Rais Magufuli alivyovuruga Uhusiano na Wadau wa Maendeleo

Rais Magufuli alivyovuruga Uhusiano na Wadau wa Maendeleo

Ashasembeko

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2017
Posts
225
Reaction score
910
Mwitikio wa andiko langu wiki lililopita katika mtandao huu wa JF ulinipa hamasa kuendelea kuandika zaidi jinsi Rais Magufuli anavyoendelea kulipotezea mwelekeo taifa. Wiki hii naona nigusie kwa undani jinsi Magufuli anavyoharibu uhusiano mzuri sana uliokuwepo kati ya Tanzania na wadau mbalimbali wa maendeleo. Awali ya yote naomba mnisamehe, kiswahili changu si kizuri kama ambavyoningependa kiwe, ila anendela kujifunza;

Sio siri kwamba Tanzania ilijulikana kama kipenzi cha wadau wa maendeleo(darling of development partners); Ukiangalia twakimu za misaada iliyokuwa inaletwa na wahisani katika nchi za Africa, Tanzania ilikua haikosi katika 10 bora katika nchi za Africa. Umoja wa Ulaya, Benki ya Dunia, Marekani, China, Ufaransa, Uingereza, Ujerumani nchi zote hizi zilikua zinawekeza kwa nguvu kubwa katika maendeleo ya watanzania.

Magufuli alipoingia madarakani, mambo yakaanza kubadilika, mwanzoni walikua wanamvumilia sababu alionekana kama ni kiongozi mpya mwenye ‘zeal’ ya kupigana na rushwa ila siku zilivyokuwa zinazidi wakaona hali inazidi kuwa mbaya hususani katika utawala wa sheria, demokrasia na haki za binadamu.

Magufuli alipotangaza kuzuia wasichana wa kike kutoendelea na masomo yao kisa ya mimba alipiga msumari mkali katika mahusiano na hawa watu. Na hii ndio sababu husikii hawa development partners hawainvest kwenye sekta ya elimu, maana wakitoa msaada au wakiwakopa Tanzania, watanekana na wao wapo complicit kwenye hilo katazo. Athari zake tunaziona kwa jinsi hali ya elimu inavyozidi kuporomoka siku baada ya siku, madarasa hayatoshi, walimu hawashugulikiwi madai yao vizuri maana mzigo wa kuiinua hii sekta nyeti kwa Taifa limebaki tu kwa serikali.

Benki ya dunia

Katika wahisani ambao sikutegemea (hata Magufuli mwenyewe hakutegemea) wangeweza kuigomea serikali ni Benki ya dunia maana ndio ilikua taasisi iliyobaki ambayo ilikua inaipa serikali kiburi pamoja na kuwepo kwa ukiukwaji wa haki za kiraia.

Kwa msiofahamu wahisani wanachangia asilimia 40% ya bajeti ya Tanzania na Benki ya dunia inachakia takribani asilimia 10%(kubwa kuliko mdau yeyote) na hivyo kuifanya kuwa Tanzania’s biggest partner in development.

Benki ya dunia ilianza kuichoka serikali walipofanya marekebisho kwenye sheria ya twakimu ya mwaka 2018 ambayo inazuia taasisi yeyote kuto-desseminate statistics bila kupata verification kutoka NBS. Kazi kubwa za Benki ya Dunia ikiwemo repoti na miradi zinategema takwimu halisi, hii sheria mpya iliweka vikwazo vilivyoifanya WB kutofanya kazi zao freely and professionally

Tulisikia mwaka jana mwezi wa 11 jinsi benki ya dunia livyositisha mkopo wa $300million wa elimu (takribani billion 700tsh) kwa sababu ya sera ya serikali ya kutoruhusu hawa watoto kurudi shuleni. Magufuli anathamini na anajua mchango wa benki ya dunia katika maendeleo ya nchi na ndio maana alikubali kukutana na WB Regional Vice President wanegotiate kuhusu huu mkopo. Katika maongezi yao (japo hayajawekwa wazi) walikubaliana kuandaa program ambayo italipiwa na serikali itakayowawezesha watoto wa kike wenye mimba kupata elimu, kama mnakumbuka wakati ule nchi ilibujikwa katika sakata la ushoga lililoanzishwa na makonda, waliliongelea na Magufuli alimuhaidi kuwa amna mtu atakae kamatwa kwa ushoga na atamkataza Mkuu wa Mkoa kuongelea kuhusu swala hilo tena, tatu, alikubali kuendelea kuwa na maongezi juu ya ile sheria ya takwimu.

Cha kushangaza, siku chache tu baada ya kukubaliana nao, Magufuli wakati wa uzinduzi wa Library ya UDSM, akawakashifu kwa kuwapongeza waChina kwa kuwaambia kuwa, “misaada yenu hayana masharti, sio kama mashirika mengine”. Huyo makamu wa Rais alisikitiswa na kauli hii maana ilionyesha kuwa serikali haikuwa na commitment katika makubaliano hayo.

Ni kwa sababu hiyo mpaka leo hii mkopo haujatolewa na sidhani kama utaolewa. Sio hiyo tu, Benki ya Dunia imei-demote ofisi yake ya Tanzania. Benki ya Dunia inakuaga na Country Director- wa sasa ni ndugu Bella Bird lakini kuanzia June 2019, amabapo mda wake utaisha nchi itaanza kuwa na country manager.

Kuwa na country manager inamaanisha kuwa na portfolio ya nchi itapunguzwa. Miradi yote inayohusiana na P4R – Program for results, kwenye elimu, maji, umeme, yote inafutwa, maana huwezi kupata results without credible statistics.

Pamoja na balozi Mahiga na Prof Kabudi kwenda Brussels kuipigia magoti umoja wa ulaya bado wameendelea kusitisha msaada wao nchini.

Yamkini inabidi tutafute mbinu za kujitegemea lakini tupende tusipende bado tunawahitaji hawa wadau wa maendeleo. Hata Europe yenyewe iliendelea kwa kusaidiwa na Marekani through the Marshall Plan policy iliplay a big part in the reconstruction of Europe baada ya vita ya pili ya dunia.

