Rais Magufuli alivyovuruga Uhusiano na Wadau wa Maendeleo

Ukitumwa kuwatetea au kueneza propaganda za majirani zako wa Mashariki jipange vizuri, you all most nailed it!!
Fuatilia hizo rangi utaona nimekusaidia kufuta makosa madogo madogo na ujumbe utakuwa umeupata sawa sawia
Wewe endelea tu kusema propaganda wakati nchi ipo in a bad state.... Kamshaurini Rais badala ya kumjaza ushabiki ysiokuwa na tija.... Shauri yenu
 

Kituko gani hiki umeleta?
 
Hayo mahusiano na misaada unayodai yanaharibiwa na Magufuli yamelifikisha Taifa katika neema au kujenga jeshi la vijana nguvu kazi kutwa wakitembeza bidhaa tusizozalisha mitaani, kwa jina la Machinga!

Au majengo marefu ya starehe, masupamaketi na mahoteli yanayouza bidhaa za nje ndiyo mazao ya mahusiano unayoona yangeiwezesha nchi kuendelea!

JITAMBUE, JIKUBALI, FANYA MAAMUZI YAKO MWENYEWE.
 
Barab Barabara 8,SGT na ndege zinamsaidiaje mtu wa kijijini??
Nenda leo vijijini ukajionee shule zilivyochoka
 
Mbona una tune kama ya Angela kairuki? Huenda kuna maccm wengi mmemchoka kichaa
 

"Tuna fedha nyingi" Wia oni ze raiti traki " Chato 21:3, 5). Mzee wa kukopa. Deni la taifa limefika trioni 61. Jamaa anakopa tu!! Tutauza mpaka boxers za wanaume. Heri mchawi kuliko mwongo.
 
Duuu aiseee
 
binafsi ningemkubali Rais wetu kama ni mpenda maendeleo kama huko nyuma akiwa mbunge ningemsikia akipiga kelele kwamba nchi inaibiwa kama wanavyopiga kelele wabunge wa upinzani
 
Hebu taja nchi, angalau moja tu, iliyojikwamua kiuchumi na kuendelea kwa kutegemea hiyo "misaada" ya magharibi.
 
Kuimarisha Ushirikiano na Washirika wa Maendeleo
39. Mheshimiwa Spika, misaada na mikopo nafuu imekuwa ikipungua kutoka wastani wa asilimia
26.3 ya bajeti halisi ya mwaka 2010/11 hadi asilimia 10.4 mwaka 2016/17. Kutokana na umuhimu wa kuwa na maendeleo endelevu na kuhakikisha kuwa misaada na mikopo nafuu inapatikana kama ilivyoahidiwa na kwa wakati, Serikali kwa kushirikiana na Washirika wa Maendelo na wadau wengine imekamilisha Mwongozo wa Ushirikiano wa Maendeleo (Development Cooperation Framework - DCF).
Mwongozo huo uliidhinishwa na Serikali mwezi
Agosti 2017 na umebainisha:


katika maelezo yako umesema tunategemea mikopo ya rafiki wa maendeleo kwa 40 %?! hebu tupe ushahidi
 

Reli na miradi mingine uliyoitaja haitakamilika wakati wa Magufuli. Akilazimisha hatalipa mishahara. Siku hizi TRA wanapiga simu hadi jumapili "kukumbusha" kulipa kodi. Na bado jiwe anataka hadi wauza mchicha na mishikaki walipe kodi (nionyesheni mchoma mishikaki wa kawaida atakaepata revenue inayovuka 4m kwa mwaka).
Hiyo ni dalili ya kushindwa. And fail he will surely do just that.
 
Barab
Barabara 8,SGT na ndege zinamsaidiaje mtu wa kijijini??
Nenda leo vijijini ukajionee shule zilivyochoka
Usipojisaidia hausaiidiiki khaa, hata Ulaya na China kuna masikini sana. Muhimu ni Taifa kwa ujumla kusonga mbele. Kwani mataifa yanayotoa misaada hayajui kuwa kuna raia wao wanaishi katika mazingira magumu? lakini bado wanatoa fedha zao kusaidia nchi za nje. FIKIRIA KIDOGO au na wewe ni wale wa bora kuwa MBWA wa ULAYA?
 
Utasubiri sana kuona anashindwa lakini hawezi shindwa. Unajua hii miradi imetoa ajira kwa watu kiasi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…