Rais Magufuli aliwahi kuhojiwa na Chombo cha Habari?

Mbowe hapaswi kuendelea kuwa mwenyekiti kwa vyama makini. Ile kubadili tu gia angani na kuwakumbatia watu ambao hawana misingi yoyote ya Chama ilimpasa ajihuzulu
 
izo chuki zako tu wala hazna faidaaa,,mara nying mtu ikimchukia unajitahd kulazmisha kila kitu chake kionekane kibaya ....kama hajui kitu alifikaje pale?? wew u aejua uko wapii??? wivu ni uchawi
Afu mchawi mkuu wakala wa ibilisi alishakufa akazikwa chato
 
Hahaaahaaaahaaa matagaaaaa !!! Mungu kawapiga hasa
 
Kusifu na kuabudu Pascal Mayalla alianza baada ya kuitwa na kamati ya nidhamu Dodoma.
Naomba usome tarehe ya Bandiko hili
Mkuu Sky Eclat ,
P
 
Bora uwe unakaa kimya tu kaka Pascal yaani kuna muda Matapishi yako huwa yananuka Mwilini mwako mpk majirani tunakuchukia...

Sura mbili kwenye kichwa kimoja inatufanya tusitambue sura yako halisi...

Hata Kama umewahi kukiri humu kuwa ulifanya hivyo kukwepa mishale ya watawala sisi tumeacha kukuamini.

Na hasa tukiwaza jinsi ulivyomchongea Kabendera kwenye Mabandiko yako..

A strong man always walk with one face only..

Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…