Serikali ifanye nini

Kwanza wathibiti matamko ya Rais; Kuwaita mabeberu hadharani, kutangaza kwamba nchi ipo katika vita ya uchumi na kusema kwamba misaada yao inamasharti. Ushawahi kuona wapi jirani yako anakuja kukusaidia alafu unaanza kumtukana, unadhani ataendelea kukusaidia?? Sio lazima akubaliane nao ila awaheshimu, kiufuppi ajifunze lugha za kidiplomasia zaidi

Pili, na hii itakua ngumu kwake, aruhusu watoto wenye mimba waendelee na masomo yao, hii itabuild confidence kubwa sana kwa hawa wahisani. But we all know this is never going to happen maana Rais alishasema na ninanamnukuu, “katika utawala wangu watoto wenye mimba hawatarudi shuleni, siwezi somesha wazazi”. Kwa mtu mwenye ego kubwa kama Rais wetu, hawezi reverse such a statement, it will possibly be the biggest political miracle in our country’s history.

Tatu, Asisgn into law mswada wa vyama vya siasa. Hii itakua ushindi kwakwe in both the internal and external politics.. kwanini; 1. Itanesha kwamba kama Rais anaheshimu demokrasia ya vyama vingi, pili itabuild trust kwa wananchi kuwa rais kumbe anauwezo wa kutosign sheria mbaya hata iliyopitishwa na wabunge wa vyama vyake (hatausishwa na hii sheria kabisa), tatu, He will for once be on the positive side of the coverage of the international media. Tutaona makala mabali mbali za nje zitakavyomsifu jinsi kwa huo uwamuzi… But this is also never going to happen maana ukweli unajulika kuwa yeye ndio muasisi mkuu wa hiyo sheria.

Najua wengi mtasema kuwa “hatuitaji misaada yao” “serikali ina pesa” ila ukweli msioujua ni kuwa the government is sooooooooooo broke, na ndio maana unaona kuna msisitizo mkubwa hivi karibuni wa kulipa kodi na kufanya ulipaji kodi kuwa rahisi kwa watanzania.

Kama mnadhani tunaweza kuendelea bila ushirikiano na wadau wa maendeleo angalieni hali ya Zimbabwe wanaoenda nunua mkate na begi limejaa noti… Serikali ibadilishe mwelekeo, kabla mwelekeo haujatubadilisha… kuweni na siku njema
 
Tuna miradi mikubwa ambayo tunajenga kwa pesa zetu wenyewe, how come useme The GVT is broke.??

Utasukumwa ndani mkuu..

SGR, SG, Barabara 8 Morogoro road, Ubungo InterChange, Ununuzi wa ndege, Kuhamia Dodoma e.t.c.., miradi yote hii inatekelezwa kwa 'PESA ZETU WENYEWE' ,why saying serikali imefilisika.???

Sisi twatembea vifua mbele bhana ,hatutishwi na mabeberu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwitikio wa andiko langu wiki lililopita katika mtandao huu wa JF ulinipa hamasa kuendelea kuandika zaidi jinsi Rais Magufuli anavyoendelea kulipotezea mwelekeo taifa. Wiki hii naona nigusie kwa undani jinsi Magufuli anavyoharibu uhusiano mzuri sana uliokuwepo kati ya Tanzania na wadau mbalimbali wa maendeleo. Awali ya yote naomba mnisamehe, kiswahili changu si kizuri kama ambavyoningependa kiwe, ila anendela kujifunza;

Sio siri kwamba Tanzania ilijulikana kama kipenzi cha wadau wa maendeleo(darling of development partners); Ukiangalia twakimu za misaada iliyokuwa inaletwa na wahisani katika nchi za Africa, Tanzania ilikua haikosi katika 10 bora katika nchi za Africa. Umoja wa Ulaya, Benki ya Dunia, Marekani, China, Ufaransa, Uingereza, Ujerumani nchi zote hizi zilikua zinawekeza kwa nguvu kubwa katika maendeleo ya watanzania.

Magufuli alipoingia madarakani, mambo yakaanza kubadilika, mwanzoni walikua wanamvumilia sababu alionekana kama ni kiongozi mpya mwenye ‘zeal’ ya kupigana na rushwa ila siku zilivyokuwa zinazidi wakaona hali inazidi kuwa mbaya hususani katika utawala wa sheria, demokrasia na haki za binadamu.

Magufuli alipotangaza kuzuia wasichana wa kike kutoendelea na masomo yao kisa ya mimba alipiga msumari mkali katika mahusiano na hawa watu. Na hii ndio sababu husikii hawa development partners hawainvest kwenye sekta ya elimu, maana wakitoa msaada au wakiwakopa Tanzania, watanekana na wao wapo complicit kwenye hilo katazo. Athari zake tunaziona kwa jinsi hali ya elimu inavyozidi kuporomoka siku baada ya siku, madarasa hayatoshi, walimu hawashugulikiwi madai yao vizuri maana mzigo wa kuiinua hii sekta nyeti kwa Taifa limebaki tu kwa serikali.

Benki ya dunia

Katika wahisani ambao sikutegemea (hata Magufuli mwenyewe hakutegemea) wangeweza kuigomea serikali ni Benki ya dunia maana ndio ilikua taasisi iliyobaki ambayo ilikua inaipa serikali kiburi pamoja na kuwepo kwa ukiukwaji wa haki za kiraia.

Kwa msiofahamu wahisani wanachangia asilimia 40% ya bajeti ya Tanzania na Benki ya dunia inachakia takribani asilimia 10%(kubwa kuliko mdau yeyote) na hivyo kuifanya kuwa Tanzania’s biggest partner in development.

