv hamnaga mambo mengine ya kufanya ama mnalipwa!!!?
ukilala ukiamka Magufuli!!??
kwendeni zenu bana tumewachoka
Na kwa nini na wewe ukilala ukiamka unatafuta watu wamesema nini kibaya juu ya JPM? Ulikuwa mchepuko wake? Kwenda zako tumekuchoka!
 
Magufuli alikuwa laghai, mbaguzi, kiburi, alikuwa sadist
Sema Tanzania ina wapumbavu wengi wanamuona shujaa
 
Hivi najiuliza mbona watu wanatumia nguvu kubwa sana kumsema JPM kuliko kujenga nchi. Au ndio njia ya kututoa kwenye focus
 
Jengeni nchi acheni ujinga Tunahitaji mfumuko wa bei ushuke, ufisadi ukome. sio story za mtu aliekufa hapa
 
Naona unaelewa sana mtu anaemiminiwa anakuwaje kutokana na personal experience yako. Sasa sio mimi. Uko wewe na wenzio kama wewe.
Shika ukuta tu blaza huna namna kila siku mauufuli mauufuli mata.........yenu kumbaf
 
Mbona nguvu nyingi sana inatumika ili kujitangaza? Mazuri huwa wanakuja tu si lazima kumsema marehemu ambaye hawezi kujitetea, acha kupambana na marehemu!
 
Hivi najiuliza mbona watu wanatumia nguvu kubwa sana kumsema JPM kuliko kujenga nchi. Au ndio njia ya kututoa kwenye focus
Yaani badala ya kufanya mazuri tuyaone wanazurula tu wapewe ajira huko huko
 
Mie nafanya kazi nje ya nchi. Kwa hiyo uko wrong on all counts
Kwaakili mbovu kama hizo za kulialia pasipo naushahidi wowote sijui unafanya kazi nje ya nchi gani,labda upo ziwa nyasa upande wa malawi unavua dagaa.
 
Kwaakili mbovu kama hizo za kulialia pasipo naushahidi wowote sijui unafanya kazi nje ya nchi gani,labda upo ziwa nyasa upande wa malawi unavua dagaa.
Tatizo lako ni nini hasa, thread hii inatokana na video clip iliyowekwa, ambayo serikali ya sasa ndio inakupa uozo uliofanywa na Magufuli ambao imebidi iurekebishe. Sasa wewe unanishambulia mimi kwa kisa gani hasa maruhuni mkubwa wewe!
 
Hakuna utawala usioua mwangosi alikufa nani alikuwa mtawala, rais wa madaktari aling'olewa kucha na meno nani alikuwa mtawala hata leo watu wanakufa na wataendelea kufa,hayo matusi mnayo mtukana magu Kama mwajiri wenu ni watawala hata Mimi hata Mimi natakiwa kufa.
 
Kuna kiongozi mmoja wa Magufuli kwenye kipindi cha kampeni za ule uchaguzi/uchafuzi aliwahi kusema kwamba hata msipochagua ccm ila itashinda tu. Kiongozi wake sijui tumfanyaje?
 
Pamoja na kwamba ameshaondoka duniani amewaachia wafuasi wale kindakindaki kazi ngumu ya kutetea jina lake na yote aliyoyafanya kwa ajili ya Tanzania.

Ni kazi ngumu na wanaifanya kwa upendo wa hali ya juu, wanapambana na walio hai wenzao, ni vita ya maneno zaidi ingawa mara moja moja inaweza ikaenda mbali na kuleta mitafaruku.
 
Mwangosi alikufa lakini sio kwa amri ya Kikwete. Kuna tofauti hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…