Alipoulizwa swali kwa kimombo pale Uganda...oooh my God, ilibidi M7 aingilie katiKiswahili hajui, kiingereza ndo kabisaaaa zero!
We unafikiri kwanini alikuwa hapendi mahojiano? Achilia mbali uwezo wa kujenga na kutetea hoja kutokuwa nao lakini kikubwa zaidi ni lugha, kiswahili kilikuwa kinampiga chenga, kiingereza ndo alikuwa na bifu nacho, yani hata cha kuombea maji hana
Mkuu una ushahidi na haya maelezo??Kiswahili hajui, kiingereza ndo kabisaaaa zero!
We unafikiri kwanini alikuwa hapendi mahojiano? Achilia mbali uwezo wa kujenga na kutetea hoja kutokuwa nao lakini kikubwa zaidi ni lugha, kiswahili kilikuwa kinampiga chenga, kiingereza ndo alikuwa na bifu nacho, yani hata cha kuombea maji hana
Una hamu ya kudumbukizwa kwenye ACid uyeyuke?Magufuli aliwezaje kupata PhD kama Kiingereza kilikuwa hakipandi ?
Like seriously?Achilia kuapishwa kuna ile ndio wanaanza michakato ya kugombea, Lowasa akahojiwa nadhani walikua ni BBC, magu alifanikiwa kuwakimbia....
Nani kakwambia acid inayeyusha ?
We hukukandamizwa?Nani kakwambia acid inayeyusha ?
No wonder Magufuli alikuwa anawakandamiza kwa sababu hamtumii akili
Alifundishwa kwanini Mayalla maana yake ni njaa kwa wazilakende[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Paskali kutoka pale akaanza kusifia , sijui wapimbinya nini [emoji28] [emoji28] baada ya pale
Mimi tangu 2010 hadi leo hii nipo kwenye kundi la kutekeleza ukandamizaji na iunamishaji
pipo used to die in the rake aliulizwa na mwandishi wa kizungu ngoja niitafute niileteKiswahili hajui, kiingereza ndo kabisaaaa zero!
We unafikiri kwanini alikuwa hapendi mahojiano? Achilia mbali uwezo wa kujenga na kutetea hoja kutokuwa nao lakini kikubwa zaidi ni lugha, kiswahili kilikuwa kinampiga chenga, kiingereza ndo alikuwa na bifu nacho, yani hata cha kuombea maji hana
AlifanyiwaMagufuli aliwezaje kupata PhD kama Kiingereza kilikuwa hakipandi ?
Cha kuandika na kuongea ni viingereza viwili tofauti sana.. Wapo wanaoweza vyote viwili na wapo wanaoweza upande mmoja.. Ila mara nyingi, anayejua cha kuongea, kuandika si ishu sana... Huyo wa cha kuandika, kuongea INAMPA VIKOROMBWEZO MSHAZALI VINGI...Magufuli aliwezaje kupata PhD kama Kiingereza kilikuwa hakipandi ?
Basi alikuwa kilazaAlifanyiwa
Hela yako na kama utaweza kuhonga vyeo kwa madaktari na maprofesaKama magufuli alipata phd bila kujua kiingereza basi hata mimi naweza kupata Masters bila kwenda chuo
Magufuli alikuwa mbobezi katika eneo la kemia ya kiafrikaCha kuandika na kuongea ni viingereza viwili tofauti sana.. Wapo wanaoweza vyote viwili na wapo wanaoweza upande mmoja.. Ila mara nyingi, anayejua cha kuongea, kuandika si ishu sana... Huyo wa cha kuandika, kuongea INAMPA VIKOROMBWEZO MSHAZALI VINGI...
By the way, BEN SAANANE hakuhoji haya ambayo yalipelekea kutoweka kwake?
KUTOKUJUA KWA HUYO ANAYEUZA MATANGO MITAANI, HAKUMPI KUJUA HUYO UNAYETAKA AONEKANE ANAJUAYy anaejua anauza matango mitaan
Kheee...!!! Ndo ipi hiyo? Mazingaombwe au...?!!Magufuli alikuwa mbobezi katika eneo la kemia ya kiafrika
hahahahaZe ze ze kubaki na inye yako nyumbani [emoji16][emoji16]
Ila jamaa alijuwa kuwakomesha wanaume wa dar na maneno yao mengi mengi mdomoni bila nukta[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app