Benki ya dunia ilianza kuichoka serikali walipofanya marekebisho kwenye sheria ya twakimu ya mwaka 2018 ambayo inazuia taasisi yeyote kuto-desseminate statistics bila kupata verification kutoka NBS. Kazi kubwa za Benki ya Dunia ikiwemo repoti na miradi zinategema takwimu halisi, hii sheria mpya iliweka vikwazo vilivyoifanya WB kutofanya kazi zao freely and professionally

Tulisikia mwaka jana mwezi wa 11 jinsi benki ya dunia livyositisha mkopo wa $300million wa elimu (takribani billion 700tsh) kwa sababu ya sera ya serikali ya kutoruhusu hawa watoto kurudi shuleni. Magufuli anathamini na anajua mchango wa benki ya dunia katika maendeleo ya nchi na ndio maana alikubali kukutana na WB Regional Vice President wanegotiate kuhusu huu mkopo. Katika maongezi yao (japo hayajawekwa wazi) walikubaliana kuandaa program ambayo italipiwa na serikali itakayowawezesha watoto wa kike wenye mimba kupata elimu, kama mnakumbuka wakati ule nchi ilibujikwa katika sakata la ushoga lililoanzishwa na makonda, waliliongelea na Magufuli alimuhaidi kuwa amna mtu atakae kamatwa kwa ushoga na atamkataza Mkuu wa Mkoa kuongelea kuhusu swala hilo tena, tatu, alikubali kuendelea kuwa na maongezi juu ya ile sheria ya takwimu.

Cha kushangaza, siku chache tu baada ya kukubaliana nao, Magufuli wakati wa uzinduzi wa Library ya UDSM, akawakashifu kwa kuwapongeza waChina kwa kuwaambia kuwa, “misaada yenu hayana masharti, sio kama mashirika mengine”. Huyo makamu wa Rais alisikitiswa na kauli hii maana ilionyesha kuwa serikali haikuwa na commitment katika makubaliano hayo.

Ni kwa sababu hiyo mpaka leo hii mkopo haujatolewa na sidhani kama utaolewa. Sio hiyo tu, Benki ya Dunia imei-demote ofisi yake ya Tanzania. Benki ya Dunia inakuaga na Country Director- wa sasa ni ndugu Bella Bird lakini kuanzia June 2019, amabapo mda wake utaisha nchi itaanza kuwa na country manager.

Kuwa na country manager inamaanisha kuwa na portfolio ya nchi itapunguzwa. Miradi yote inayohusiana na P4R – Program for results, kwenye elimu, maji, umeme, yote inafutwa, maana huwezi kupata results without credible statistics.

Pamoja na balozi Mahiga na Prof Kabudi kwenda Brussels kuipigia magoti umoja wa ulaya bado wameendelea kusitisha msaada wao nchini.

Yamkini inabidi tutafute mbinu za kujitegemea lakini tupende tusipende bado tunawahitaji hawa wadau wa maendeleo. Hata Europe yenyewe iliendelea kwa kusaidiwa na Marekani through the Marshall Plan policy iliplay a big part in the reconstruction of Europe baada ya vita ya pili ya dunia.

Serikali ifanye nini

Kwanza wathibiti matamko ya Rais; Kuwaita mabeberu hadharani, kutangaza kwamba nchi ipo katika vita ya uchumi na kusema kwamba misaada yao inamasharti. Ushawahi kuona wapi jirani yako anakuja kukusaidia alafu unaanza kumtukana, unadhani ataendelea kukusaidia?? Sio lazima akubaliane nao ila awaheshimu, kiufuppi ajifunze lugha za kidiplomasia zaidi

Pili, na hii itakua ngumu kwake, aruhusu watoto wenye mimba waendelee na masomo yao, hii itabuild confidence kubwa sana kwa hawa wahisani. But we all know this is never going to happen maana Rais alishasema na ninanamnukuu, “katika utawala wangu watoto wenye mimba hawatarudi shuleni, siwezi somesha wazazi”. Kwa mtu mwenye ego kubwa kama Rais wetu, hawezi reverse such a statement, it will possibly be the biggest political miracle in our country’s history.

Tatu, Asisgn into law mswada wa vyama vya siasa. Hii itakua ushindi kwakwe in both the internal and external politics.. kwanini; 1. Itanesha kwamba kama Rais anaheshimu demokrasia ya vyama vingi, pili itabuild trust kwa wananchi kuwa rais kumbe anauwezo wa kutosign sheria mbaya hata iliyopitishwa na wabunge wa vyama vyake (hatausishwa na hii sheria kabisa), tatu, He will for once be on the positive side of the coverage of the international media. Tutaona makala mabali mbali za nje zitakavyomsifu jinsi kwa huo uwamuzi… But this is also never going to happen maana ukweli unajulika kuwa yeye ndio muasisi mkuu wa hiyo sheria.

Najua wengi mtasema kuwa “hatuitaji misaada yao” “serikali ina pesa” ila ukweli msioujua ni kuwa the government is sooooooooooo broke, na ndio maana unaona kuna msisitizo mkubwa hivi karibuni wa kulipa kodi na kufanya ulipaji kodi kuwa rahisi kwa watanzania.

Kama mnadhani tunaweza kuendelea bila ushirikiano na wadau wa maendeleo angalieni hali ya Zimbabwe wanaoenda nunua mkate na begi limejaa noti… Serikali ibadilishe mwelekeo, kabla mwelekeo haujatubadilisha… kuweni na siku njema
"Serikali ibadilishe mwelekeo, kabla mwelekeo haujatubadilisha…"
Sema hivi Tz ibadilishe Raisi 2020 kabla hatuja kua kama Zimbabwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuna miradi mikubwa ambayo tunajenga kwa pesa zetu wenyewe, how come useme The GVT is broke.??

Utasukumwa ndani mkuu..

SGR, SG, Barabara 8 Morogoro road, Ubungo InterChange, Ununuzi wa ndege, Kuhamia Dodoma e.t.c.., miradi yote hii inatekelezwa kwa 'PESA ZETU WENYEWE' ,why saying serikali imefilisika.???

Sisi twatembea vifua mbele bhana ,hatutishwi na mabeberu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajielewa kweli wewe? SGR awamu ya kwanza kwenda Dar mpaka Morogoro ndio inajegwa na serikali, awamu zengine wanakopa, Hiyo Ubungo Interchange ni mkopo kutoka benki ya dunia, na hata hiyo miradi mengine inakwama maana serikali imekosa hela, kwenye kuhamia Dodoma mbona Rais hajahamia na alisema kabla mwaka 2018 kuisha atakua ameshahamia?? Hizo
Tuna miradi mikubwa ambayo tunajenga kwa pesa zetu wenyewe, how come useme The GVT is broke.??

