Rais Magufuli aliwahi kuhojiwa na Chombo cha Habari?

Rais Magufuli aliwahi kuhojiwa na Chombo cha Habari?

Kiswahili hajui, kiingereza ndo kabisaaaa zero!
We unafikiri kwanini alikuwa hapendi mahojiano? Achilia mbali uwezo wa kujenga na kutetea hoja kutokuwa nao lakini kikubwa zaidi ni lugha, kiswahili kilikuwa kinampiga chenga, kiingereza ndo alikuwa na bifu nacho, yani hata cha kuombea maji hana
Alipoulizwa swali kwa kimombo pale Uganda...oooh my God, ilibidi M7 aingilie kati
 
Kiswahili hajui, kiingereza ndo kabisaaaa zero!
We unafikiri kwanini alikuwa hapendi mahojiano? Achilia mbali uwezo wa kujenga na kutetea hoja kutokuwa nao lakini kikubwa zaidi ni lugha, kiswahili kilikuwa kinampiga chenga, kiingereza ndo alikuwa na bifu nacho, yani hata cha kuombea maji hana
Mkuu una ushahidi na haya maelezo??

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ze ze ze kubaki na inye yako nyumbani [emoji16][emoji16]

Ila jamaa alijuwa kuwakomesha wanaume wa dar na maneno yao mengi mengi mdomoni bila nukta[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kiswahili hajui, kiingereza ndo kabisaaaa zero!
We unafikiri kwanini alikuwa hapendi mahojiano? Achilia mbali uwezo wa kujenga na kutetea hoja kutokuwa nao lakini kikubwa zaidi ni lugha, kiswahili kilikuwa kinampiga chenga, kiingereza ndo alikuwa na bifu nacho, yani hata cha kuombea maji hana
pipo used to die in the rake aliulizwa na mwandishi wa kizungu ngoja niitafute niilete
 
Magufuli aliwezaje kupata PhD kama Kiingereza kilikuwa hakipandi ?
Cha kuandika na kuongea ni viingereza viwili tofauti sana.. Wapo wanaoweza vyote viwili na wapo wanaoweza upande mmoja.. Ila mara nyingi, anayejua cha kuongea, kuandika si ishu sana... Huyo wa cha kuandika, kuongea INAMPA VIKOROMBWEZO MSHAZALI VINGI...

By the way, BEN SAANANE hakuhoji haya ambayo yalipelekea kutoweka kwake?
 
Cha kuandika na kuongea ni viingereza viwili tofauti sana.. Wapo wanaoweza vyote viwili na wapo wanaoweza upande mmoja.. Ila mara nyingi, anayejua cha kuongea, kuandika si ishu sana... Huyo wa cha kuandika, kuongea INAMPA VIKOROMBWEZO MSHAZALI VINGI...

By the way, BEN SAANANE hakuhoji haya ambayo yalipelekea kutoweka kwake?
Magufuli alikuwa mbobezi katika eneo la kemia ya kiafrika
 
Back
Top Bottom