Utasukumwa ndani mkuu..

SGR, SG, Barabara 8 Morogoro road, Ubungo InterChange, Ununuzi wa ndege, Kuhamia Dodoma e.t.c.., miradi yote hii inatekelezwa kwa 'PESA ZETU WENYEWE' ,why saying serikali imefilisika.???

Sisi twatembea vifua mbele bhana ,hatutishwi na mabeberu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajielewa kweli wewe? SGR awamu ya kwanza kwenda Dar mpaka Morogoro ndio inajegwa na serikali, awamu zengine wanakopa, Hiyo Ubungo Interchange ni mkopo kutoka benki ya dunia, na hata hiyo miradi mengine inakwama maana serikali imekosa hela, kwenye kuhamia Dodoma mbona Rais hajahamia na alisema kabla mwaka 2018 kuisha atakua ameshahamia?? Waliohamia wanakaa kwenye majengo ya vyuo?? Unaongea nnn sasa?? Do your research kabla ya kuja kuargue?
 
Wakikupa shilingi 100 hao wadau wa maendeleo unaowasema kisha ukalipa mishahara watu wao wanaokuja kwa majina ya expert 60% ya hiyo 100 kisha wakafanya manunuzi kwa hiyo hiyo 100 tena vifaa toka zilikotoka 30& na kisha ukawapa misamaha ya kodi kwa bidhaa zao zinazoingia hapa ndani utabaki na nini? Ni bora kubaki hauna ukajua hauna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umeongea pointi nyingi sana, kinacholigharimu Taifa letu kwa sasa ni Rais wetu na Mkuu wa Mkoa wa Dsm.

Hawa ndugu kauli zao wanazitoa bila kujali athari zake, mbaya zaidi hawana lugha ya kidiplomasia.
 
Mleta mada unaitendea haki akili yako, na umeamua kufikiri.

Shida kubwa ni baafhi ya watu kugoma kuwa wana akili wakiamini kuwa akili zao zote anaishi nazo Rais. Na kwa vile wao hawana akili, basi atafikiri kwa niaba yao, yeye waliyemkabidhi.

Tupo katika hali mbaya sana kiutawala. Hali itakayotupeleka kwenye hali mbaya sana kiuchumi na kimahusiano na mataifa mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nchi kama Tanzania bila Development Partners hatufiki popote.
Usiogope, nchi hii inaweza kuwadonor country soon haswa baada ya kulijenga hilo bwawa kubwa sana la Stigla's goji. Tutakuwa na umeme mwingi kiasi cha kuwauzia nchi zote za EAC na Sadec hadi Africa Kusini. Tutapata mapesa mengi hadi wazungu mabeberu waje kutukopa badala ya kwenda kuomba China iwasaidie. Msiogope; We are riding toward the laiti pathi
 
Mwitikio wa andiko langu wiki lililopita katika mtandao huu wa JF ulinipa hamasa kuendelea kuandika zaidi jinsi Rais Magufuli anavyoendelea kulipotezea mwelekeo taifa. Wiki hii naona nigusie kwa undani jinsi Magufuli anavyoharibu uhusiano mzuri sana uliokuwepo kati ya Tanzania na wadau mbalimbali wa maendeleo. Awali ya yote naomba mnisamehe, kiswahili changu si kizuri kama ambavyoningependa kiwe, ila anendela kujifunza;

Sio siri kwamba Tanzania ilijulikana kama kipenzi cha wadau wa maendeleo(darling of development partners); Ukiangalia twakimu za misaada iliyokuwa inaletwa na wahisani katika nchi za Africa, Tanzania ilikua haikosi katika 10 bora katika nchi za Africa. Umoja wa Ulaya, Benki ya Dunia, Marekani, China, Ufaransa, Uingereza, Ujerumani nchi zote hizi zilikua zinawekeza kwa nguvu kubwa katika maendeleo ya watanzania.

Magufuli alipoingia madarakani, mambo yakaanza kubadilika, mwanzoni walikua wanamvumilia sababu alionekana kama ni kiongozi mpya mwenye ‘zeal’ ya kupigana na rushwa ila siku zilivyokuwa zinazidi wakaona hali inazidi kuwa mbaya hususani katika utawala wa sheria, demokrasia na haki za binadamu.

Magufuli alipotangaza kuzuia wasichana wa kike kutoendelea na masomo yao kisa ya mimba alipiga msumari mkali katika mahusiano na hawa watu. Na hii ndio sababu husikii hawa development partners hawainvest kwenye sekta ya elimu, maana wakitoa msaada au wakiwakopa Tanzania, watanekana na wao wapo complicit kwenye hilo katazo. Athari zake tunaziona kwa jinsi hali ya elimu inavyozidi kuporomoka siku baada ya siku, madarasa hayatoshi, walimu hawashugulikiwi madai yao vizuri maana mzigo wa kuiinua hii sekta nyeti kwa Taifa limebaki tu kwa serikali.

Benki ya dunia

Katika wahisani ambao sikutegemea (hata Magufuli mwenyewe hakutegemea) wangeweza kuigomea serikali ni Benki ya dunia maana ndio ilikua taasisi iliyobaki ambayo ilikua inaipa serikali kiburi pamoja na kuwepo kwa ukiukwaji wa haki za kiraia.

Kwa msiofahamu wahisani wanachangia asilimia 40% ya bajeti ya Tanzania na Benki ya dunia inachakia takribani asilimia 10%(kubwa kuliko mdau yeyote) na hivyo kuifanya kuwa Tanzania’s biggest partner in development.

Benki ya dunia ilianza kuichoka serikali walipofanya marekebisho kwenye sheria ya twakimu ya mwaka 2018 ambayo inazuia taasisi yeyote kuto-desseminate statistics bila kupata verification kutoka NBS. Kazi kubwa za Benki ya Dunia ikiwemo repoti na miradi zinategema takwimu halisi, hii sheria mpya iliweka vikwazo vilivyoifanya WB kutofanya kazi zao freely and professionally

Tulisikia mwaka jana mwezi wa 11 jinsi benki ya dunia livyositisha mkopo wa $300million wa elimu (takribani billion 700tsh) kwa sababu ya sera ya serikali ya kutoruhusu hawa watoto kurudi shuleni. Magufuli anathamini na anajua mchango wa benki ya dunia katika maendeleo ya nchi na ndio maana alikubali kukutana na WB Regional Vice President wanegotiate kuhusu huu mkopo. Katika maongezi yao (japo hayajawekwa wazi) walikubaliana kuandaa program ambayo italipiwa na serikali itakayowawezesha watoto wa kike wenye mimba kupata elimu, kama mnakumbuka wakati ule nchi ilibujikwa katika sakata la ushoga lililoanzishwa na makonda, waliliongelea na Magufuli alimuhaidi kuwa amna mtu atakae kamatwa kwa ushoga na atamkataza Mkuu wa Mkoa kuongelea kuhusu swala hilo tena, tatu, alikubali kuendelea kuwa na maongezi juu ya ile sheria ya takwimu.

Cha kushangaza, siku chache tu baada ya kukubaliana nao, Magufuli wakati wa uzinduzi wa Library ya UDSM, akawakashifu kwa kuwapongeza waChina kwa kuwaambia kuwa, “misaada yenu hayana masharti, sio kama mashirika mengine”. Huyo makamu wa Rais alisikitiswa na kauli hii maana ilionyesha kuwa serikali haikuwa na commitment katika makubaliano hayo.

Ni kwa sababu hiyo mpaka leo hii mkopo haujatolewa na sidhani kama utaolewa. Sio hiyo tu, Benki ya Dunia imei-demote ofisi yake ya Tanzania. Benki ya Dunia inakuaga na Country Director- wa sasa ni ndugu Bella Bird lakini kuanzia June 2019, amabapo mda wake utaisha nchi itaanza kuwa na country manager.

Kuwa na country manager inamaanisha kuwa na portfolio ya nchi itapunguzwa. Miradi yote inayohusiana na P4R – Program for results, kwenye elimu, maji, umeme, yote inafutwa, maana huwezi kupata results without credible statistics.

Pamoja na balozi Mahiga na Prof Kabudi kwenda Brussels kuipigia magoti umoja wa ulaya bado wameendelea kusitisha msaada wao nchini.

Yamkini inabidi tutafute mbinu za kujitegemea lakini tupende tusipende bado tunawahitaji hawa wadau wa maendeleo. Hata Europe yenyewe iliendelea kwa kusaidiwa na Marekani through the Marshall Plan policy iliplay a big part in the reconstruction of Europe baada ya vita ya pili ya dunia.

Serikali ifanye nini

Kwanza wathibiti matamko ya Rais; Kuwaita mabeberu hadharani, kutangaza kwamba nchi ipo katika vita ya uchumi na kusema kwamba misaada yao inamasharti. Ushawahi kuona wapi jirani yako anakuja kukusaidia alafu unaanza kumtukana, unadhani ataendelea kukusaidia?? Sio lazima akubaliane nao ila awaheshimu, kiufuppi ajifunze lugha za kidiplomasia zaidi

Pili, na hii itakua ngumu kwake, aruhusu watoto wenye mimba waendelee na masomo yao, hii itabuild confidence kubwa sana kwa hawa wahisani. But we all know this is never going to happen maana Rais alishasema na ninanamnukuu, “katika utawala wangu watoto wenye mimba hawatarudi shuleni, siwezi somesha wazazi”. Kwa mtu mwenye ego kubwa kama Rais wetu, hawezi reverse such a statement, it will possibly be the biggest political miracle in our country’s history.

Tatu, Asisgn into law mswada wa vyama vya siasa. Hii itakua ushindi kwakwe in both the internal and external politics.. kwanini; 1. Itanesha kwamba kama Rais anaheshimu demokrasia ya vyama vingi, pili itabuild trust kwa wananchi kuwa rais kumbe anauwezo wa kutosign sheria mbaya hata iliyopitishwa na wabunge wa vyama vyake (hatausishwa na hii sheria kabisa), tatu, He will for once be on the positive side of the coverage of the international media. Tutaona makala mabali mbali za nje zitakavyomsifu jinsi kwa huo uwamuzi… But this is also never going to happen maana ukweli unajulika kuwa yeye ndio muasisi mkuu wa hiyo sheria.

Najua wengi mtasema kuwa “hatuitaji misaada yao” “serikali ina pesa” ila ukweli msioujua ni kuwa the government is sooooooooooo broke, na ndio maana unaona kuna msisitizo mkubwa hivi karibuni wa kulipa kodi na kufanya ulipaji kodi kuwa rahisi kwa watanzania.

Kama mnadhani tunaweza kuendelea bila ushirikiano na wadau wa maendeleo angalieni hali ya Zimbabwe wanaoenda nunua mkate na begi limejaa noti… Serikali ibadilishe mwelekeo, kabla mwelekeo haujatubadilisha… kuweni na siku njema
Aina hii ya fikra imeanza kurudi, hapa tulibaki na Mayala, ambae anajirusharusha na a lot declaration of interests. Mzee mwanakijiji amachanganyikiwa huko aliko, lisaboni anakulanpepo mahali etc.

Asante saaaaana kwa muda tafakarishi
 
Kadri mambo yalivyozidi kuharibika basi wazimbabwe waliokuwa wakimpigia vigeregere mugabe na waliompinga kwa sera mbaya za uchumi wote walikutana afrika kusini wakitafuta vibarua vya kufyeka nyasi na kuzoa taka na kazi za ndani huku wakijilaumu
 
Kumbe rais alimpigia magoti mwakilishi wa Benki ya Dunia na kuridhia ushoga...!!!! Sasa mbona wanasema ni Lissu ndio aliridhia kupitia BBC's Hard talk?

Mimi nafikiri sio Magufuli wala Lissu anayeridhia ushoga ila wote wanajikuta kuwa "Victims of Circumstances". Wanajikuta wakiwa tightly cornered between Donors' Spear and People's Spear, sasa wakwepe upi hapo.

Naona huko tuendako hili swala litasumbua sana wale wanaotafuta dhamana ya watu kuongoza na naona litaachwa tu li-hang kama lile la machangudoa lilivyoachwa ila itakuwa ni wajibu wa wazazi kulea watoto wao wakiwa karibu sana na majengo ya ibada ili ku-control hili "Janga". No way.
 
Huna hoja
Mwitikio wa andiko langu wiki lililopita katika mtandao huu wa JF ulinipa hamasa kuendelea kuandika zaidi jinsi Rais Magufuli anavyoendelea kulipotezea mwelekeo taifa. Wiki hii naona nigusie kwa undani jinsi Magufuli anavyoharibu uhusiano mzuri sana uliokuwepo kati ya Tanzania na wadau mbalimbali wa maendeleo. Awali ya yote naomba mnisamehe, kiswahili changu si kizuri kama ambavyoningependa kiwe, ila anendela kujifunza;

Sio siri kwamba Tanzania ilijulikana kama kipenzi cha wadau wa maendeleo(darling of development partners); Ukiangalia twakimu za misaada iliyokuwa inaletwa na wahisani katika nchi za Africa, Tanzania ilikua haikosi katika 10 bora katika nchi za Africa. Umoja wa Ulaya, Benki ya Dunia, Marekani, China, Ufaransa, Uingereza, Ujerumani nchi zote hizi zilikua zinawekeza kwa nguvu kubwa katika maendeleo ya watanzania.

Magufuli alipoingia madarakani, mambo yakaanza kubadilika, mwanzoni walikua wanamvumilia sababu alionekana kama ni kiongozi mpya mwenye ‘zeal’ ya kupigana na rushwa ila siku zilivyokuwa zinazidi wakaona hali inazidi kuwa mbaya hususani katika utawala wa sheria, demokrasia na haki za binadamu.

Magufuli alipotangaza kuzuia wasichana wa kike kutoendelea na masomo yao kisa ya mimba alipiga msumari mkali katika mahusiano na hawa watu. Na hii ndio sababu husikii hawa development partners hawainvest kwenye sekta ya elimu, maana wakitoa msaada au wakiwakopa Tanzania, watanekana na wao wapo complicit kwenye hilo katazo. Athari zake tunaziona kwa jinsi hali ya elimu inavyozidi kuporomoka siku baada ya siku, madarasa hayatoshi, walimu hawashugulikiwi madai yao vizuri maana mzigo wa kuiinua hii sekta nyeti kwa Taifa limebaki tu kwa serikali.

Benki ya dunia

Katika wahisani ambao sikutegemea (hata Magufuli mwenyewe hakutegemea) wangeweza kuigomea serikali ni Benki ya dunia maana ndio ilikua taasisi iliyobaki ambayo ilikua inaipa serikali kiburi pamoja na kuwepo kwa ukiukwaji wa haki za kiraia.

Kwa msiofahamu wahisani wanachangia asilimia 40% ya bajeti ya Tanzania na Benki ya dunia inachakia takribani asilimia 10%(kubwa kuliko mdau yeyote) na hivyo kuifanya kuwa Tanzania’s biggest partner in development.

Benki ya dunia ilianza kuichoka serikali walipofanya marekebisho kwenye sheria ya twakimu ya mwaka 2018 ambayo inazuia taasisi yeyote kuto-desseminate statistics bila kupata verification kutoka NBS. Kazi kubwa za Benki ya Dunia ikiwemo repoti na miradi zinategema takwimu halisi, hii sheria mpya iliweka vikwazo vilivyoifanya WB kutofanya kazi zao freely and professionally

Tulisikia mwaka jana mwezi wa 11 jinsi benki ya dunia livyositisha mkopo wa $300million wa elimu (takribani billion 700tsh) kwa sababu ya sera ya serikali ya kutoruhusu hawa watoto kurudi shuleni. Magufuli anathamini na anajua mchango wa benki ya dunia katika maendeleo ya nchi na ndio maana alikubali kukutana na WB Regional Vice President wanegotiate kuhusu huu mkopo. Katika maongezi yao (japo hayajawekwa wazi) walikubaliana kuandaa program ambayo italipiwa na serikali itakayowawezesha watoto wa kike wenye mimba kupata elimu, kama mnakumbuka wakati ule nchi ilibujikwa katika sakata la ushoga lililoanzishwa na makonda, waliliongelea na Magufuli alimuhaidi kuwa amna mtu atakae kamatwa kwa ushoga na atamkataza Mkuu wa Mkoa kuongelea kuhusu swala hilo tena, tatu, alikubali kuendelea kuwa na maongezi juu ya ile sheria ya takwimu.

Cha kushangaza, siku chache tu baada ya kukubaliana nao, Magufuli wakati wa uzinduzi wa Library ya UDSM, akawakashifu kwa kuwapongeza waChina kwa kuwaambia kuwa, “misaada yenu hayana masharti, sio kama mashirika mengine”. Huyo makamu wa Rais alisikitiswa na kauli hii maana ilionyesha kuwa serikali haikuwa na commitment katika makubaliano hayo.

Ni kwa sababu hiyo mpaka leo hii mkopo haujatolewa na sidhani kama utaolewa. Sio hiyo tu, Benki ya Dunia imei-demote ofisi yake ya Tanzania. Benki ya Dunia inakuaga na Country Director- wa sasa ni ndugu Bella Bird lakini kuanzia June 2019, amabapo mda wake utaisha nchi itaanza kuwa na country manager.

Kuwa na country manager inamaanisha kuwa na portfolio ya nchi itapunguzwa. Miradi yote inayohusiana na P4R – Program for results, kwenye elimu, maji, umeme, yote inafutwa, maana huwezi kupata results without credible statistics.

Pamoja na balozi Mahiga na Prof Kabudi kwenda Brussels kuipigia magoti umoja wa ulaya bado wameendelea kusitisha msaada wao nchini.

Yamkini inabidi tutafute mbinu za kujitegemea lakini tupende tusipende bado tunawahitaji hawa wadau wa maendeleo. Hata Europe yenyewe iliendelea kwa kusaidiwa na Marekani through the Marshall Plan policy iliplay a big part in the reconstruction of Europe baada ya vita ya pili ya dunia.

Serikali ifanye nini

Kwanza wathibiti matamko ya Rais; Kuwaita mabeberu hadharani, kutangaza kwamba nchi ipo katika vita ya uchumi na kusema kwamba misaada yao inamasharti. Ushawahi kuona wapi jirani yako anakuja kukusaidia alafu unaanza kumtukana, unadhani ataendelea kukusaidia?? Sio lazima akubaliane nao ila awaheshimu, kiufuppi ajifunze lugha za kidiplomasia zaidi

Pili, na hii itakua ngumu kwake, aruhusu watoto wenye mimba waendelee na masomo yao, hii itabuild confidence kubwa sana kwa hawa wahisani. But we all know this is never going to happen maana Rais alishasema na ninanamnukuu, “katika utawala wangu watoto wenye mimba hawatarudi shuleni, siwezi somesha wazazi”. Kwa mtu mwenye ego kubwa kama Rais wetu, hawezi reverse such a statement, it will possibly be the biggest political miracle in our country’s history.

Tatu, Asisgn into law mswada wa vyama vya siasa. Hii itakua ushindi kwakwe in both the internal and external politics.. kwanini; 1. Itanesha kwamba kama Rais anaheshimu demokrasia ya vyama vingi, pili itabuild trust kwa wananchi kuwa rais kumbe anauwezo wa kutosign sheria mbaya hata iliyopitishwa na wabunge wa vyama vyake (hatausishwa na hii sheria kabisa), tatu, He will for once be on the positive side of the coverage of the international media. Tutaona makala mabali mbali za nje zitakavyomsifu jinsi kwa huo uwamuzi… But this is also never going to happen maana ukweli unajulika kuwa yeye ndio muasisi mkuu wa hiyo sheria.

Najua wengi mtasema kuwa “hatuitaji misaada yao” “serikali ina pesa” ila ukweli msioujua ni kuwa the government is sooooooooooo broke, na ndio maana unaona kuna msisitizo mkubwa hivi karibuni wa kulipa kodi na kufanya ulipaji kodi kuwa rahisi kwa watanzania.

Kama mnadhani tunaweza kuendelea bila ushirikiano na wadau wa maendeleo angalieni hali ya Zimbabwe wanaoenda nunua mkate na begi limejaa noti… Serikali ibadilishe mwelekeo, kabla mwelekeo haujatubadilisha… kuweni na siku njema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwitikio wa andiko langu wiki lililopita katika mtandao huu wa JF ulinipa hamasa kuendelea kuandika zaidi jinsi Rais Magufuli anavyoendelea kulipotezea mwelekeo taifa. Wiki hii naona nigusie kwa undani jinsi Magufuli anavyoharibu uhusiano mzuri sana uliokuwepo kati ya Tanzania na wadau mbalimbali wa maendeleo. Awali ya yote naomba mnisamehe, kiswahili changu si kizuri kama ambavyoningependa kiwe, ila anendela kujifunza;

Sio siri kwamba Tanzania ilijulikana kama kipenzi cha wadau wa maendeleo(darling of development partners); Ukiangalia twakimu za misaada iliyokuwa inaletwa na wahisani katika nchi za Africa, Tanzania ilikua haikosi katika 10 bora katika nchi za Africa. Umoja wa Ulaya, Benki ya Dunia, Marekani, China, Ufaransa, Uingereza, Ujerumani nchi zote hizi zilikua zinawekeza kwa nguvu kubwa katika maendeleo ya watanzania.

Magufuli alipoingia madarakani, mambo yakaanza kubadilika, mwanzoni walikua wanamvumilia sababu alionekana kama ni kiongozi mpya mwenye ‘zeal’ ya kupigana na rushwa ila siku zilivyokuwa zinazidi wakaona hali inazidi kuwa mbaya hususani katika utawala wa sheria, demokrasia na haki za binadamu.

Magufuli alipotangaza kuzuia wasichana wa kike kutoendelea na masomo yao kisa ya mimba alipiga msumari mkali katika mahusiano na hawa watu. Na hii ndio sababu husikii hawa development partners hawainvest kwenye sekta ya elimu, maana wakitoa msaada au wakiwakopa Tanzania, watanekana na wao wapo complicit kwenye hilo katazo. Athari zake tunaziona kwa jinsi hali ya elimu inavyozidi kuporomoka siku baada ya siku, madarasa hayatoshi, walimu hawashugulikiwi madai yao vizuri maana mzigo wa kuiinua hii sekta nyeti kwa Taifa limebaki tu kwa serikali.

Benki ya dunia

Katika wahisani ambao sikutegemea (hata Magufuli mwenyewe hakutegemea) wangeweza kuigomea serikali ni Benki ya dunia maana ndio ilikua taasisi iliyobaki ambayo ilikua inaipa serikali kiburi pamoja na kuwepo kwa ukiukwaji wa haki za kiraia.

Kwa msiofahamu wahisani wanachangia asilimia 40% ya bajeti ya Tanzania na Benki ya dunia inachakia takribani asilimia 10%(kubwa kuliko mdau yeyote) na hivyo kuifanya kuwa Tanzania’s biggest partner in development.

Benki ya dunia ilianza kuichoka serikali walipofanya marekebisho kwenye sheria ya twakimu ya mwaka 2018 ambayo inazuia taasisi yeyote kuto-desseminate statistics bila kupata verification kutoka NBS. Kazi kubwa za Benki ya Dunia ikiwemo repoti na miradi zinategema takwimu halisi, hii sheria mpya iliweka vikwazo vilivyoifanya WB kutofanya kazi zao freely and professionally

Tulisikia mwaka jana mwezi wa 11 jinsi benki ya dunia livyositisha mkopo wa $300million wa elimu (takribani billion 700tsh) kwa sababu ya sera ya serikali ya kutoruhusu hawa watoto kurudi shuleni. Magufuli anathamini na anajua mchango wa benki ya dunia katika maendeleo ya nchi na ndio maana alikubali kukutana na WB Regional Vice President wanegotiate kuhusu huu mkopo. Katika maongezi yao (japo hayajawekwa wazi) walikubaliana kuandaa program ambayo italipiwa na serikali itakayowawezesha watoto wa kike wenye mimba kupata elimu, kama mnakumbuka wakati ule nchi ilibujikwa katika sakata la ushoga lililoanzishwa na makonda, waliliongelea na Magufuli alimuhaidi kuwa amna mtu atakae kamatwa kwa ushoga na atamkataza Mkuu wa Mkoa kuongelea kuhusu swala hilo tena, tatu, alikubali kuendelea kuwa na maongezi juu ya ile sheria ya takwimu.

Cha kushangaza, siku chache tu baada ya kukubaliana nao, Magufuli wakati wa uzinduzi wa Library ya UDSM, akawakashifu kwa kuwapongeza waChina kwa kuwaambia kuwa, “misaada yenu hayana masharti, sio kama mashirika mengine”. Huyo makamu wa Rais alisikitiswa na kauli hii maana ilionyesha kuwa serikali haikuwa na commitment katika makubaliano hayo.

Ni kwa sababu hiyo mpaka leo hii mkopo haujatolewa na sidhani kama utaolewa. Sio hiyo tu, Benki ya Dunia imei-demote ofisi yake ya Tanzania. Benki ya Dunia inakuaga na Country Director- wa sasa ni ndugu Bella Bird lakini kuanzia June 2019, amabapo mda wake utaisha nchi itaanza kuwa na country manager.

Kuwa na country manager inamaanisha kuwa na portfolio ya nchi itapunguzwa. Miradi yote inayohusiana na P4R – Program for results, kwenye elimu, maji, umeme, yote inafutwa, maana huwezi kupata results without credible statistics.

Pamoja na balozi Mahiga na Prof Kabudi kwenda Brussels kuipigia magoti umoja wa ulaya bado wameendelea kusitisha msaada wao nchini.

Yamkini inabidi tutafute mbinu za kujitegemea lakini tupende tusipende bado tunawahitaji hawa wadau wa maendeleo. Hata Europe yenyewe iliendelea kwa kusaidiwa na Marekani through the Marshall Plan policy iliplay a big part in the reconstruction of Europe baada ya vita ya pili ya dunia.

Serikali ifanye nini

Kwanza wathibiti matamko ya Rais; Kuwaita mabeberu hadharani, kutangaza kwamba nchi ipo katika vita ya uchumi na kusema kwamba misaada yao inamasharti. Ushawahi kuona wapi jirani yako anakuja kukusaidia alafu unaanza kumtukana, unadhani ataendelea kukusaidia?? Sio lazima akubaliane nao ila awaheshimu, kiufuppi ajifunze lugha za kidiplomasia zaidi

Pili, na hii itakua ngumu kwake, aruhusu watoto wenye mimba waendelee na masomo yao, hii itabuild confidence kubwa sana kwa hawa wahisani. But we all know this is never going to happen maana Rais alishasema na ninanamnukuu, “katika utawala wangu watoto wenye mimba hawatarudi shuleni, siwezi somesha wazazi”. Kwa mtu mwenye ego kubwa kama Rais wetu, hawezi reverse such a statement, it will possibly be the biggest political miracle in our country’s history.

Tatu, Asisgn into law mswada wa vyama vya siasa. Hii itakua ushindi kwakwe in both the internal and external politics.. kwanini; 1. Itanesha kwamba kama Rais anaheshimu demokrasia ya vyama vingi, pili itabuild trust kwa wananchi kuwa rais kumbe anauwezo wa kutosign sheria mbaya hata iliyopitishwa na wabunge wa vyama vyake (hatausishwa na hii sheria kabisa), tatu, He will for once be on the positive side of the coverage of the international media. Tutaona makala mabali mbali za nje zitakavyomsifu jinsi kwa huo uwamuzi… But this is also never going to happen maana ukweli unajulika kuwa yeye ndio muasisi mkuu wa hiyo sheria.

Najua wengi mtasema kuwa “hatuitaji misaada yao” “serikali ina pesa” ila ukweli msioujua ni kuwa the government is sooooooooooo broke, na ndio maana unaona kuna msisitizo mkubwa hivi karibuni wa kulipa kodi na kufanya ulipaji kodi kuwa rahisi kwa watanzania.

Kama mnadhani tunaweza kuendelea bila ushirikiano na wadau wa maendeleo angalieni hali ya Zimbabwe wanaoenda nunua mkate na begi limejaa noti… Serikali ibadilishe mwelekeo, kabla mwelekeo haujatubadilisha… kuweni na siku njema

Ukitumwa kuwatetea au kueneza propaganda za majirani zako wa Mashariki jipange vizuri, you all most nailed it!!
Fuatilia hizo rangi utaona nimekusaidia kufuta makosa madogo madogo na ujumbe utakuwa umeupata sawa sawia
 
Tuna miradi mikubwa ambayo tunajenga kwa pesa zetu wenyewe, how come useme The GVT is broke.??

Utasukumwa ndani mkuu..

SGR, SG, Barabara 8 Morogoro road, Ubungo InterChange, Ununuzi wa ndege, Kuhamia Dodoma e.t.c.., miradi yote hii inatekelezwa kwa 'PESA ZETU WENYEWE' ,why saying serikali imefilisika.???

Sisi twatembea vifua mbele bhana ,hatutishwi na mabeberu..

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani hujawahi kuona mtu amejenga nyumba ikaishia kwenye msingi au marisha au kwenye paa bila kumalizia kwa kukosa hela? Popote nyumba itakapoishia kama haitaishi mtu Mradi huo utakuwa umeshindikana.

Subiri ushuhudie huu uwongo wa viongozi wasioaminika hata chembe eti Serikali inapesa nyingi! Thubutu yake..!.
 
Back
Top Bottom